Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

https://www.instagram.com/reel/DK2yiqMNG2v/?igsh=aTdsZGNiMHc5bThn Ni kama ndoto ambayo imegeuka kuwa kweli. Msanii wa bongofleva kujaza ukumbi mkubwa kwenye jiji la London. Diamond ameweka...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Rais wa TFF Wallace Karia,amemshitaki Haji Sunday Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na...
0 Reactions
6 Replies
890 Views
Hakika zama zimebadilika sana. Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu...
9 Reactions
101 Replies
5K Views
Huyu mtangazaji hivi sasa anaendesha kipindi cha ujumbe katika muziki,ana sauti nzuri na anatangaza vizuri na kwa hisia. Ameanza na wimbo wa sauda aliyepata mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee. 2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa...
9 Reactions
65 Replies
5K Views
hii ni list ya jay-z mpaka kuwa beyonce.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Hayo yamewekwa wazi na mbunge wa viti maalum, Halima James Mdee akihojiwa na Wasafi Fm leo asubuhi. My take: Vijana mnakwama wapi? Lishangazi hilo lipo free changamkieni fursa
14 Reactions
135 Replies
19K Views
Zari The Bosslady amemmwagia maua Zuchu kwa uvumilivu wake kwa Diamond Platnumz mpaka kuipata Ndoa 😄
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Talaka 3 ndani ya siku 28 hizo zinafaa kuingia kwenye Guinness Worlds' Record.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye usiku wa mwanadada Yammi, Haji Sunday Manara amesema kama Diamond angechelewa kumuoa Zuchu basi yeye angeenda kutoa posa kwa Bi Khadija Kopa ili amuoe...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Rachel Temu maarufu Sana kwenye mtandao wa Instagram akitumia jina gumu - Tempestitouslyracheltemu ni mwanamke anaejinasibu kua yeye ni mke wa afisa flan wa ubaloz kutokea Zimbabwe. Anaishi...
7 Reactions
99 Replies
25K Views
Msikilizeni hapa anahitaji msaada wa haraka wa kisaikolojia! https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1929559557958758834?t=8vjMEJIjxKMPmI6X0Q3KGw&s=19
1 Reactions
19 Replies
2K Views
CALIFORNIA, Marekani: NYOTA wa NBA, Kevin Durant, amezidi kwa warembo, kwani taarifa zinasema sasa anatoka na modo Sabrina Brazil. Taarifa zinanyetisha kuwa mkali huyu wa timu ya Golden State...
2 Reactions
56 Replies
8K Views
To honor your closest and dearest friend. Who is your best friend?
0 Reactions
1 Replies
347 Views
Wajue watu wanaompa Mkongwe KOFFI OLOMIDE Nguvu ya Kudumu kwenye Muziki wa Afrika Takribani Miaka 40 Leo.. Wanasema Penye Mafanikio ya Mtu lazima kuna Connection au Mchakato flani wa kueleweka...
42 Reactions
189 Replies
11K Views
Mimi ni msikilizaji mzuri wa radio mbalimbali ikiwamo Wasafi Fm. Vipindi karibuni vyote kama Wasafi fm ukikuta wanamu_interview mtu au msanii huwa wanaboa sana wanajidai wanajua kwenda Kwa...
10 Reactions
38 Replies
3K Views
Wakuu, Baada ya wananchi kuvamia page za serikali mpaka za rais samia na no reforms no election chawa na kupe wa mama wamekuja na kampeni yao ili kuonesha mama anakubalika. Kwenye masuala ya...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Mtoto wa Will Smith, Jaden Smith, amefungua mgahawa wake wa "I Love You Restaurant”—mahali ambapo watu wenye uhitaji na wanaokabiliwa na ukosefu wa makazi wanaweza kula BURE. Sasa, mtu yeyote...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Jamani hii couple ya Navykenzo hua naipenda sana. Imedumu na ni mfano wa kuigwa. Sijawaona hadharani siku nyingi mpaka nilipowaona Jana kwenye harusi ya Jux. Nahreel hana raha na amekonda na sio...
7 Reactions
62 Replies
5K Views
Back
Top Bottom