Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Diamond ndio 1. Msanii pekee ambaye nyimbo zake hazipigwi kwenye media na bado anakimbiza tofauti na ilivyokuwa kwa Sugu, Dudu baya pamoja na Z anto. 2. Ni msanii mwenye mashabiki wengi Afrika...
2 Reactions
49 Replies
8K Views
Mods msifute huu uzi kuna cha kujifunza hapa. Kuna kale kamsemo kanasema ukiwazoea sana watoto wa kike bila kuwa.kaza kuna siku watakushika wo.wo.wo.. Hii imejidhihirisha kwa mwandada Amberlulu...
8 Reactions
40 Replies
15K Views
Tuzo za afrima nchini nigeria imetoa list ya wasani watakaoshindanishwa katika vipengele mbalimbali katika mashindano hayo. Huku wasanii kutoka katika lebel ya WCB wakiongoza katika vipengele...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Nimemkabidhi rasmi Steve Nyerere cheo cha urais wa misiba Tanzania Bara na Visiwani kwani amethibitisha kwamba hana mpinzani. Ni bingwa wa kufariji wafiwa, kusimamia rambirambi, na kulia msibani...
15 Reactions
79 Replies
12K Views
Mwenye details zozote kuhusu uyu jamaa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Naomba msaada wa kumpata kiurahis zaid mheshimiwa mbunge wa viti maalum kupitia ccm vick kamata kama kuna mtu anapajua kwake au nyumban kwake naomba anambia...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Kiukweli huyu kaka anayejulikana kama Hamisi Mmandi aka B 12 ni moja kati ya presenters wanaokobalika sana ktk industries ya bongo flavour na toka tumeanza kumsikiliza ni mda mrefu sana amekuwa...
1 Reactions
64 Replies
15K Views
Kumekua na tetesi nyingi sana toka msanii Rich Mavoko ajiondoe WCB. Wengi wamemsakama Diamond kwamba alikua anamnyonya sana Mavoko,na wengine wakimuona Mavoko kakengeuka bila kusahau tetesi za...
3 Reactions
40 Replies
15K Views
Taifa lipo msibani! Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea! Nimetazama nyakati za mwisho wakati...
14 Reactions
190 Replies
31K Views
Lesego Motsepe aliekuwa mwigizaji katika tamthiliya ya Isidingo amefariki ghafla leo saa tano asubuhi nyumbani kwao huko Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka 40.Lesego aliyekuwa anaigiza kama...
0 Reactions
86 Replies
24K Views
Wana Jf wasalaam... Mmoja wa wasanii wetu bora kabisa wa hip hop amerudi tena kwenye masikio yetu... Moja ya kipaji alichapewa fid q ni uwezo wa kucheza na maneno na kilo wimbo wake ukiusikiliza...
6 Reactions
38 Replies
13K Views
Ni Young Dar es salama,Kama ni kweli basi Hongera sana dogo....but kama ni wimbo basi tunausubiri...
0 Reactions
61 Replies
11K Views
AY na mrembo wake toka RPF kigali wamefanikiwa kupata mtoto ambaye jina la ubatizo ataiwa AVIEL huku lile la nyumbani ataitwa Gwamaka kaihula (king crazy GK) kama shukrani ya jamaa kumuweka kwenye...
5 Reactions
74 Replies
13K Views
Ni hatua kubwa sana kwake,mara baada ya tetesi nyingi za kufukuzwa WCB. Bora kaamua kujiajiri,na umaarufu wake utamsaidia kujitangaza sana. Hongera bro.
24 Reactions
105 Replies
16K Views
HUYU DADA ALIJISHUSHA SANA KUTOKA NA DIAMOND
3 Reactions
74 Replies
9K Views
Msanii msaliti Rich Mavoko ameonesha chuki ya wazi wazi kabisa kwa Diamond Platnumz kwa kuamua kumu unfollow kabisa I.G yeye pamoja na mama yake mzazi bi Sandra. Mavoko hajaishia hapo tu ...
5 Reactions
82 Replies
16K Views
Mwigizaji mama la mama kwenye kiwanda cha kuzalisha Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya ametoa la moyoni kwamba, bado hajaona mtu kama marehemu Steven Kanumba kwenye tasnia hiyo. Uwoya ambaye ni...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nipo katika likizo ya kiajira, hivo basi nimeona nitumie likizo yangu kuchangamsha ubongo kwa hoja nyepesi nyepesi. Nipo hapa maskani kwangu nikitazama wasafi tv wakati huo huo nikitembelea...
3 Reactions
117 Replies
18K Views
Radio Tanzania RTD mama wa tbc ndio redio kongwe nchini. Imechangia sana maendeleo ya nchi yetu tangu Uhuru. Huwezi kuzungumzia historia ya Tanzania bila kutaja mchango wa RTD. Radio hii imesaidia...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom