Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mmakonde yuko on fire, ni msanii no 1 kwa sasa hapa Bongo. Angalia nyimbo zake 2 alizotoa mwakahuu 'Kwangwaru' na 'DM Chick', halafu rudi kwenye Collabo ile aliyofanya na Krizbeats '911' na ile...
13 Reactions
80 Replies
12K Views
Nachukua nafasi hii kumpa heko new mastermind wa Clouds ndg Sebastian Maganga kwa kuweza kufanikisha show ya Fiesta. Juzi niliandika uzi wa kuonyesha wasiwasi wangu kuhusu show kutopata...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Juzi juzi BASATA ilitangaza kumfungia Msanii Diamond Platinumz na mwenzake kwa muda usiojulikana kutokana na kukiukaa sheria kwa kuimba wimbo wenye matusi wimbo uliopigwa marufuku. Kufungo hicho...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Hatimaye wimbo wa alikiba unaotamba kwa jina "Kadogo" wazidi kunawiri viewers wakijotekeza kwa wingi kuutazama kwenye youtube. Alikiba awmbayacawali alilalamika kuwa Soma zaidi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini
2 Reactions
62 Replies
8K Views
By Sangu Joseph . Kiukweli nimepata nafasi ya kuusikiliza na kuutazama kiundani wimbo wa @officialAlikiba wa #Kadogo tuache tu utani na ushabiki wimbo ni mzuri ni moja ya nyimbo ambazo zimenivutia...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Huyu bwana kila akipata wasaa wa kuhojiwa ...utasikia visingizio vingiiiiiio Sasa hivi anadai kuna msanii kampigia producer ampe material zake za mziki.... Adui wa maisha yako ni we mwenyewe...
11 Reactions
21 Replies
5K Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amekutana na mlimbwende wa nchi hiyo ambaye hivi majuzi ameshinda taji la mlimbwende bora wa Afrika. Quiin Abenakyo alitawazwa kuwa Miss Uganda mwezi Agosti na...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ile SHOW yenye historia na kubwa kuliko, leo inafunga msimu wake huu wa mwaka 2018 na MOJA KUBWA AKA Grand Finale! Kwa sababu Hawa MAWINGU Siku zote huwa hawabahatishi kwenye mambo Yao especially...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hii Ni Kufuru... Six Pack Ni Pesa Na Sio Gym
3 Reactions
48 Replies
10K Views
HAPPY BIRTHDAY BEN SAANANE,. Ni mwaka mmoja na siku kadhaa tangia Ben Saanane atoweke/atoweshwe katika mazingira tatanishi. Leo Ben, anamitiza miaka kadhaa tangia kuzaliwa kwake. Happy beloved...
8 Reactions
45 Replies
6K Views
Hakuna aliye juu ya sheria Swali Je! Watasamehewa?
0 Reactions
0 Replies
665 Views
Kumekuwa na video ya miezi 9 iliyopita ya interview ya Diamond yenye lengo la kumchafua, Huyu dogo hajafikisha hata miaka 30 ila kaka zake na dada zake wanavyomtungia vitimbwi siku unaweza...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Alikiba afunguka wasanii walio mfuata Director wake Msanii wa muziki wa kizazi kipya Alikiba amefunguka kuhusu baadhi ya wasanii kumpigia simu Director wa wimbo wa Toto kwa ajili ya kuyataka...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Ninavyoelewa mwanamziki Diamond ni kipenzi cha mkuu lakini Diamond alisahau pale mwanza alipotoa clip kwenye You Tube akiiponda shirika la ndege la Tanzania baada ya yeye kuchelewa kufika airport...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi...
3 Reactions
179 Replies
38K Views
DAR ES SALAAM: Kimenuka ile mbaya! Lile penzi shatashata lililotarajiwa kuzaa ndoa Februari 14, mwakani kati ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtangazaji wa Kenya, Tanasha...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Back
Top Bottom