Usangu
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 826
- 449
Ndugu wanaJF, nimejaribu kuutazama kwa umakini sana wimbo wa Diamond Uitwao Hallelujah, kimsingi sijaona tatizo lililofanya wimbo huo kufungiwa.
Huku ni kutaka kuuwa vipaji vya wanamuziki wetu ambao wanajaribu kufikia level za kimataifa.
Nahisi itawapendeza sana Sizonje na Team yake wanamuziki wote mkianza kuimba CCM ni nambari one na mingineyo ya kumsifia Sizonje.
Huko ndiko tuendapo.
Huku ni kutaka kuuwa vipaji vya wanamuziki wetu ambao wanajaribu kufikia level za kimataifa.
Nahisi itawapendeza sana Sizonje na Team yake wanamuziki wote mkianza kuimba CCM ni nambari one na mingineyo ya kumsifia Sizonje.
Huko ndiko tuendapo.