Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Katika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake...
4 Reactions
50 Replies
5K Views
Wakongwe tulimjua tangu awali ila hadi sasa watu wengi ukiwaambia kwamba mwamba ni mzungu wana bisha kabisa
11 Reactions
35 Replies
2K Views
Kuna Msanii mmoja amefariki ila Watu wanadai amerogwa hii ni Imani ya kijinga , tujifunze kuamini katika Qadari za Mwenyezi Mungu. Pia nyie wanawake mnaosema mtaendelea kuwakomesha Michopuko...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari wakuu, Bwana mi nimewamiss, Ila ngoja twende kwenye mada yetu ya huyu baro Jux na Vee Money mpambano unaendelea. JUX kwanini aoe Nigeria? Mi sijui naona Nini, ila ni kama naona Kuna...
12 Reactions
57 Replies
3K Views
Carina alishindwaje kumjengea mama yake hata kibanda huko kivule mpaka leo familia nzima wanaishi nyumba za kupanga ?. Wasanii mnajisahahu Sana
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Mjomba wa Mke wa Jux ni tafsiri tosha ya kauli ya mjomba ni mama, kijana wetu Jux kayakanyaga Pozi la mjomba pamoja na madoido akina dada wakasome kwasababu hawaingii ndani
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Huyu kijana Juma Lokole anapokuwa kwenye matukio ya kijamii anakaa upande wa Wanawake badala ya kukaa na Wanaume Hii ni tabia mbaya sana hasa katika utamaduni wetu sisi Watanzania na kwa baadhi...
10 Reactions
83 Replies
4K Views
Huyu dada yetu Lady Jay Dee akubali tu jua lishazama haya mambo awaachie kina Abigail jaman, sasa paja la mtu mzima mkongwe nani alitamani.
19 Reactions
118 Replies
5K Views
MOJA ya habari zinazotreni mitandaoni na vyombo vya habari ni iliyokuwa ndoa ya Haji Manara na Zaylissa ambayo imefikia mwisho na inaelezwa mwanadada huyo amepanga kushusha bonge la pati...
8 Reactions
67 Replies
3K Views
Msanii Carina , hajarogwa na mtu yeyote ila amefariki kifo cha kawaida.
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Private jet ya Msanii na Mfanyabiashara maarufu duniani, Juma Jux inatarajiwa kuwasili Jumanne saa 7 mchana katika Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Wote mnaalikwa kwenye...
12 Reactions
55 Replies
4K Views
Salute iende kwenye mada, kiukweli hapa mjini Dar es salam kuna watu nadhani wanaishi maisha mazuri ni kama wako Dubai au New York .Binafsi nimekuwa chawa promax wakumfatilia huyu kijana anaejiita...
14 Reactions
226 Replies
52K Views
Wasanii kama Meja Kunta inakujae mama yako anauza samaki usiku anateseka na anaishi sehemu ya ajabu. Wasaniii mjitafakari Sana
17 Reactions
158 Replies
8K Views
Habari zilizotufikia hivi punde, Msanii na MC Maarufu, Gladness Chiduo 'Zipompa Pompa' amefariki dunia katika hospitali ya Rabinisia jijini Dar es Salaam. Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Ununio...
4 Reactions
56 Replies
13K Views
Steve Mweusi sijui ana tatizo gani, kuna comedy ambayo waigizaji wake wanafanya masihara na kila mmoja anajua hilo Lakini Muziki sio aina ya sanaa inayotaka mzaha. Huyu kijana aliimba wimbo wake...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Huyu mkaka ni nani hapa mjini anafanya mishe gani maana huwa namuona akila bata kila mahala dunia mara Marekani mara ulaya mara Dubai mara anaendesha magari ya gharama sana Anafanya mishe gani...
5 Reactions
162 Replies
72K Views
Tuwe makini sana na Wachungaji na Manabii na Dini zao wanaoibuka enzi hizi. Kwa bahati mbaya siku hizi za mwisho, watu wanadanganywa sana na wengi wataangamia.
15 Reactions
124 Replies
4K Views
DM Nikupe prompt ya kutengeza action figure yenye picha yako
0 Reactions
3 Replies
269 Views
Amani kwenu wadau, Wiki moja iliyopita niliwaeleza jinsi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la habari Tanzania (TBC), AYOUB RYOBA alivyotaka kupigana na mtangazaji wa EFM Radio, Gerald Hando Dr. Rioba...
22 Reactions
101 Replies
20K Views
Back
Top Bottom