BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Wakati naanza muziki kipindi sifahamiki, nilikutana na wasanii wanafiki wenye roho mbaya japo wana act marafiki.
Mungu ni mwema nilikuja kuonana na Mwana fa ambaye niliunganishwa na mmoja wa kaka angu wa mtaani aliyekuwa ananijua kuwa huwa naimba. Mwana fa alinisaidia sana kiukweli, japo nikichelewa kuja kufanya nae ngoma ila yeye ndio alinikutanisha na wadau wote wakubwa wa muziki. Mpaka nilipoonana na mzee kigogo "TID" ni Mwana Fa.
Mtu mwingine ambaye binafsi hakunisaidia lakini amesaidia wasanii wengi ni Dully Sykes pamoja na AY. Hao jamaa kama una uwezo hawatakuacha, watakupa hata connection.
Ila usijiroge uwatafute machalii wa R wakati hutokei ukanda huo, itakula kwako bro.
Ma underground msikate tamaa, ipo siku yako.
Mungu ni mwema nilikuja kuonana na Mwana fa ambaye niliunganishwa na mmoja wa kaka angu wa mtaani aliyekuwa ananijua kuwa huwa naimba. Mwana fa alinisaidia sana kiukweli, japo nikichelewa kuja kufanya nae ngoma ila yeye ndio alinikutanisha na wadau wote wakubwa wa muziki. Mpaka nilipoonana na mzee kigogo "TID" ni Mwana Fa.
Mtu mwingine ambaye binafsi hakunisaidia lakini amesaidia wasanii wengi ni Dully Sykes pamoja na AY. Hao jamaa kama una uwezo hawatakuacha, watakupa hata connection.
Ila usijiroge uwatafute machalii wa R wakati hutokei ukanda huo, itakula kwako bro.
Ma underground msikate tamaa, ipo siku yako.