Mmakonde yuko on fire, ni msanii no 1 kwa sasa hapa Bongo. Angalia nyimbo zake 2 alizotoa mwakahuu 'Kwangwaru' na 'DM Chick', halafu rudi kwenye Collabo ile aliyofanya na Krizbeats '911' na ile...
Nachukua nafasi hii kumpa heko new mastermind wa Clouds ndg Sebastian Maganga kwa kuweza kufanikisha show ya Fiesta. Juzi niliandika uzi wa kuonyesha wasiwasi wangu kuhusu show kutopata...
Juzi juzi BASATA ilitangaza kumfungia Msanii Diamond Platinumz na mwenzake kwa muda usiojulikana kutokana na kukiukaa sheria kwa kuimba wimbo wenye matusi wimbo uliopigwa marufuku.
Kufungo hicho...
Hatimaye wimbo wa alikiba unaotamba kwa jina "Kadogo" wazidi kunawiri viewers wakijotekeza kwa wingi kuutazama kwenye youtube. Alikiba awmbayacawali alilalamika kuwa Soma zaidi...
By Sangu Joseph
.
Kiukweli nimepata nafasi ya kuusikiliza na kuutazama kiundani wimbo wa @officialAlikiba wa #Kadogo tuache tu utani na ushabiki wimbo ni mzuri ni moja ya nyimbo ambazo zimenivutia...
Huyu bwana kila akipata wasaa wa kuhojiwa ...utasikia visingizio vingiiiiiio
Sasa hivi anadai kuna msanii kampigia producer ampe material zake za mziki....
Adui wa maisha yako ni we mwenyewe...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amekutana na mlimbwende wa nchi hiyo ambaye hivi majuzi ameshinda taji la mlimbwende bora wa Afrika.
Quiin Abenakyo alitawazwa kuwa Miss Uganda mwezi Agosti na...
Ile SHOW yenye historia na kubwa kuliko, leo inafunga msimu wake huu wa mwaka 2018 na MOJA KUBWA AKA Grand Finale!
Kwa sababu Hawa MAWINGU Siku zote huwa hawabahatishi kwenye mambo Yao especially...
HAPPY BIRTHDAY BEN SAANANE,.
Ni mwaka mmoja na siku kadhaa tangia Ben Saanane atoweke/atoweshwe katika mazingira tatanishi.
Leo Ben, anamitiza miaka kadhaa tangia kuzaliwa kwake. Happy beloved...
Kumekuwa na video ya miezi 9 iliyopita ya interview ya Diamond yenye lengo la kumchafua, Huyu dogo hajafikisha hata miaka 30 ila kaka zake na dada zake wanavyomtungia vitimbwi siku unaweza...
Alikiba afunguka wasanii walio mfuata Director wake
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Alikiba amefunguka kuhusu baadhi ya wasanii kumpigia simu Director wa wimbo wa Toto kwa ajili ya kuyataka...
Ninavyoelewa mwanamziki Diamond ni kipenzi cha mkuu lakini Diamond alisahau pale mwanza alipotoa clip kwenye You Tube akiiponda shirika la ndege la Tanzania baada ya yeye kuchelewa kufika airport...
Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi...
DAR ES SALAAM: Kimenuka ile mbaya! Lile penzi shatashata lililotarajiwa kuzaa ndoa Februari 14, mwakani kati ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtangazaji wa Kenya, Tanasha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.