Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Meneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcb Diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi media Mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana...
9 Reactions
68 Replies
22K Views
tumezoea wanamuziki wengi wenye sauti tamu na vocal ni wale ambao enzi za utoto wao walipitia madrasa ambapo kaswida iliwatengeneza mpaka leo hii wanasauti tamu. Ila wapo ambao wenyewe mwenyezi...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Tamthilia yetu imeanzia hapa leo,ni somo adimu Inagusia namna pia wa Ottaman (waislaam) walivyo ona fursa katika Mgawanyiko wa RC ukiongozwa na Luther. I love what am watching
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ana nyimbo nyingi ila huu wa nipe kukumbuka wema unanibariki sana. Yani nikiusikiliza siwezi kufuru kwa kumlaumu Mungu kwa lolote aisee. Enjoy kizazi kipya cha Gospel inayopendwa hata wasiyokuwa...
12 Reactions
99 Replies
13K Views
Mzee wa upako baada ya kuona wasafi tv kuna kipindi cha nyumba ya imani nayeye akaomba awe anaendesha kipindi chake siku ya jumapili lakini ombi hilo limekataliwa na Mshauri wa vipindi na...
6 Reactions
58 Replies
9K Views
makakati unaendelea hapo chagua ufuate matakwa yao ama uhamie upande wa pili
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Mwanaume halisi wa dsm,naona anamuiga chris brown,ni mwendo wa vikukuuuuu babaakeeee
1 Reactions
208 Replies
84K Views
Msanii wa Muziki Diamond Platnumz aeleza walichozungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Mrisho Kikwete nyumbani kwake. Diamond amesema kuwa alimuuliza kuwa ni kweli mmedondoka? baada ya...
10 Reactions
24 Replies
8K Views
jamaa ameamua kuwapiga chini kisa shutuma za uzurumati wa pesa na skendo ya sara wa harmonize ndio maana hata baada ya kupata ajali kimya hata kumpa pole
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Kwanza nianze na waratibu Fella Muslim Sallam Muslim Tale Muslim Madjs Romy Jones Muslim Djommy muslim Tuje kwa wanamuziki sasa Diamond Muslim Harmonize muslim Mbosso muslim Lava lava...
7 Reactions
37 Replies
6K Views
Ukiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama...
1 Reactions
54 Replies
12K Views
Kuthibitisha hili, baada ya Diamond na Rayvanny kupigwa Pini na BASATA, Wasafi Festival ndio basi Tena. Pia kundi la WASAFI hautalisikia Tena. Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba kifungo hiki...
2 Reactions
59 Replies
9K Views
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku...
1 Reactions
44 Replies
7K Views
Kichwa cha habari kama kinavyosema hapo juu. Zifuatazo ni list za wasanii 10 barani afrika ambapo wameweka record za ngoma zao kutazamwa sana katika mtandao wa YOU TUBE kwa MWAKA 2018...
1 Reactions
29 Replies
14K Views
Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ SITAKI! Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya...
4 Reactions
98 Replies
30K Views
Salute, Binafsi sipendezwi sana na umbeya ambao huwa wanafanya Soudy na Kwisa lakini kwa bahati mbaya wifi yenu anakipenda sana hivyo kuna wakati najikuta naangalia kilazima. Nimekuwa na hamu...
1 Reactions
45 Replies
10K Views
YOUTUBE ni mtandao wa kijamii wa kuweka na kutazama video za vitu mbalimbali zikiwemo za matukio ya kila aina bila kusahau muziki kutoka kona mbalimbali za sayari hii ya dunia yenye zaidi ya watu...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
WASIFU WAKE. Huyu ndio Maryem Sarah Uzerli almaarufu Hurrem Sultan wa tamthilia ya Sultan (muhteşem yüzyıl) inayoonyweshwa katika king'amuzi cha azam tv kupitia chaneli ya Azam Two. Meryem ni...
16 Reactions
99 Replies
36K Views
Kijana Whozu naona kajigiftisha gari aina ya Mark X baada ya kumaliza show za msimu wa Tigo Fista. Kijana kafurahi sana kama inavyokuwa ukimiliki gari kwa mara ya kwanza hata usingizi hupati na...
8 Reactions
89 Replies
13K Views
Mwanzo alikuwa rafiki sana na Jose Mtambo akamtosa akidai ni mlevi kumbe kisa ni show alikuwa anapokea pesa akiahidi kwenda naye ila wapi. Akafuata Kala Jeremiah huyu mpaka harusi yake alikuwa...
17 Reactions
101 Replies
16K Views
Back
Top Bottom