Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wasalaam wana jamvi? Nimeona leo niulize utoafauti kati ya steve na Wakazi kwenye sanaa hasa mafanikio ni upi? Binafsi naona wote wamekaa ki uhanaharakati sana kuliko kazi zao za sanaa... Mfano...
5 Reactions
52 Replies
8K Views
Tokea mwaka Jana kumekuwepo na uvumini pamoja matanhazo mbalimbali kwenye vyombo vya habari mengi yakitolewa na Diamond mwenyewe kuwa anatarajia kuguna ndoa na mpenzi wake Mwanadada mrembo Tanasha...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naizungumzia movie ambayo iliwahi ku make headline karibia ulimwenguni kote miaka hiyo,inaitwa TITANIC,pamoja na mwanamuziki mkongwe wa marekani CELINE DION,ambaye nyimbo yake ya MY HEART WILL GO...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
1. Christopher Wallace (Big Small) Alikuwa ni mwanamuziki maarufu wa miondoko ya Rap nchini Marekani. Ni takriban miaka 20 tangu auawe lakini mpaka sasa bado kifo chake kimebaki kuwa...
12 Reactions
35 Replies
15K Views
nimeyatoa katika kitabu chake'from streets to the parliament'muziki na maisha. 1.amepata elimu katika mikoa ya arusha,dar.mbeya na mtwara 2.alipokuwa mdogo alipenda awe padri ikiwezekana awe...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Kama unawafuatilia vijana wa WCB hasa diamond na harmonize wameadvance walinzi wao wanatembea na head4n. Pia kama wanaenda sehemu lazima wao watangulie na wanakifaa cha kupima km kuna bomu...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
hhj
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi kuna msani mwenye moyo wa upendo na kusaidia watu kama Harmonize? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ehee ndio hivyo jinsi watu wanavyokukimbia wakati wa kuumwa ndivyo jinsi watakavyokuja kwa wingi kukuchangia hela ya jeneza na sanda na wakaweka pombe na vyakula vya anasa msibani mwako Ndio...
17 Reactions
116 Replies
10K Views
2pac-Above the rim, 2pac-Juicy, Tyrese-Baby boy, Method Man-How high, Leonardo de Caprio-Blood diamond, hotel Rwanda, Colombiana, N.Hale high school pamoja na Lost.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
They are both smart, classic, intelligent, talented, educated and they both have natural beauty. Frankly speaking those chicks are cute but there is something ambacho mmoja kamzidi mwenzie je...
0 Reactions
71 Replies
40K Views
hii kitu weka mbali na watoto..naona wasanii wa west africa wameanza kumuelewa kiba.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cadet performs in London in 2015. Photograph: C Brandon/Redferns Cadet, the British rapper, has died in a car accident on the way to a concert, his family said in a statement. Otherwise known as...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Aliesambaza video ya Amber Rutty kumbe mmbea na hajui kupigana anapigwa mpaka na Amber Ruty...wanaume wa Dar mpoje lakini
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tunaambiwa , baada ya muigizaji lulu Michael aka lulu , kumaliza diploma aliyokua anasomea, sasa hvi amejiunga kwenye chuo cha IFM akichukua degree . Safi sana lulu , beauty with brain , Mungu...
7 Reactions
72 Replies
11K Views
Nakumbuka muziki wa kizazi kipya wa nyumbani hapa Tanzania.. around miaka ya 99 mpk 2000 na kenda... Ilikuwa ukiskia muziki unahit, basi ni kwa sababu una story.. Yaani style ya uandishi na hata...
9 Reactions
91 Replies
19K Views
Huyu ndugu yetu Omary Nyembo baada ya kutoka katika 'UguaUgua' ya kansa ya koo hatimaye ameachia dude linaloitwa "Ni Wewe". Ni wimbo mzuri, ameuimba kwa hisia na huzuni sana, ambapo kwa mtu...
6 Reactions
50 Replies
12K Views
Nimejifunza mazoezi na kupangilia vyakula vinasaidia mwili kuto nenepa hovyo,Mary j Blige atatokea kwenye jarida la shape mwezi ujao wa kumi na mbili,wale wapenzi wa magazine mtamuona
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Diamond platnumz na ray van wakifanya collabo nyimbo zote huwa anafunikwa hasa kimashairi kwanzia Salome,Iyena mpaka Tetema
1 Reactions
28 Replies
7K Views
They are both legends if you ask me, been in the movies industry since back in days. Lakini leo nauliza fellow movie junkies, yupi mkare?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…