Hizi ni nasaha zangu kwa Pierre Liquid

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,346
11,444
Umaarufu ni kama uhai...wakati ukiwa juu unakuwa hai..ukishuka unakata roho ya umaarufu unabaki kuwa wa wakaida

Huyu ndugu yangu mtanzania namshauri kwa upendo wakati huu autumie vizuri. Nampomtizama pierre nakumbuka hadithi ya yule punda aliyekuwa amembeba Yesu kule Yerusalem.

Yule punda alipokuwa na Yesu anaingia Yerusalem akina mama wanatandika khanga na vitenge vyao chini...wakiimba na kupiga vigelele huku wanapepea matawi.alikuwa akitabasamu sana. Hata mwendo wake nakumbuka yule punda ulikuwa wa madaha sana. Akirusha mkia wake huku na kule huku anageuza geuza kichwa akitabasamu. Aliamini angebaki kuwa juu.

Hakujua. Hakujua.watu walikuwa wanamshangilia Yesu aliyekuwa kwenye punda si punda...yule punda hakuwa tofaut na punda wengine.kesho yake akarudi mitaa ile ile akipita kwa mikogo ....alishangaa kuona hakuna hata mmoja aliyeshtushwa na uwepo wake.

Watu walikuwa busy kama hawajamuona.aliinamisha kichwa kwa huzuni na kurudi kwake kwa majonzi sana. Punda siku ile hakuwa na Yesu hivyo hakuwa na thamani.

Dr. Shika alitumika sana sijui baada ya hapo anaendeleaje...kwa sasa hakuna anayetaka piga picha naye tena...hakuna anayejali uwepo wake.

Pierre tumia nafasi hii kwa mahesabu ya siku zijazo.achana na kunywa pombe kulewa tila lila.unapokaa na wakubwa sasa jifunze kukaa kama wao....when in rome.... Tumia nafasi hii kufanikisha mambo yako. Usijikute unashia kushangilia kupanda ndege tu na kununuliwa vinywaji.

Jipange ndugu yangu.kesho na keshokutwa utapita peke yako.no body will care. Umaarufu dsm ni miezi 2-3 baada ya hapo litakuja jambo jingine. Huwezi jua maybe next time kutakuwa na mvuta ganja maarufu... Yeye atakuwa akivuta anasema "mazee...naelea...naelea mawinguni" magufuri anaelea mawinguni" ndungai anaelea mawinguni au konobao anaelea mawinguni...wewe ukapotea kabisa.
 
Umaarufu ni kama uhai...wakati ukiwa juu unakuwa hai..ukishuka unakata roho ya umaarufu unabaki kuwa wa wakaida

Huyu ndugu yangu mtanzania namshauri kwa upendo wakati huu autumie vizuri. Nampomtizama pierre nakumbuka hadithi ya yule punda aliyekuwa amembeba Yesu kule Yerusalem.

Yule punda alipokuwa na Yesu anaingia Yerusalem akina mama wanatandika khanga na vitenge vyao chini...wakiimba na kupiga vigelele huku wanapepea matawi.alikuwa akitabasamu sana. Hata mwendo wake nakumbuka yule punda ulikuwa wa madaha sana. Akirusha mkia wake huku na kule huku anageuza geuza kichwa akitabasamu. Aliamini angebaki kuwa juu.

Hakujua. Hakujua.watu walikuwa wanamshangilia Yesu aliyekuwa kwenye punda si punda...yule punda hakuwa tofaut na punda wengine.kesho yake akarudi mitaa ile ile akipita kwa mikogo ....alishangaa kuona hakuna hata mmoja aliyeshtushwa na uwepo wake.

Watu walikuwa busy kama hawajamuona.aliinamisha kichwa kwa huzuni na kurudi kwake kwa majonzi sana. Punda siku ile hakuwa na Yesu hivyo hakuwa na thamani.

Dr. Shika alitumika sana sijui baada ya hapo anaendeleaje...kwa sasa hakuna anayetaka piga picha naye tena...hakuna anayejali uwepo wake.

Pierre tumia nafasi hii kwa mahesabu ya siku zijazo.achana na kunywa pombe kulewa tila lila.unapokaa na wakubwa sasa jifunze kukaa kama wao....when in rome.... Tumia nafasi hii kufanikisha mambo yako. Usijikute unashia kushangilia kupanda ndege tu na kununuliwa vinywaji.

