Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kabla ya yote napenda kuweka wazi kwamba makala hii nimeiandika kutoka vyanzo mbalimbali vya mtandaoni, ikiwemo youtube, bbc documentaries, crime and investigation channel na baadhi ya tovuti...
4 Reactions
46 Replies
13K Views
Wakuu, Nataka kutoa wimbo mwanzoni mwa mwaka, nilikuwa nahitaji ushauri wenu. Ni msanii gani mnadhani anaweza kutengeneza chorous nzuri sana kati ya Jux na Ben Paul. Nilifikiria awe Jux ila...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Hii ni tafsiri ya waganga maarufu,na inadaiwa hirizi zake zilipasuka au kupotea Mpaka atokee mtaalam wa kumfufua kwa kuwa kishirikina bado kazikwa japo anajiona mzima
1 Reactions
59 Replies
8K Views
Inaanzia hapa Matukio yaliyopelekea kuaawa kwa marapa wakubwa Tupac na Biggie. (Pata kujua mhusika wa halisi wa mauaji hayo) Kutokana na kuwa Tupac alikuwa kakosa ela ya kulipia dhamana ili atoke...
7 Reactions
15 Replies
5K Views
Kwa kweli huyu jamaa hayupo romantic kabisa, yaani kakaa kibabe babe tu. Ukitaka kuamini haya jaribu kuangalia video yake mpya ya wimbo wa kadogo, pale mwanzoni anapoongea na demu kwa simu. Yaani...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Wakuu, Kipindi hatujalipwa malipo yetu baada ya kufanya show za Fiesta nilikuja hapa JF kulalamika hivyo baada ya kulipwa naamini ni vema nikaja hapa hapa JF kuufahamisha umma ili isije kuonekana...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakati naanza muziki kipindi sifahamiki, nilikutana na wasanii wanafiki wenye roho mbaya japo wana act marafiki. Mungu ni mwema nilikuja kuonana na Mwana fa ambaye niliunganishwa na mmoja wa kaka...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
atlast n birthday ya king of Bollywood Salman khan
0 Reactions
3 Replies
995 Views
Dimpoz anasumbuliwa na koo ambapo katikati ya mwaka huu 2018 alifanyiwa operation katika moja ya hospitali kubwa nchini Afrika ya Kusini,licha ya kuonekana kuimarika kwa afya yake miezi kadhaa...
0 Reactions
58 Replies
13K Views
Kuna wimbo huimbwa kipindi cha watoto radio one kwa jina siujui *watoto,wasafi mioyoni,ni nyota za macho kwawazazi, sisi ni maua,,,, ,,,,,, ,,,
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wahenga wanasema ukiona unapendwa ringa.... Diamond platnumz na crew yake nzima ya Wasafi wana show desemba hii huko kenya.... Mapokezi yake yamekuwa ni balaa... naamini basata wakiona hivi...
8 Reactions
32 Replies
10K Views
Kusema ukweli jamaa sasa hivi sio kama alivyokuwa WCB hana tena yale makali licha ya kuwa anatoa nyimbo lakini promo yake ndogo sana na hainga nguvu hata wasanii wenzake hawampi sapoti...
2 Reactions
70 Replies
10K Views
Mange Kimambi ameumbuka vibaya sana alitaka kumchafua Oil Chafu Konki Konki Konki Master ila lengo lake limebuma. Ametumia nguvu kubwa sana lakini mwisho wa siku ameumbuka wazi wazi kwa aibu...
2 Reactions
58 Replies
16K Views
Baada ya kile kinachooneka kuwa ni kuimarisha ulinzi na kutuma salaam kwa watekaji, MO amenunua gari inayoaminika kuwa na mfumo mkubwa wa ulinzi wa kidigjtari. Muda mfupi baada ya MO kuposti...
13 Reactions
97 Replies
24K Views
Sitaki Kusema kuwa Sanaa imeingiliwa na wahuni, Inawezekana kuwa walikuwa wahuni kabla hata ya kuanza sanaa Sema hatukutupia jicho kabla lakini pia usisahau kuwa huu Muziki wa hawa vijana uliitwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Historia inaandikwa ni heshima kubwa pia kwa mziki wetu wa Tanzania. Viva Diamond.
13 Reactions
94 Replies
14K Views
Habari wakuu!! Lile sakata la Diamond Platinumz na Rayvanny na Tamasha lao lilofungiwa hatimaye BASATA wamewaruhusu nchini Kenya na Comoro. Ambapo rufaa yao itajadiliwa February mwakani 2019...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari ndugu zangu wanaJF kwa Majina naitwa Marathon Muziki ni Msanii wa Bongo Fleva Upcoming Artist. Naomba ushauri wenu kulingana na kazi yangu hii na nyingine nyingi nilizofanya kitu gani...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
yeahhh babaaa!!! Ipo kama ifuatavyo leo nimekutana na gari ya matangazo wakitangaza show ya msanii meseni selekta itakayofanyika mpemba-Tunduma cha ajabu na kusikitisha meseni alikuwa anafuata...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom