Fact: Mbosso is on fire, lakini anaitaji local media support

music mimi

JF-Expert Member
Jun 16, 2013
441
758


Tukubali tukatae Mbosso ni msanii mkali kabisa wa kizazi cha sasa cha bongofleva.

Ana aina yake ya uhandishi, anauimbaji wa tofauti wa pwani, ana weza kutengeneza idea nzuri ya nyimbo.

Naweza sema angepata fair airtime kama ya wasanii wengine kwenye local media zote kwa sasa ndio angekuwa msanii namba moja bongo.

Lazima tukubali ndio msanii wa wcb aliyeathiriwa zaidi na beef za media kwa label yake.
Lazima watu wa wcb wakubali kuna kitu kikubwa wanapoteza kwa kuendeleza ugomvi na awa wakongwe wa burudani na wanaoathirika ni wasanii wao ambao bado wanategemea local media (mavoko, mbosso &lavalava.)
Washabiki wa muziki wa bongo wana utamaduni wa kuaminishwa ndio waamini ilo ni jambo lisiloitaji ubishani. Kuna watu wanaamini XXL ndio wapitishaji wa ipi ni nyimbo nzuri na uwezi wabadilisha , kuna watu ambao ni wengi ikiwemo watangazaji wanaamini sana endorsement ya B 12 kwenye wimbo au Gardner G Habash kwao wimbo au msanii akipitishwa na awa watu ni heat.

Najua wenye team mtanishambulia lakini naamini WCB bado wanaitaji kuona namna ya kumaliza tofauti na media sababu sioni media kubwa kama IPP au Clouds zikiomba suluhu na wasafi.

Bado nasisitiza kungekuwa na fair kwenye airtime basi sasa hivi tungeanza kusahau ushindani wa Kiba na Diamond ambao hauna nguvu tena. Sasa hivi tungekuwa tunazungumza Mbosso na Aslay na ingekuwa ni burudani nzuri sana sababu ya vipaji vya awa wawili.

CC chige Chinga One data LAKI si pesa Daudi Mchambuzi
 
Last edited:
Mameneja wa WCB ni bongolala wanachochea ugomvi na media zingine badala ya kuweka suluhu na ndiyo matokeo yake wasanii wapya wa WCB wanakosa air time,
nadhani hao mameneja mandazi wa WCB wanapata pesa kutoka kwenye kazi za diamond tu ndiyo maana wako radhi hawa wasanii wachanga wa WCB wapotee tu kisa uswahili na ushamba wanaofanya hao mameneja mandazi.
 


Tukubali tukatae Mbosso ni msanii mkali kabisa wa kizazi cha sasa cha bongofleva.

Ana aina yake ya uhandishi, anauimbaji wa tofauti wa pwani, ana weza kutengeneza idea nzuri ya nyimbo.

Naweza sema angepata fair airtime kama ya wasanii wengine kwenye local media zote kwa sasa ndio angekuwa msanii namba moja bongo.

Lazima tukubali ndio msanii wa wcb aliyeathiriwa zaidi na beef za media kwa label yake.
Lazima watu wa wcb wakubali kuna kitu kikubwa wanapoteza kwa kuendeleza ugomvi na awa wakongwe wa burudani na wanaoathirika ni wasanii wao ambao bado wanategemea local media (mavoko, mbosso &lavalava.)
Washabiki wa muziki wa bongo wana utamaduni wa kuaminishwa ndio waamini ilo ni jambo lisiloitaji ubishani. Kuna watu wanaamini XXL ndio wapitishaji wa ipi ni nyimbo nzuri na uwezi wabadilisha , kuna watu ambao ni wengi ikiwemo watangazaji wanaamini sana endorsement ya B 12 kwenye wimbo au Gardner G Habash kwao wimbo au msanii akipitishwa na awa watu ni heat.

Najua wenye team mtanishambulia lakini naamini WCB bado wanaitaji kuona namna ya kumaliza tofauti na media sababu sioni media kubwa kama IPP au Clouds zikiomba suluhu na wasafi.

Bado nasisitiza kungekuwa na fair kwenye airtime basi sasa hivi tungeanza kusahau ushindani wa Kiba na Diamond ambao hauna nguvu tena. Sasa hivi tungekuwa tunazungumza Mbosso na Aslay na ingekuwa ni burudani nzuri sana sababu ya vipaji vya awa wawili.

CC chige Chinga One data LAKI si pesa Daudi Mchambuzi
Wanasema mtoto ameshakua. Ila ukuaji huu wa watoto wa siku hizi, hauna busara. Maana sisi tunaamini utu uzima dawa.

Watoto wakishaanza kushika hela, wanaona wanaweza kushindana na kila mtu. Wamesahau kwamba pesa haiwezi kununua hekima na busara

Ni hayo tu
 
Mimi sikuhizi TV yangu pendwa ni 'TUMEWASHA', sina muda wa kusikiliza Redio labda kwa bahati mbaya. So hiyo hoja ya kuaminishwa na B12 kwangu haina mashiko
 
Kuna watu wana imani mbovu,hao vijana mnaosema wamekosa promo ya media kila siku tunasikia wana show mikoani,au wanapigia show Instagram?? Tukubali tukatae uwezo wa media uliowapoteza kina rama dee na mapacha kwa sasa haupo....hasa hapo WCB.
 
Kuna watu wana imani mbovu,hao vijana mnaosema wamekosa promo ya media kila siku tunasikia wana show mikoani,au wanapigia show Instagram?? Tukubali tukatae uwezo wa media uliowapoteza kina rama dee na mapacha kwa sasa haupo....hasa hapo WCB.
Na ni show za kibabe kweli
 
Back
Top Bottom