Hata ukipress hio trend unaona vyombo vikubwa vya nigeria vikmzunguzia yeye.
Tangia mwamba amepata jiko kutoka nigeria, amekuwa talk of town karibia. Africa Magharibi nzima.
Sasa aitumie kama...
Habari wadau.
Jana juma jux alikuwa anafunga ndoa ya kimila na binti maarufu nigeria .
Ndoa hiyo ina faida kubwa sana kwa jux kibiashara.
Nigeria ina zaidi ya watu milioni 200. Na wengi wao...
Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria aitwaye Sis Osinachi Nwachukwu maarufu kwa wimbo wake “Ekwueme” amefariki dunia.
Osinachi alishirikishwa na Prospa Ochimana katika wimbo huo...
"Mwanamke yeyote ndoto yake kubwa kuwa na Mume, katika maombi yangu yote hilo naliomba sana lakini siwezi kumpangia Mungu atayajibu lini".
"Mkisikia natangaza harusi mjue maombi yamejibu, nipate...
Wadada wengi ndio maana mnashindwa kupata real love kwa mambo mafupi sana.
Kuna kipindi fulani nilimsikia baba levo kuachana na mke wake ni kwa sababu ya dini ila walizaa.
Sasa baba levo Mpunga...
Mratibu wa zamani wa Miss Tanzania Hashim Lundega, amefariki dunia leo katika Hospitali ya Kitengule - Tegeta, Jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mshirika wa karibu wa Marehemu Lundenga, Bosco...
Rapa kutoka marekani Kendrick Lamar amevunja rekodi iliyowekwa na marehemu Tupac kupitia wimbo wake wa (not like us) . wimbo wa Tupac Shakur (Hit em up) ulikua ndio wimbo bora wa DISS TRACK kwa...
Huyu Dada sikuhuzi sijui amekuwaje dakika 2 anaitukuana familia ya msanii Diamond platnumz baada ya muda kidogo anasema anamtaka Diamond kimapenzi yaani anaonekana Yuko obsessed na Diamond
Either...
Naskiliza hapa kazi Ya Diamond Platnumz Wonder naona kijana anajua sana ana mziki mzuri kwa kweli, sijui wanaosema hajui kuimba wao wanaimba nini
Mcheki hapo akiimba live
maana naona kijana...
Habarini,Kwa mda mrefu sana nimekuwa nikujiuliza maswali mengi ambayo nimeshindwa kuwa na Majibu yake!!!,Lakini am sure hapa Jamii Forum nipata majibu sahihi!!
Siwezi kumuweka MANGE KIMAMBI kama...
Staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa mwezi ujao kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan anamuoa Zuchu.
Soma: Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na...
Habari za wakati huu natumaini mu wazima wa afya, Najua watu wengi humu jukwaani ni watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Instagram na wengi wetu tunajua namna sahihi ya matumizi ya huu mtandao...
Mwaka 2010, jina la la Diamond Platinum lilichomoza kwenye vyombo vingi vya burudani kwa wimbo wake uliokuwa mkali kipindi hicho "Kamwambie".
Ilimuchukua Diamond miaka 4 kupambana kwa kuimba sana...
Miaka 35 ya Jux akimiliki PESA, ELIMU , UMAARUFU ila bado alikataa kuzaa nje ya ndoa hongera Jux you made it ni somo kubwa sana kwa vijana.
Jux we ndo kioo cha jamii Hapa Tanzania achana na hao...
Siku saba sasa zimepita tangu huyu binti menina ambaye ni msanii, mc, mwalimu wa madrasa na mchekeshaji lakini pia ni professional commercial Hawks, kutupia mitandaoni picha zake za uchi akiwa...
Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa
Msanii Grace...
Mmh!! Mpaka sasa hivi Majizzo bado hajatoa birthday wishes kwa aliyekuwa my love wake, Lulu Michael. Sio kawaida aiseh, leo tungeona mbwembwe za kila aina, ila nimepitia kwenye page ya Majizzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.