tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Diamond Platnumz akiongea na Times FM 100.5fm amesema Rais Magufuli alimpigia simu kumpongeza kwa kuchaguliwa kwenda kutumbuiza katika Kombe la Dunia huko Urusi mwezi wa June.
Na yeye Diamond anajipanga kabla ya kuondoka kwenda Ikulu kumuaga Mh Rais Magufuli ili kupata baraka zote za watanzania.
Na yeye Diamond anajipanga kabla ya kuondoka kwenda Ikulu kumuaga Mh Rais Magufuli ili kupata baraka zote za watanzania.