Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Amani kwenu wadau, Wiki moja iliyopita niliwaeleza jinsi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la habari Tanzania (TBC), AYOUB RYOBA alivyotaka kupigana na mtangazaji wa EFM Radio, Gerald Hando Dr. Rioba...
22 Reactions
101 Replies
20K Views
Msanii maarufu wa kundi la Jagwa Music ambaye alikuwa nyota wa kundi kwa sauti yake tamu na Nzuri bwana Jack Simela ametutoka kwa ajali ya gari aliyoipata mkoani Morogoro kwa kugongana na Scania...
7 Reactions
143 Replies
53K Views
Naona kama umri umeshasonga sana vile. Au yeye ni mdogo kwa Celebrities wengine kama Zamaradi nk
7 Reactions
200 Replies
7K Views
Haiwezekani mtu mmoja anaoa na kuacha kila kukicha, halafu haogopi maradhi yaliyozagaa kila mahali?
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Unajua bwana...! Kila jambo lina muda wake na kila jambo lina wakati wake. Unaweza ukajiuliza wakati ni nini na muda ni nini, natumai unaweza ukajijibu mwenyewe, ila kama utashindwa kujijibu...
6 Reactions
39 Replies
1K Views
Toka wiki iliyopita naona Mwanadada Munalove aliyekuwa mke wa Peter komu sijui makomu (anayemjua atanisahihisha) analeta maombi Instagram Mungu ampitishe kwenye kikombe anachokunywa saivi, anaomba...
8 Reactions
87 Replies
5K Views
MAKALA hii imeandaliwa na Kaka MWAFRIKA Alizaliwa kwa majina ya Amri Athuman mnamo 1948 Mkoani Tanga, TANZANIA. Alisoma shule ya Msambweni iliyoko,mkoani TANGA Alianza kuigiza akiwa na umri...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni ajabu nchi inakumbwa na janga la ushoga alafu watu wetu wa sanaa ambao ni kioo cha jamii wapo tu kimya? Watafanya nini wakati baadhi yao ni mashoga! Tulitegemea kipindi cha majanga ya...
6 Reactions
104 Replies
5K Views
Katika umri mdogo ambao wengi hujifunza tu kuhusu dunia kupitia vitabu na mitandao, Darren Jason Watkins Jr, maarufu kama IShowSpeed, amevuka mipaka na kufanya historia kwa macho yake mwenyewe...
0 Reactions
7 Replies
509 Views
Sina hakika kama imeshaletwa huku au laa, ila mimi ndio nimeiona leo. Nikaona niilete hapa ili mwenye kuweza kusaidia matubabu ya mwigizaji Carina asaidie. Pengine hata tukimega pesa kidogo toka...
14 Reactions
57 Replies
11K Views
Naona Manara anataka kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, kama alipigwa tukio na rushayna mpaka akazimia basi hapa kwa Zai ategemee maumivu mara mbili yake. Zai anajulikana ni mwanamke mapepe...
29 Reactions
109 Replies
13K Views
Akiwa kwenye kwenye kipindi cha Leo Tena cha Cloudsfm, Haji Manara amesema kuwa hajawahi kufanya mapenzi nje ya Ndoa. ANGALIA VIDEO HAPA
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Ila shoga angu kiboko khaa, warumi mie napenda ushirikina ila shoga angu umezidi, kwa hiyo wewe na kina wema na lulu kila wiki nyie mnaenda kuroga? Kwa hiyo na nyie kwenu ilikua kama ibada kila...
15 Reactions
82 Replies
16K Views
Baada ya mwanadada Jokate Mwegelo kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya kisarawe picha ya mtangazaji "Mussa Kipanya" akiwa na Jokate Mwegelo miaka hiyo enzi za ujana wao imeibuliwa na kusambaa kwa...
7 Reactions
104 Replies
28K Views
Msaada kwenye tuta... Natafuta lyrics ya wimbo wa JOSE MTAMBO FT BELLE 9_Naongea na roho. Napataje wadau,au kuna mwenye uwezo wa kushusha hata vesi 1 tu. Asante. #forgive me.
0 Reactions
4 Replies
381 Views
KIMEUMANA🚨‼️ Hii imetoka kwa Rapa kutoka Kanada, Nav mke wa Nav ameshikwa na sitofahamu baada ya kuwasilisha kesi ya talaka akihitaji kupewa nusu ya utajiri wa Nav ambao ni zaidi ya dola milioni...
12 Reactions
37 Replies
2K Views
Mrembo Loveness Tarimo ambaye ni Miss Fitness 2019 amezua gumzo kuhusiana na jinsia yake. Wengi hawaamini kama Love ni mwanamke kulingana na namna anavyojiweka ,sauti yake ,kifua chake ,mpaka...
14 Reactions
99 Replies
13K Views
Huyu jamaa anajiita Manara anaoa kwa lengo la kujipatia pesa Ila sio ili akae na mwanamke . Naomba wadau kuanzia Gsm, wasafi na serikali msinchangie tena Manara Endapo akitaka kuoa mwambieni...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
Inadaiwa Haji na Mkewe Zai, wanamtuhumu MaiMartha Jesse kwa kumtusi Mkewe Zailyisa kupitia mahojiano na Online Tv yake ya Mai Tv, kuwa ni mwanamke asiyefaa kuwa mke wa Mtu kutokana na kitendo...
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Hamisa Mobetto ajitabiria kuwa baada ya miaka mitano atakuwa mwanamke wa ndoto yake, atakua kiuchumi, mwenye furaha na aliyefanikiwa Baada ya kutoa kauli hiyo walimwengu wameenda mbali na kusema...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom