Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Zayed Bakhresa akiwa na kinywaji chake Red Bull mkononi. Kwanini hatumii Azam Energy? Tutafute hela kwa nguvu zote wakuu!! Anyway hii gari ndio Feitoto aliomba apigie nayo picha
19 Reactions
81 Replies
5K Views
"Ilinisikitisha sana kuona mwanaume akipigwa makofi na kudhalilishwa namna hiyo tena na Mwanaume mwenzake. Taswira hiyo imeumiza sana nafsi yangu. Ilinikasirisha sana. Naumia sana kuona mtu...
1 Reactions
4 Replies
496 Views
Ameandika makamu wa rais Yanga SC Arafat Haji kupitia ukurasa wake wa Instagram. “Wanaweza kusababisha kifo chako na bado wakaja msibani kujiliza sana, wanaweza kukusababishia matatizo na wakawa...
3 Reactions
10 Replies
619 Views
Siwezi kuongea kwa niaba ya watu wenye asili ya africa wote wanaopenda hip hop, wawe wabongo, wamarekani weusi, waingereza , n.k, lakini wacha nitoe maoni yangu, Eminem is the goat (great of all...
18 Reactions
159 Replies
56K Views
Wahenga salaam, Nakumbuka zama hizo Sinta aliibukia kwenye uigizaji enzi hizo na ray Kigosi , ghafla Shigongo naye akadondoka na magazeti ya udaku, miaka hiyo penzi la P Didy na j lo linatamba...
28 Reactions
153 Replies
39K Views
Harmonize Ni msanii mzuri aliyekosa focus ajui kipi Cha kusimamia na kipi cha kusimamia leo atakuja na hili kesho yake atakuja na lingine ataacha la mwanzo.Alivyotoka wasafi alianzisha bus la...
28 Reactions
72 Replies
11K Views
Alianza kuimba tangu akiwa shule wakati anasoma sekondani ndipo akajiunga na Tanzania House of Talents (THT) ila alitoka kimuziki chini ya M Lab (Music Laboratory) na sasa ni miongoni mwa waimbaji...
13 Reactions
35 Replies
3K Views
habari wadau.. nimeona kwenye habari hashim lundenga anaomba serikali imsaidie kutafuta wafadhili wa miss tanzania.. kama yupo humu au jamaa yeyote aliyopo humu amfikishie huu ushauri. ni...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado...
34 Reactions
285 Replies
50K Views
Hello Wakuu Leo Rapper Eminem amefikisha Miaka 51 ya kuzaliwa Ili kusherekea sikukuu sio vibaya tukashare mstari katika wimbo wake unaokukonga roho hadi kesho Mimi naanza na hii kutoka 'Not...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Hatimaye mwanadada mrembo na mfanya biashara maarufu tokea pande za +254 amefunguka na kudai ameshasaini kila kitu kilichomtaka yeye kufanya hvyo , na Kwa sasa anachoangalia yeye ni biashara zake...
13 Reactions
254 Replies
24K Views
Baada ya Mwemba Burton maarufu @mwijaku kusema na kuandika maneno ya udhalilishaji kwa msanii @mauasama hivi karibuni amejikuta akikalia kuti kavu baada ya Maua Sama kupitia Wakili wake, Claudio...
28 Reactions
53 Replies
9K Views
Watanzania adui yetu mkubwa kwa sasa ameongezeka. Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini, magonjwa na ujinga. Kwa sasa adui yetu mkubwa ni 1. Wivu 2. Chuki 3. Unafki Ukikaa chini ukatafakari...
4 Reactions
94 Replies
10K Views
Diamond Platinumz had just taken delivery of a brand new Rolls Royce when I spoke to him – it’s a blue Cullinan, latest model. It’s the first of its kind in Tanzania and when Diamond took it on...
5 Reactions
42 Replies
6K Views
Huyo hapo chini ndiye mchumba wa AY na ana asili ya Yemen na visiwa vya Shelisheli. Hapo ilikuwa Jumapili iliyopita Club Bilicanas. Amesema katika harusi yake hatachangisha michango kama baadhi ya...
8 Reactions
144 Replies
30K Views
Wakuu Huyu Ndio Mshindi Wa Shindano La Miss Kyelwa 2021. Hakika Muandaaji na Majaji Wametisha Sana Kwenye Hili. Hongera Kwa Mshindi na KAZI IENDELEE [emoji281][emoji281][emoji281]
7 Reactions
38 Replies
5K Views
Kuna watu tumejaliwa vipaji fulani vya kusoma alama za nyakati na kutabiri mambo yajayo. Zaidi ya miaka miwili nimekuwa nikimfuatilia huyu mwanamziki Harmonise tangu ajitoe kwenye label ya WCB. Na...
32 Reactions
48 Replies
6K Views
Nataka kumkumbusha Rayvanny asi concentrate sana na Papuchi akasahau mziki wake, akumbuke yeye bado ni muajiriwa wa label ya wasafi, asipofanya kazi hali... Sasa yeye aendelee kutangatanga na huyo...
21 Reactions
107 Replies
17K Views
Kupitia Instagram yake Fahyma ambaye ni mama mtoto wa Rayvanny ameandika kuwa:- NAOMBA IFIKE MUDA MUWE NA HESHIMA NA JINA LA MTU UNAE TUMIA PICHA YANGU NA JINA LANGU KWA MANUFAA YAKO SHERIA...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Sio mpenzi sana wa kutoa maoni yangu kwa mambo madogo madogo hasa yasiyo ya lazima kama mambo ya muziki na filamu. Ila leo nimeona sio vibaya kusema kitu kwa huu uonevu unaondelea kwa komredi Ali...
20 Reactions
73 Replies
7K Views
Back
Top Bottom