Kilele cha mashindano ya miss world kimekamilika huku Kwa africa mashariki tukifanikiwa kuwakilishwa na Uganda ambao wamefanikiwa angalau kuingia katika tano bora.
Kama Uganda wamefanikiwa kuingia tano bora...unahisi tatizo ni nini hasa tanzania tumeshindwa huku uganda wakifanikiwa?
Nimeona watu maarufu tu kama millardayo mange kimambi na watu wengine wakatoa promo kubwa tu lakini mambo hayakuwa kama ilivyo tarajiwa wewe unahisi tatizo nini hasa
Video alivyo tangazwa mshindi
https://youtu.be/tgFUelF81AQ
Elizabeth mshiriki kutoka tanzania
Mshiriki kutoka uganda
Kama Uganda wamefanikiwa kuingia tano bora...unahisi tatizo ni nini hasa tanzania tumeshindwa huku uganda wakifanikiwa?
Nimeona watu maarufu tu kama millardayo mange kimambi na watu wengine wakatoa promo kubwa tu lakini mambo hayakuwa kama ilivyo tarajiwa wewe unahisi tatizo nini hasa
Video alivyo tangazwa mshindi
https://youtu.be/tgFUelF81AQ
Elizabeth mshiriki kutoka tanzania
Mshiriki kutoka uganda