mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Juzi juzi BASATA ilitangaza kumfungia Msanii Diamond Platinumz na mwenzake kwa muda usiojulikana kutokana na kukiukaa sheria kwa kuimba wimbo wenye matusi wimbo uliopigwa marufuku.
Kufungo hicho ni cha ndani ya nchi na nje ya nchi, pamoja na adhabu hiyo lakini Msanii huyo amekaidi amri hiyo na amesafiri kwenda Embu Kenya kufanya Tamasha. Kukiuka amri hiyo tayari kuna mvutano kati ya serikali BASATA na msanii huyo, hivyo tunasubiri mshindi wa mvutano huo.
Rai yangu kwa Wasanii wetu Waheshimu Sheria za Nchi.
Kufungo hicho ni cha ndani ya nchi na nje ya nchi, pamoja na adhabu hiyo lakini Msanii huyo amekaidi amri hiyo na amesafiri kwenda Embu Kenya kufanya Tamasha. Kukiuka amri hiyo tayari kuna mvutano kati ya serikali BASATA na msanii huyo, hivyo tunasubiri mshindi wa mvutano huo.
Rai yangu kwa Wasanii wetu Waheshimu Sheria za Nchi.