Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Movie imeaanza msiniulize maswali nendeni insta wacha niagize porpcon
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Wadau mliokaribu na Alikiba tunasubiri tamko lake.
0 Reactions
21 Replies
5K Views
On September 7 1996, Tupac Shakur was shot in Las Vegas (he was 26 yrs old), Nevada just moments after witnessing his friend Mike Tyson win the WBA heavyweight title. Six days later on September...
4 Reactions
31 Replies
4K Views
Wana JF Nimekuta watu wakiongea na kubishana kwamba Marehemu baba wa Taifa alikuwa busy sana kiasi kwamba hakupata muda wa kuweza kujifunza kuendesha gari,kwamba hadi mauti yanamkuta alikuwa hajui...
1 Reactions
41 Replies
10K Views
Sipo hapa kujadili siasa...ukweli usiobishika ni kuwa JK hawezekaniki kwa pamba kuanzai za kawaida suits mpaka kanzu (anakwenda kama Sheikh Mohammed wa Dubai Post your pictures
1 Reactions
61 Replies
12K Views
Namouna Thomas Ulimwengu akitoa ushuhuda leo jumapili usiku Emmanuel TV Sunday service live kuwa alikuwa majeruhi baada ya kuumia ktk mechi na ilitakiwa afanyiwe operesheni lakini Dada yake...
12 Reactions
55 Replies
9K Views
Mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Sugu amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Happy... shughuli iliyofanyika jijini Dar es Salaam ikiambatana na mbunge huyo kutoa mahari pamoja na Furaha ya...
8 Reactions
198 Replies
27K Views
Nakerwa na tabia ya watu fulani kuongea kwa sauti kubwa kwa simu ya mkononi kiasi cha kudraw attention ya wengine, wakashindwa kuconcentrate namambo yao kipindi hicho wakimsikliza yeye. Nadhani...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wana Jf najua kuna wimbo unaupenda kuusikiliza kila siku iwe ofisini, kwenye gari lako au nyumban kwako! Mimi binafsi "africa unite" wa bob marley. Unapenda up?
0 Reactions
111 Replies
16K Views
Nawashangaa sana watoto wa bongofleva mnaoendekeza njaa!! Wengi wenu mnatakiwa mmwite kaka huyu jamaa, na wengine ni baba yenu kabsaa (kwenye mziki)! Ss mnapofunua vidomo vyenu vyenye lipustiki na...
2 Reactions
51 Replies
6K Views
Huyu bwana anajulikana kwajina la Claudio Paulo Pinto anauwezo wa kucheza na macho yake atakavyo anauwezo wa kuyatoa macho yake kwa 7 millimeters (0.3 inches) na alianza kufanya hivi tokea akiwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Genevieve Nnaji has become Nollywood’s first Billionaire as Netflix reportedly buys her movie LionHeart for $3.8million (N1,051,297,231). Historic. 🇳🇬
5 Reactions
70 Replies
14K Views
Msanii Langa ameelezea jinsialiyokuwa mteja kwa kipindi cha zaidi ya miaka 6 , ambapo uteja ulimradhimu kukimbia nyumbani,kuwa mwizi (kibaka) mtaani na pamoja na kuishi ghetto. Langa aliongea hayo...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Kila nikifikiria hii kauli ya huyu mbibi naona si tu alikuwa anawaingiza wanawake wengine kuwekewa nyumba ndogo zisizo na ulazima na waume zao bali alikuwa anawadanganya pia ....Wanawake wanyimeni...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wanajamii. Naombeni kuuliza hivi, kati ya Beyonce na Rihana nani mwenye mvuto wa kimahaba? Nilikuta watu wanabishana nani mkare na mimi nimeona niwashirikishe.
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Baada ya Mh. Zitto Kabwe mapema mwa wiki kusoma bajeti mbadala bungeni kwa kutumia iPad...nae Fid Q, Ngosha The Swagga Don kuendeleza mwendelezo wa swagga, alipokua katika tukio la fulani katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ujue kuna mambo ya ajabu sijawahi kuona ni upuuzi na unyanyasaji kwa mwanamke... Mc pilipili mwanamke hujamuoa,kumtembeza kwenye media anamaanisha nn? Hivi what if wakimwagana unadhani huyu...
12 Reactions
60 Replies
13K Views
Huko instagram dada yetu amecharuka [emoji116] Ikumbukwe kuwa dada yetu baada ya kupona kutokana na madhara ya madawa ya kulevya aliokoka, kwa sasa anaishi England Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Baada ya drama zote na mumewe na kuonekana ofisini kwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akidai kutelekezwa hatimaye kaamua kuhama na chama kabisa. Hiyo ni post yake siku ya leo akifurahia kubadili gia.
10 Reactions
105 Replies
18K Views
Ama kweli siasa ni mchezo mchafu, nikikumbuka siku alipotutangazia kwamba anaachia sofa seti zake na kuingia uraiani na jinsi mkewe alivyo bubujikwa machozi leo hii NAFURAHI SANA ingawa ujasiri...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Back
Top Bottom