Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 548
Habari wakuu,
Naomba kuuliza je diamond platnumz ataathirika vipi na hii album yake baada ya nyimbo mbili kufungiwa?
Au hakuna athari zitakazo jitokeza? Maana tarehe 16/3/2018 ndio inatoka.
Hili tukio sio kumkoa kweli? Maana alikuwa kapanga hivi na wengine wanafanya hivi.
Yani kirahisi twaweza sema what to expect when your expecting. Sidhani kama alikua amejiandaa na hili.
Updates....
Meneja wa Diamond Platinumz Sallam sk Mendez amesema wao kama wcb wanamwachia mlezi wao ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, ambaye atatolea ufafanuzi zaidi katika hizo mbili.
Pia amesema wao kama wcb hawajapokea notification ya kufungiwa nyimbo zao hivyo bado wao wanahesabu kuwa ziko palepale hazijafungiwa kwakuwa hawajapokea official letter toka Basata wala Tcra.
Naomba kuuliza je diamond platnumz ataathirika vipi na hii album yake baada ya nyimbo mbili kufungiwa?
Au hakuna athari zitakazo jitokeza? Maana tarehe 16/3/2018 ndio inatoka.
Hili tukio sio kumkoa kweli? Maana alikuwa kapanga hivi na wengine wanafanya hivi.
Yani kirahisi twaweza sema what to expect when your expecting. Sidhani kama alikua amejiandaa na hili.
Updates....
Meneja wa Diamond Platinumz Sallam sk Mendez amesema wao kama wcb wanamwachia mlezi wao ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, ambaye atatolea ufafanuzi zaidi katika hizo mbili.
Pia amesema wao kama wcb hawajapokea notification ya kufungiwa nyimbo zao hivyo bado wao wanahesabu kuwa ziko palepale hazijafungiwa kwakuwa hawajapokea official letter toka Basata wala Tcra.