Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

1. Mume wa Zari, Ivan hajafa yupo hai amejificha sababu anadaiwa 2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond 3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake 4. Lowassa ana ugonjwa wa...
21 Reactions
112 Replies
16K Views
70% - maji ya kunde 18% - weusi 10% - weupe 02% - weupe zaidi Source: observation yangu.
0 Reactions
23 Replies
6K Views
JULAI 28, mwaka huu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli alimteua aliyekuwa mshindi wa pili wa mashindano ya ulimbwende Tanzania (Miss Tanzania 2006), Jokate Mwegelo...
4 Reactions
24 Replies
8K Views
Heri na siku ya kuzaliwa kitoto Cha Taifa na kitoto cha msaniii mkubwa Africa na East Africa kwa ujumla nchini Tanzania Diamond platnum aka chibudee ,baby Dee tulikupigania hadharani mpaka leo...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Malia Obama(20) na mpenzi wake Rory Farguharson(19) wabamba Mayfair London wakivuta sigara wakati wakienda kula dinner . Malia Obamba ambaye alikuwa first daughter katika ikulu ya Marekani alianza...
10 Reactions
119 Replies
20K Views
Mungu naomba unisamehe ilaa hawa wasanii wawili wa gospel kwakweli kila nikiwangaliaa huwaa siwamalizi na mapozi yao. Yani lips wanapaka lipshine na wanavyozipandishaa hizo nyusi kwenye picha zao...
11 Reactions
210 Replies
47K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limesema halijawaita wala kufungia wimbo wa Parapanda uliombwa na wasanii wa kundi la Rostam, Roma Mkatoliki na Stamina na kusema kuwa labda wameamua kujifungia...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
🎵🎤🎼🎶🎵🎤🎼🎶🎼🎶🎼 👤 for Roma na 🙊 for Stamina 👤Karibu mzee kingunge kwenye makazi ya milele Mimi huku ninamji wangu tayari unaitwa nyerere ,nimeshtuka kukuona huku nini chanzo cha msiba..h, 🙊...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna mtu anaitwa Mzee Tyson pale WCB, yeye ndio anashare nyingi kuliko mtu yeyote kwenye ile kampuni. Tunaweza kusema yeye ndio mmliki halali wa WCB Je, kuna mtu mwenye cv yake? Huyu mtu ni nani...
2 Reactions
30 Replies
6K Views
Account yake pendwa yenye followers mil 4.2 ya Instagram imehackiwa. Update : ni kawaida kwa wanadam kusema lolote lile hasa kupinga...hebu fikilia watu wanapinga hadi uwepo wa mungu na mamlaka...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Katika ari ambayo isiyoelezeka Zamaradi ajikuta akilabwa na Matusi ya Nguoni na Watanzania hii ni baada ya kumuWish Happy birthday@tiffa wa Diamond kwa kumtag@diamondplatnumz pekee bila ya mama...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Angalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTF UPDATES ============== Baada...
11 Reactions
109 Replies
11K Views
Hawo wasanii aslay na harmonize ndio watakae chukua nafasi ya alikiba na Diamond . Alikiba aliwahi kusema hili kuhusu aslay ‘Tamba Mdogo Wangu Unajua’ huku akiambatanisha na kava ya wimbo huo wa...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Huyu mama sijui yupoje mbona ye kaolewa na kibenten tena alijitolea mahali na harusi akajigharamia,, kuolewa na miaka 50 vepeee We mama tuliza mdomo. Ungepata mkwe kama mim ungenitambua yaan...
5 Reactions
163 Replies
20K Views
Mara ya mwisho kumsikia DJ huyu aliyepata kuwa maarufu sana nyakati hizo alikuwa radio one. Kwa yeyote ajuaye alipo na anafanya nini atujuze tafahali. Alijua kuyapanga mabuzuki, masebene...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu naombeni mawazo yenu juu ya hili balaza maana tunapoelekea Diamond ataombwa kibali cha kupiga picha na watoto wake[emoji33]
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wimbo kama naliamsha dude na unanifanya nicome kwanini hazijafungiwa? Weusi wamewapa nini mpaka hamjafungia nyimbo hizo? katika nyimbo ambazo zimefungiwa kuna nyimbo zimefungiwa na hazina maudhui...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Salam Wakuu, Napenda kutoa Ushauri kwa Wasanii wa Bongo fleva ,Ni Wazi kwa Sasa video zina quality na soko Wamelikamata,Ila Kwenye upande wa Music bado.. Sijui uoga unatoka wapi wakati wana...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom