Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nauliza hiki kipindi sikioni kimeishia wapi au amehamia tv nyingine?
2 Reactions
15 Replies
3K Views
hints: *he is a well known businessman/investor in africa. *there was a time, forbes magazine featured his name on africa's top billionaires *he is a low profile kind a man,doesn't mind showing...
2 Reactions
46 Replies
7K Views
Nahisi kama mziki wa Dance unataka kurudi tena juu na kama ambavyo kwenye Bongo Flavour kuna ushindani wa Diamond na Kiba basi huku kwenye Dance kutakuwa na Papii Kocha na Christian Bella, na kama...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kusema ukweli sijui ni marafiki nilionao au hata sielewi lakini hauwezi amini mimi money penny sijawahi KUMFOLLOW Mange Kimambi Instagram wala Facebook wala twitter Diamond platnumz sijawahi...
10 Reactions
251 Replies
27K Views
Rejea tu Kichwa cha habari hapo juu na moja kwa moja anza tu Kutiririka na Kuserereka zako. Nawasilisha.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimekua nikiona post zake mara kwa mara akisema single life na akishauri wanawake wenzake kutokukaa kwenye ndoa zenye matatizo,hizi statement mbili hizi zinaonyesha kuna walakini kwenye marriage yake.
3 Reactions
180 Replies
34K Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwanamuziki Diamond Platnumz leo hii ameweka picha ya mama yake mzazi na kumsifu kwa maneno matamu katka kuadhimisha siku ya wanawake duniani. Katika maandishi...
6 Reactions
34 Replies
8K Views
Msanii Mimi Mars amefunguka sababu ya Vanessa Mdee kuzushiwa kuwa ni mjamzito. Muimbaji huyo ambaye ni ndugu na Vanessa Mdee ameiambia Funiko Base ya Radio Five kuwa ulaji wa Vanessa ni miongoni...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Kwako mrisho mpoto, Imekuwa ni muda sasa toka tukupe nauli,pengine tingo alikupitiluiza kituo. Maana umepita muda sasa,pengine uliogopa kushuka kwa sababu kulikuwa na mvua tena ya mafuriko ya damu...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Nnje ya mziki biashara ya matangazo kwa makampuni makubwa imekuwa inalipa wasanii wengi na hivi majuzi Diamond amevuta mkwanja wa Billioni 1 kukitangaza kinywaji cha ufaransa cha Bllaire Lakini...
4 Reactions
74 Replies
17K Views
Leteni habari zao walipo na impact yao. Ningeongeza Unique Sisters na makundi mengine yaliyokuwa yanavuma 1990-2000 Itakuwa si vibaya mkatupa habari za kumbi kama Langata, gazeti la Sani, akina...
2 Reactions
80 Replies
19K Views
Huyu mama anafukuzia miaka 80 sasa na sauti yake inaanza kuchoka, Lakini ameutendea haki wimbo mgumu ambao wasanii vijana wengi hawawezi kuuimba. Uwezo kama huu tunategemea mtu akifika miaka kama...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Hatimaye sasa wcb na efm wanafanya kazi pamoja ili kuupeleka muziki wetu kimataifa. Leo alikaribishwa msanii wa wcb baada ya muda mrefu ili kufanya interview. Wale wanafki wanaoendelea kubana...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Harmonize ameupasua mtandao wa Instagram kwa mshangao baada ya kuweka wazi bei ya zawadi ya saa ya mkononi aliyonunuliwa na mpenzi wake, Sarah. Kupitia kipande cha video alichoweka akiwa...
0 Reactions
115 Replies
24K Views
Salaam Kuna ili kundi la muziki la kizazi kipya linajulikana kama THE MAFIK kwa mara ya kwanza niliwaona wakipiga live(siyo playback) pale Zanzibar na limekuja kwa kasi kuteka mashabiki wa...
2 Reactions
35 Replies
13K Views
Akiwa ameweka vionjo vya nyimbo zitazopatikana kwenye album yake mpya ya a boy from tandale. Washabiki wamepagawa sana wakionyesha mzuka wa hali ya juu. Leo ameweka nyimbo alizoimba na Lavalava...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Ikiwa kuna kitu kinasubiriwa kwa hamu sana ni JACKIE CLIFF kuachiliwa jela alikofungwa kule China. Sema atahit headlines Sana akirejea bongo alafu wengi tumejipanga kuenda kutafuta kick pale...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Show gani unaikubali kati ya Bakora show na Jambo na vijambo? Mimi naikubali Bakora show
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Msanii nguli wa filamu Tanzania Blandina Chagula alimaarufu kama Johari amefunguka na kuweka wazi sababu kubwa inayomfanya ashindwe kwenda kumtembelea msanii mwenzake wa filamu Lulu Michael...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom