Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Sumbawanga Hakufai, Jana Show Ya Wasafi Haikumalizika Yote baada Ya Mvua Kubwa Kunyesha, Haijulikani Ilitokea Wapi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Kilele cha mashindano ya miss world kimekamilika huku Kwa africa mashariki tukifanikiwa kuwakilishwa na Uganda ambao wamefanikiwa angalau kuingia katika tano bora. Kama Uganda wamefanikiwa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Jamaa allikuwa ndio diamond wa kipindi kile ilikuwaje akafeli kumnyonyoa huyu kigori alikuwa anaazima hadi magari kwenda kumlia mingo huyu mlimbwende wa taifa au dada kwa kuwa ni mchaga aliona...
6 Reactions
32 Replies
7K Views
Habari zenu wana jf natumaini mko poa na wengine mnajiandaa kwenda kanisani,nawatakia jumapili njema,ila mimi nimefulia ki ukweli.
0 Reactions
7 Replies
839 Views
Kwema wakuu, Wengi wamekuwa wakinifata inbox kuniuliza kama malipo yetu ya fiesta tumeshalipwa yote. Kiukweli bado hawajamaliza lakini wametuahidi ikifanyika Fiesta ya Dar watakuwa wamekusanya...
5 Reactions
31 Replies
4K Views
Draw was fair results, nilikuwa namchukulia poa Furry but kaniprove wrong. Nimegundua Wilder alikuwa anakutana na wazembe wa Marekani, Leo ndo kakutana na fundi. Kilichombeba Wilder ni zile 2...
0 Reactions
1 Replies
642 Views
Chid Benz Mkali toka ILALAAAAA dah amenikumbusha mashairi ya HIT SONG Mmenisoma. Ndani ya ngoma kuna sehemu CHUMA ana ghani.... "mwenye dawa mfukoni nyonga tumeze".[emoji15] Pia mbele kidogo...
11 Reactions
51 Replies
14K Views
HABARI ZA WEEKEND WAKUU wakubwa shikamooni na poleni na mihangaiko ya weekend twende kwenye point kama heading inavyosomeka hapo juu....hawa nitakaowataja naona ndio maproducer(bora) ambao...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Habari members! Wimbo mpya wa chama la wana WCB utachiwa hivi punde kuanzia saa 19:00 East Africa kuanzia sasa. Wimbo huo unaitwa Paranáwe. Najiuliza hili siyo tusi jipya WCB wanataka...
2 Reactions
21 Replies
24K Views
Kwangu mimi ili mwanamke awe sexy kitu cha kwanza lazima awe na tumbo flat. Mange Kimambi is so sexy jamani. Tutafuteni hela wanaume ili tuweze kumiliki watoto wakali kama hawa coz my experience...
11 Reactions
146 Replies
29K Views
Huyu dada kwa sisi tunaomjua tunajua alivyokuwa now days anajishauwa lakini enzi hizo wakati anatoka na pingu wa alikuwa mbovu sana kipindi kile anatokea kwenye video ya Joanith kama Video Queen
4 Reactions
40 Replies
11K Views
Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Queen Darleen ameushangaza umma wa Wakenya baada ya kudai kwamba mtu akikosa kufanya mapenzi kwa muda mrefu anachanganyikiwa kabisa. Muimbaji huyo aliyasema...
2 Reactions
50 Replies
21K Views
Adai Kampuni yake inasifiwa kwa ubora,kazi inafanyika kwa muda.kazi anafanya mwenyewe Ila akuzidiwa anawapa vijana wake.nashindwa kuweka video
1 Reactions
69 Replies
15K Views
Huyu sista yuko poa sana lakini sikuamini tulipokutana chocho fulani anakula kaya. Huyu manzi yuko njema angalia paja,mtoto paja paja,hamna hata doa angalia mkia,kalio simple kiasi. lakini ndio...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
1.Mwalimu j.k nyerere 2.Albert mangwea 3.Steven kanumba. 4.Mouringe sokoine 5.Amina chifupa
2 Reactions
35 Replies
7K Views
Jamani uchawi upo. Kupitia clouds fm kipindi cha kubwa kuliko msanii Mo Music na meneja wake wamethibitisha kuwa wamepigwa mabusha na promota waliyemdhurumu. Promota makunganya aliwalipa milioni...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari wana JF, Mimi kama raia mwema na mzalendo wa nchi yangu Tanzania, nimesikitishwa na VIDEO iliopostiwa na msanii WOLPER katika page yake ya Instagram ikimuonesha msanii mkubwa (Kioo cha...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Muigizaji wa Bongo movie Mrembo Irene Uwoya ametoa kauli ambayo imethibitisha kuachana kwake na mume wake staa wa Bongo fleva Dogo Janja. Kwa mwezi sasa kumekuwa na tetesi kuwa Irene Uwoya...
9 Reactions
358 Replies
48K Views
Nianze kwa kutoa pongezi kwao IPP Media kwa kuwa na jicho la kipekee kabisa la kuona talanta mbalimbali kubwa kwenye utangazaji. Kenedy alitoka East Africa redio na kwenda Clouds mwaka 2015 na...
0 Reactions
50 Replies
11K Views
Joseph Kusaga: ukiona redio yoyote ya vijana mimi nimo kwa namna moja ama nyingine, aitaja pia jembe ni jembe ya Mwanza. Nadhani Joseph Kusaga amefunga mjadala wa kipumbavu. MKURUGENZI Mtendaji...
6 Reactions
182 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…