Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwishini mwa mwezi wa saba,dunia kama sio Tanzania,tulipata ujumbe kutoka kwa Diamond kwamba kutakua na Birthday party ya mwanae Latifa huko bondeni kwa Madiba!! Party itakua live kupitia channel...
6 Reactions
35 Replies
6K Views
Mchezaji anayekipiga klabu ya Baroka FC ya Afrika Kusini na timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' pia aliyewahi kuzichezea Simba SC na Coastal Union ya Tanga Abdi Banda, alfajiri ya leo Agosti...
3 Reactions
54 Replies
13K Views
Muigizaji mkongwe nchini India, Salman Khan amehukumiwa kwenda jela miaka mitano baada ya kukutwa na hatia ya kuua wanyama jamii ya swala miaka 20 iliyopita. Salman Khan mwenye miwani akipelekwa...
2 Reactions
168 Replies
30K Views
Nyimbo mpya ya rayvan imekua habari ya mjini Nyimbo nzuri sana hii Team wcb tunazidi kufunika Kwako umeipokeaje?
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Leo ni arobaini ya mtoto wa Zamaradi Mketema. Kaalika mastaa mbalimbali kwenye siku hii special ya kijana wake King Salah. Mastaa nao wamejitahidi kupendeza kwa kuvaa kinaijeria. Mama Salah na...
10 Reactions
180 Replies
48K Views
Juzi alfajiri ya Aprili 19, mwaka huu, Kiba alifunga ndoa na mrembo Amina Khaleef katika Msikiti wa Ummul Kulthum uliopo mjini Mombasa, Kenya. Ndoa hiyo ilifungishwa na Sheikh Mohamed Kagera...
3 Reactions
59 Replies
26K Views
Yaani mnacopy kuanzia melody, beat hadi style ya kucheza. What a shame? Halafu ndio mnataka mshindane na Wanaija wakati mnawacopy kilakitu? RAYVANNY hapa umepotea this is too much, dancers nanyie...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Hello guys, Nimefanya observation kwa mastaa wengi wa kike hapa Tanzania kama vile Jokate, Lulu, Wema, Wolper, Kajala n.k. Wengi wao ni warembo na kwenye mvuto haswa lakini pamoja na umaarufu...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Ndio hivi wagosi wa ndima kuvaa uzi rasmi ambao utakuwa na nembo ya kinywaji kinachongojwa kwa hamu sana mofaya
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Nimecheka sanaaa, kumbe Diamond naye anatumbuwa majipu!!
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Mzuka Wanajamvi. Katika huu wimbo wake wa My heart to you ndiyo ilikuwa music video yake the humble Giant ya mwisho. Ilikuwa very simple and humble Na aliifanya kwenye ranch yake. Check pozi la...
12 Reactions
152 Replies
19K Views
Jokate ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. Amefurahi na kumpa hongera kuteuliwa was jokate mkuu wa wilaya ya Kisarawe akiongea na Millard Ayo tv
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Au Q chief ukipenda . Tumpe sapoti asiwe frastreted tena.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu leo ndio imethibitika kuwa Rich Mavoko ameshajiondoa WCB.Hii imebainika baada ya Mavoko kuachia wimbo mpya leo wa HAPPY huku ukiwa umerekodiwa studio nyingine tofauti na wasafi records...
7 Reactions
119 Replies
27K Views
Sio kwa lugha ya humo ipo siku kila mtu atasema dogo anajua. Msikilize hapa Mbosso-nipepee
3 Reactions
56 Replies
15K Views
Kanye West '41' amesimamisha kazi zake zote kwa sasa ili kuwa karibu na baba yake ambaye anaugua saratani ya tumbo. . . Mzee Ray West ambaye anapata matibabu mjini Los Angeles anaendelea vizuri na...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Wanajamvi salaam! Hivi karibuni msanii Diamond Platnumz alipelekewa taarifa ya TRA assessment ya kudaiwa kodi ya kiasi kisichopungua milioni 400, Wadau mbalimbali walijitokeza kumtetea akiwemo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Anajulikana Kama Jacky Pemba alikuwa akiishi Bongo Zaman Akina Fm Academia Akina Bella na Bendi yake wamezifaidi hela zake sana Huyu Jamaa kiufupi ni tajiri (Nasikia utajir wake umekuja kutokana...
5 Reactions
108 Replies
25K Views
Jokate Mwegelo akiwa kwenye pozi Modo ambaye pia anafanya muziki na ujasiriamali, Jokate Mwegelo amefunguka huwa anasikia raha kutovaa chochote. Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate...
2 Reactions
143 Replies
44K Views
Back
Top Bottom