Katika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake...
Kuna Msanii mmoja amefariki ila Watu wanadai amerogwa hii ni Imani ya kijinga , tujifunze kuamini katika Qadari za Mwenyezi Mungu.
Pia nyie wanawake mnaosema mtaendelea kuwakomesha Michopuko...
Habari wakuu,
Bwana mi nimewamiss,
Ila ngoja twende kwenye mada yetu ya huyu baro Jux na Vee Money mpambano unaendelea.
JUX kwanini aoe Nigeria?
Mi sijui naona Nini, ila ni kama naona Kuna...
Mjomba wa Mke wa Jux ni tafsiri tosha ya kauli ya mjomba ni mama, kijana wetu Jux kayakanyaga
Pozi la mjomba pamoja na madoido akina dada wakasome kwasababu hawaingii ndani
Huyu kijana Juma Lokole anapokuwa kwenye matukio ya kijamii anakaa upande wa Wanawake badala ya kukaa na Wanaume
Hii ni tabia mbaya sana hasa katika utamaduni wetu sisi Watanzania na kwa baadhi...
MOJA ya habari zinazotreni mitandaoni na vyombo vya habari ni iliyokuwa ndoa ya Haji Manara na Zaylissa ambayo imefikia mwisho na inaelezwa mwanadada huyo amepanga kushusha bonge la pati...
Private jet ya Msanii na Mfanyabiashara maarufu duniani, Juma Jux inatarajiwa kuwasili Jumanne saa 7 mchana katika Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Wote mnaalikwa kwenye...
Salute iende kwenye mada, kiukweli hapa mjini Dar es salam kuna watu nadhani wanaishi maisha mazuri ni kama wako Dubai au New York .Binafsi nimekuwa chawa promax wakumfatilia huyu kijana anaejiita...
Habari zilizotufikia hivi punde, Msanii na MC Maarufu, Gladness Chiduo 'Zipompa Pompa' amefariki dunia katika hospitali ya Rabinisia jijini Dar es Salaam.
Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Ununio...
Steve Mweusi sijui ana tatizo gani, kuna comedy ambayo waigizaji wake wanafanya masihara na kila mmoja anajua hilo
Lakini Muziki sio aina ya sanaa inayotaka mzaha. Huyu kijana aliimba wimbo wake...
Huyu mkaka ni nani hapa mjini anafanya mishe gani maana huwa namuona akila bata kila mahala dunia mara Marekani mara ulaya mara Dubai mara anaendesha magari ya gharama sana
Anafanya mishe gani...
Tuwe makini sana na Wachungaji na Manabii na Dini zao wanaoibuka enzi hizi.
Kwa bahati mbaya siku hizi za mwisho, watu wanadanganywa sana na wengi wataangamia.
Amani kwenu wadau,
Wiki moja iliyopita niliwaeleza jinsi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la habari Tanzania (TBC), AYOUB RYOBA alivyotaka kupigana na mtangazaji wa EFM Radio, Gerald Hando
Dr. Rioba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.