Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mtakumbuka siku ya leo, Meneja wa Diamond ametokwa na mapovu balaa akimshambulia mtu ambaye alikuwa hamtaji jina, badae akaahidi kusema ukweli kama alivyoandika hapa => Meneja wa wcb sallam sk...
5 Reactions
70 Replies
14K Views
SOURCE: MWANANCHI Waswahili wanamsemo wao usemao ajali kazini. Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond ambaye amewasili katika viunga vya Mahakama ya...
1 Reactions
40 Replies
8K Views
Kubali ukatae habari za kimbeya nyingi zinatoka WCB so msifikirie anguko la WCB kumbuka hata wao clouds watasheki. Ngoja tuone mwisho wake.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
KISUTU: Leo Februari 8, 2018 msanii Wema Sepetu amafika Mahakamani hapo kwa ajili ya kufatilia kesi yake ya kukutwa na msokoto wa Dawa za Kulevya aina ya bangi. Wema amefika Mahakamani hapo akiwa...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
  • Redirect
Leo Februari 8, 2018 msanii Wema Sepetu amafika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kufatilia kesi yake ya kukutwa na msokoto wa Dawa za Kulevya aina ya bangi. chanzo;Global...
0 Reactions
Replies
Views
Hatari sana haya mambo,mzuka wa queen Darlin leo akiwa jukwaani Mwembe yanga kumkaribisha Mbosso. Darlin alidhihirisha maana halisi ya wimbo wake ntakufirisi...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
  • Redirect
Abdalla Mtolea (mbunge) awatilia Shaka watawafunza watoto kuwa wabakaji, kufuatia tukio la nyuma la kuachiwa huru kwao
1 Reactions
Replies
Views
Toni Braxton recently dropped by Good Morning America on Jan. 25 to promote her forthcoming film, Faith Under Fire, and spilled some serious tea about her budding romance with Cash Money mogul...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Moja ya kipande chake cha ngoma mpya inaonekana 20 Percent akiwachana kiaina Clouds Fm kwa kuwaaambia ukitaka kudhalilishwa Nenda Clouds hata Sketi watakuambia uvae.kwa Mwendo huu sijui kama tutafika
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mwanamuziki aliyeuteka ulimwengu wa Bongo fleva Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amejikuta ndani ya skendo nyingine baada ya mwanadada mrembo anayeitwa Mia kukiri kuwa alilala na nae nyumbani kwake...
3 Reactions
66 Replies
15K Views
Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini...
1 Reactions
53 Replies
6K Views
  • Redirect
Wakuu nimekuwa nikimsikia kila mara Ruge na timu yake wakifundisha kuhusu fursa. Basi nimejikuta nashawishika kujua biashara alizonazo hapa mjini ukiondoa kuajiriwa Clouds Media Group . Naamini...
0 Reactions
Replies
Views
  • Closed
Jamani, tumechoka kumsikia Ruge Mutahaba kwenye kashfa zisizokuwa na kikomo. Kuanzania Malaria NO More, hadi Sakata la Lady JayDee. Ruge anatuhumiwa kuwa kiongozi katika kuziba rizki na maslahi za...
0 Reactions
44 Replies
34K Views
  • Redirect
Hizi heka heka zote zilizopo sasa havi kati ya Diamond na Clouds media zina lengo LA kutafuta tension ya watu dhidi ya ujio wa Wasafi TV na redio na hazina lengo lingine. Ni mwanzo wa kuwaandaa...
1 Reactions
Replies
Views
Dar es Salaam. Mmoja wa mameneja wa Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz, Sallam Sharaf amekanusha kuwa na matatizo na uongozi wa Clouds Media Group na kwamba wana ushirikiano mzuri wa...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Sitii, wala kuongeza neno, alichosema ni: Kumbe tatizo ni kumpoteza huyu kijana?????? Waambie familia yako na wazazi waliyokuleta katika haya maisha huyu MTOTO kaletwa kwa makusudi maisha haya...
1 Reactions
41 Replies
9K Views
  • Redirect
Kombora kiotani-39 Boniface birage Tulipoishia baada ya shunie kupinga ndoa yake na pablo ugomvi mzito umezuka na shunie kutimuliwa ukweni.upande wa pili dedani anapewa taarifa za...
0 Reactions
Replies
Views
  • Closed
Sina nia yakumdhalilisha au kumtusi au kumdhihaki Mange Kimambi lakini huwa najiuliza huyu dada kweli yuko sawa kiakili? Ukiangalia matendo yake, maneno yake, haiba yake na maandishi yake unapata...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Mkali wa HipHop Bongo Fid Q ameonekana kukamatika kimahaba kwa mrembo ambaye amemtambulisha nyumbani kwao Mwanza na ameiambia eNEWZ kuwa kwa sasa yupo kwenye mahusiano rasmi. Fid Q amesema...
1 Reactions
31 Replies
12K Views
Back
Top Bottom