Unajua kifesi kwenye ile Audio alikua anampa mtu umbea tu kwenye simu , hakujua kama anarekodiwa, so akawa anaropoka umbea wote, hata nahis baadhi ya mambo alikua anaficha, Ila hawa watakua tu...
Nilikuwa nimechil tuu ghafla Eatv wakaonesha video ya jamaa mmoja hivi.
Nikajiuliza hii ngoma ya nani mbona imetulia hivii??
Nikaja kucheki wimbo unaitwa sijakusahau '.
Jamaa mwenyewe mwenye hiyo...
Ni neno analopenda kulitumia Diamond na Bila shaka kuna watu wengi tu wanaojiuliza nin kilefu ama maana ya WCB.
kwanza ifahamike WASAFI.
siyo neno tu la kujifurahisha.kwamba diamond huwa...
Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan
Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa...
Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams.
Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA...
Ila Leo tukinao kajua kunikomeshea mtu , kumbe bidada nae yuko vzur kwenye kuchamba🤣, halafu Ana matusi hatari , nimeshangaa Bi kigagula alivyojibu kwa upole vile utadhan Sio yeye, Ila nimegundua...
Few days after her husband departed, Jina la JACKY MENGI ndio Jina liliongozwa kutajwa zaidi kwenye mitandao ya kijamii, umaarufu wake umeongezeka maradufu Mara Mia ya ilivyokua awali kabla ya...
Kati ya watangazaji wa Clouds FM waliopewa nafasi na hawajui kutangaza basi huyu ni mmoja wao..anachapia mfano hakuna,hawezi kusoma habari(Tangazo let say)...Anabrag brag tu...
Sio wivu ,ila...
Just have a look at people ambao zari Ana hang out nao, then kabisa bila aibu tulikua tunamfananisha na vikatuni vyetu vya hapa bongo ambavyo havijielewi, Ila wabongo Tuna dhambi, zari is a woman...
Mzee Reginald Mengi ndiyo keshaondoka duniani na Mke wake Jacqueline Ntuyabaliwe kabakia kutunza familia yao.
Kwa kufuatilia Maisha yake baada ya kuolewa na Mzee Mengi nimebaki na swali kama...
David Beckham amepigwa marufuku kuendesha gari kwa miezi sita baada ya kupatikana akitumia simu wakati akiendesha gari.
Kapteni huyo wa zamani wa England amekiri makosa.
Mahakama imearifiwa...
Ndani ya muda mchache huyu Pampula kapotezwa maboya watu wameshampotezea.Matukio ya kufuatana ya Msiba Wa Mengi , Mitusi ya Bashite msibani, Video feki ya Gwajima n.k.
Sidhani kama ile ahadi ya...
1) Kapata forum mbele ya jeneza la mchaga, kuwashambulia wachaga kuwa ni wagumu sana kusaidia walemavu na wahitaji.
2) Kusambaa kwa video chafu ya ng'ono inayodaiwa ni ya hasimu wake mkuu Askofu...
Ndugu wanabodi kwanza nitangulize kuomba radhi kama nitakuwa nimemgusa mtu kwa namna moja au nyingine kwa maneno nitakayo yasema kuusu binti huyu Irene Uwoya
Hivi karibuni binti huyu alifungua...
Achana na HUDDAH na VERA ambao they don't have any specific goals in life other than flying with emirate first class to dubai and around the globe wakishinda ku post pic and buying most expensive...
Mkuu wa mkoa wa Dar amerekodiwa akipewa mikono na baadhi ya wananchi sijui sehemu gani lakini kwa jinsi mazingira yalivyo ni maeneo ya Moshi, ukiangalia watu walioandaliwa kujifanya wanalia na...
Mbali na matatajio ya wengi tulivyotarajia kuwa Gwajiboy angekiri kuwa ile kideo ilikuwa yake na pengine angeomba msamaha, ajiuzulu au kuelezea ilivuja vipi. Gwajiboy akachomoa kama walivyochomoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.