Hii ndo Tanzania: Kumbe Hawa wa nitarejea anaumwa moyo sio INI kama madaktari wa Tanzania walivyosema

eastmea

Senior Member
Jul 28, 2018
159
133
Daaah nimesikitika sana baada kuziona hizi taarifa. Hivi madaktari wa Tanzania wanatumia aina gani ya vipimo vipimo vyao ni vya kubahatisha sana. Nakumbuka hata kwa ommidimpozi walituambia matatizo mengine kumbe mtu aliwekewa sumu sasa imejirudia tena kwa Hawa baada ya kutuambia anatatizo za INI kumbe mtu anatatizo la moyo ningekuwa waziri wa hii wizara ningemtumbua mapema


Diamond platinumz ubarikiwe sana kwa msaada wako kwahuyu binti
 
Weka chanzo cha taarifa yako.
Screenshot_20181022-174840.jpg
 
Madaktari waboreshwe mishahara na vifaa tiba, huduma iwe bora zaidi
Daaah nimesikitika sana baada kuziona hizi taarifa. Hivi madaktari wa Tanzania wanatumia aina gani ya vipimo vipimo vyao ni vya kubahatisha sana. Nakumbuka hata kwa ommidimpozi walituambia matatizo mengine kumbe mtu aliwekewa sumu sasa imejirudia tena kwa Hawa baada ya kutuambia anatatizo za INI kumbe mtu anatatizo la moyo ningekuwa waziri wa hii wizara ningemtumbua mapema


Diamond platinumz ubarikiwe sana kwa msaada wako kwahuyu binti
 
Huwa wanasisitiza kupima mara kwa mara ila mimi huwa naogopa sana kupima maana inaweza ikawa ndio mwanzo wa matatizo kwangu
Mambo ya kupima yanahitaji moyo.
Hapa nilipo najiona mwenye hatia.
Nilimshawishi jamaa tukachangie damu.
Tumechangia mimi niko na damu salama wakati jamaa amekutwa na tatizo la homa ya ini.

Imeniuma roho na najilaumu kumshawishi akatoe damu. Anaishi kwa hofu huku akisubiri kipimo kingine cha HCT.
 
Yaan tz ukiumwa unaambiwa hiki ukienda kwa wenzetu wanagundua tatizo tofauti na hii si mara ya kwanza tatizo nini madaktari wetu
Yani hapa bongo unapimwa na kuambiwa unaumwa hiki na unaenda hospital nyingine hapa hapa bongo unaonekana hauna shida hiyo.
Udaktari kazi ngumu sana hasa nchi zetu maskini zisizokuwa na vifaa vya kupimia vya teknolojia ya kisasa.
 
Back
Top Bottom