Wasanii wenye msaada kwa wasanii wengine

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Sep 30, 2015
1,526
3,801
Wakati naanza muziki kipindi sifahamiki, nilikutana na wasanii wanafiki wenye roho mbaya japo wana act marafiki.

Mungu ni mwema nilikuja kuonana na Mwana fa ambaye niliunganishwa na mmoja wa kaka angu wa mtaani aliyekuwa ananijua kuwa huwa naimba. Mwana fa alinisaidia sana kiukweli, japo nikichelewa kuja kufanya nae ngoma ila yeye ndio alinikutanisha na wadau wote wakubwa wa muziki. Mpaka nilipoonana na mzee kigogo "TID" ni Mwana Fa.

Mtu mwingine ambaye binafsi hakunisaidia lakini amesaidia wasanii wengi ni Dully Sykes pamoja na AY. Hao jamaa kama una uwezo hawatakuacha, watakupa hata connection.

Ila usijiroge uwatafute machalii wa R wakati hutokei ukanda huo, itakula kwako bro.

Ma underground msikate tamaa, ipo siku yako.
 
Sawa Kingwendu tumekuskia,hili goma lako lilibamba sana enzi unaanza mziki
Screenshot_20181226-202508.png
 
Utaolewa kwa kuendekeza shobo kwa vidume
Wakati naanza muziki kipindi sifahamiki, nilikutana na wasanii wanafiki wenye roho mbaya japo wana act marafiki.

Mungu ni mwema nilikuja kuonana na Mwana fa ambaye niliunganishwa na mmoja wa kaka angu wa mtaani aliyekuwa ananijua kuwa huwa naimba. Mwana fa alinisaidia sana kiukweli, japo nikichelewa kuja kufanya nae ngoma ila yeye ndio alinikutanisha na wadau wote wakubwa wa muziki. Mpaka nilipoonana na mzee kigogo "TID" ni Mwana Fa.

Mtu mwingine ambaye binafsi hakunisaidia lakini amesaidia wasanii wengi ni Dully Sykes pamoja na AY. Hao jamaa kama una uwezo hawatakuacha, watakupa hata connection.

Ila usijiroge uwatafute machalii wa R wakati hutokei ukanda huo, itakula kwako bro.

Ma underground msikate tamaa, ipo siku yako.
 
Billnas billnas

Amna noma mwanangu Mimi nitakuchek pm unajua nini Mwana mshukuru sana tid maana alikugongea Bonge la chorus afu Mwana fa alifanya sitak mazoea ichangamke
Amekupoteza huyu wala sio msanii ni msaka like na comment
 
Back
Top Bottom