Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 825
Habari wakuu!!
Lile sakata la Diamond Platinumz na Rayvanny na Tamasha lao lilofungiwa hatimaye BASATA wamewaruhusu nchini Kenya na Comoro.
Ambapo rufaa yao itajadiliwa February mwakani 2019.
Katika Ratiba yake Diamond na Tamasha lake la Wasafi Festival tarehe 24 desemba 2018 wako Kenya uko mji wa Embu na kabla ya kuamia Jiji la Mombasa 26 desemba 2018.
Na kuelekea show ya Comoro 28/12/2018 na kumalizia Nairobi 31 desemba 2018.
Diamond na Rayvanny walifungiwa 18 desemba 2018,wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali tangu kuanza kwa Tamasha la Wasafi Festival ikiwemo kuimba wimbo wa Mwanza Nyegezi ambao umefungiwa.
Hongera BASATA kwa uamuzi huu waliochukua.
#HawaaminiWanachoKiona.
#MchezoUsiuchezeeWewe
#Kabisaaaa
Lile sakata la Diamond Platinumz na Rayvanny na Tamasha lao lilofungiwa hatimaye BASATA wamewaruhusu nchini Kenya na Comoro.
Ambapo rufaa yao itajadiliwa February mwakani 2019.
Katika Ratiba yake Diamond na Tamasha lake la Wasafi Festival tarehe 24 desemba 2018 wako Kenya uko mji wa Embu na kabla ya kuamia Jiji la Mombasa 26 desemba 2018.
Na kuelekea show ya Comoro 28/12/2018 na kumalizia Nairobi 31 desemba 2018.
Diamond na Rayvanny walifungiwa 18 desemba 2018,wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali tangu kuanza kwa Tamasha la Wasafi Festival ikiwemo kuimba wimbo wa Mwanza Nyegezi ambao umefungiwa.
Hongera BASATA kwa uamuzi huu waliochukua.
#HawaaminiWanachoKiona.
#MchezoUsiuchezeeWewe
#Kabisaaaa