Meneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcb
Diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi media
Mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana...
tumezoea wanamuziki wengi wenye sauti tamu na vocal ni wale ambao enzi za utoto wao walipitia madrasa ambapo kaswida iliwatengeneza mpaka leo hii wanasauti tamu.
Ila wapo ambao wenyewe mwenyezi...
Tamthilia yetu imeanzia hapa leo,ni somo adimu
Inagusia namna pia wa Ottaman (waislaam) walivyo ona fursa katika Mgawanyiko wa RC ukiongozwa na Luther.
I love what am watching
Ana nyimbo nyingi ila huu wa nipe kukumbuka wema unanibariki sana. Yani nikiusikiliza siwezi kufuru kwa kumlaumu Mungu kwa lolote aisee.
Enjoy kizazi kipya cha Gospel inayopendwa hata wasiyokuwa...
Mzee wa upako baada ya kuona wasafi tv kuna kipindi cha nyumba ya imani nayeye akaomba awe anaendesha kipindi chake siku ya jumapili lakini ombi hilo limekataliwa na Mshauri wa vipindi na...
Msanii wa Muziki Diamond Platnumz aeleza walichozungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Mrisho Kikwete nyumbani kwake.
Diamond amesema kuwa alimuuliza kuwa ni kweli mmedondoka? baada ya...
jamaa ameamua kuwapiga chini kisa shutuma za uzurumati wa pesa na skendo ya sara wa harmonize ndio maana hata baada ya kupata ajali kimya hata kumpa pole
Kwanza nianze na waratibu
Fella Muslim
Sallam Muslim
Tale Muslim
Madjs
Romy Jones Muslim
Djommy muslim
Tuje kwa wanamuziki sasa
Diamond Muslim
Harmonize muslim
Mbosso muslim
Lava lava...
Ukiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama...
Kuthibitisha hili, baada ya Diamond na Rayvanny kupigwa Pini na BASATA, Wasafi Festival ndio basi Tena. Pia kundi la WASAFI hautalisikia Tena. Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba kifungo hiki...
Unaaambiwa swala hili lilowakera wanamuziki wakristo waliokuwa kwenye tamasha pamoja na uongozi wa juu wa basata na wizara kwa ujumla
Wanasema kila show kabla ya kuanza lazima shehe asome dua huku...
Kichwa cha habari kama kinavyosema hapo juu.
Zifuatazo ni list za wasanii 10 barani afrika ambapo wameweka record za ngoma zao kutazamwa sana katika mtandao wa YOU TUBE kwa MWAKA 2018...
Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’
SITAKI!
Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo, Jacqueline Obeid ‘Posh Queen’ ambaye hivi karibuni alitengeneza vichwa vya habari mitandaoni baada ya...
Salute,
Binafsi sipendezwi sana na umbeya ambao huwa wanafanya Soudy na Kwisa lakini kwa bahati mbaya wifi yenu anakipenda sana hivyo kuna wakati najikuta naangalia kilazima.
Nimekuwa na hamu...
YOUTUBE ni mtandao wa kijamii wa kuweka na kutazama video za vitu mbalimbali zikiwemo za matukio ya kila aina bila kusahau muziki kutoka kona mbalimbali za sayari hii ya dunia yenye zaidi ya watu...
WASIFU WAKE.
Huyu ndio Maryem Sarah Uzerli almaarufu Hurrem Sultan wa tamthilia ya Sultan (muhteşem yüzyıl) inayoonyweshwa katika king'amuzi cha azam tv kupitia chaneli ya Azam Two.
Meryem ni...
Kijana Whozu naona kajigiftisha gari aina ya Mark X baada ya kumaliza show za msimu wa Tigo Fista. Kijana kafurahi sana kama inavyokuwa ukimiliki gari kwa mara ya kwanza hata usingizi hupati na...
Mwanzo alikuwa rafiki sana na Jose Mtambo akamtosa akidai ni mlevi kumbe kisa ni show alikuwa anapokea pesa akiahidi kwenda naye ila wapi.
Akafuata Kala Jeremiah huyu mpaka harusi yake alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.