Jipange ndugu yangu.kesho na keshokutwa utapita peke yako.no body will care. Umaarufu dsm ni miezi 2-3 baada ya hapo litakuja jambo jingine. Huwezi jua maybe next time kutakuwa na mvuta ganja maarufu... Yeye atakuwa akivuta anasema "mazee...naelea...naelea mawinguni" magufuri anaelea mawinguni" ndungai anaelea mawinguni au konobao anaelea mawinguni...wewe ukapotea kabisa.
Who the hell cares!
Live and enjoy your life if possible, we live only once!
 
Umaarufu ni kama uhai...wakati ukiwa juu unakuwa hai..ukishuka unakata roho ya umaarufu unabaki kuwa wa wakaida

Huyu ndugu yangu mtanzania namshauri kwa upendo wakati huu autumie vizuri. Nampomtizama pierre nakumbuka hadithi ya yule punda aliyekuwa amembeba Yesu kule Yerusalem.

Yule punda alipokuwa na Yesu anaingia Yerusalem akina mama wanatandika khanga na vitenge vyao chini...wakiimba na kupiga vigelele huku wanapepea matawi.alikuwa akitabasamu sana. Hata mwendo wake nakumbuka yule punda ulikuwa wa madaha sana. Akirusha mkia wake huku na kule huku anageuza geuza kichwa akitabasamu. Aliamini angebaki kuwa juu.

Hakujua. Hakujua.watu walikuwa wanamshangilia Yesu aliyekuwa kwenye punda si punda...yule punda hakuwa tofaut na punda wengine.kesho yake akarudi mitaa ile ile akipita kwa mikogo ....alishangaa kuona hakuna hata mmoja aliyeshtushwa na uwepo wake.

Watu walikuwa busy kama hawajamuona.aliinamisha kichwa kwa huzuni na kurudi kwake kwa majonzi sana. Punda siku ile hakuwa na Yesu hivyo hakuwa na thamani.

Dr. Shika alitumika sana sijui baada ya hapo anaendeleaje...kwa sasa hakuna anayetaka piga picha naye tena...hakuna anayejali uwepo wake.

Pierre tumia nafasi hii kwa mahesabu ya siku zijazo.achana na kunywa pombe kulewa tila lila.unapokaa na wakubwa sasa jifunze kukaa kama wao....when in rome.... Tumia nafasi hii kufanikisha mambo yako. Usijikute unashia kushangilia kupanda ndege tu na kununuliwa vinywaji.

Jipange ndugu yangu.kesho na keshokutwa utapita peke yako.no body will care. Umaarufu dsm ni miezi 2-3 baada ya hapo litakuja jambo jingine. Huwezi jua maybe next time kutakuwa na mvuta ganja maarufu... Yeye atakuwa akivuta anasema "mazee...naelea...naelea mawinguni" magufuri anaelea mawinguni" ndungai anaelea mawinguni au konobao anaelea mawinguni...wewe ukapotea kabisa.
wewe punda aliyembeba yesu miaka 2000 iliyopita ulimwona wapi ?

maana ùlivyomuelezea mh !!
 
Umaarufu ni kama uhai...wakati ukiwa juu unakuwa hai..ukishuka unakata roho ya umaarufu unabaki kuwa wa wakaida

Huyu ndugu yangu mtanzania namshauri kwa upendo wakati huu autumie vizuri. Nampomtizama pierre nakumbuka hadithi ya yule punda aliyekuwa amembeba Yesu kule Yerusalem.

Yule punda alipokuwa na Yesu anaingia Yerusalem akina mama wanatandika khanga na vitenge vyao chini...wakiimba na kupiga vigelele huku wanapepea matawi.alikuwa akitabasamu sana. Hata mwendo wake nakumbuka yule punda ulikuwa wa madaha sana. Akirusha mkia wake huku na kule huku anageuza geuza kichwa akitabasamu. Aliamini angebaki kuwa juu.

Hakujua. Hakujua.watu walikuwa wanamshangilia Yesu aliyekuwa kwenye punda si punda...yule punda hakuwa tofaut na punda wengine.kesho yake akarudi mitaa ile ile akipita kwa mikogo ....alishangaa kuona hakuna hata mmoja aliyeshtushwa na uwepo wake.

Watu walikuwa busy kama hawajamuona.aliinamisha kichwa kwa huzuni na kurudi kwake kwa majonzi sana. Punda siku ile hakuwa na Yesu hivyo hakuwa na thamani.

Dr. Shika alitumika sana sijui baada ya hapo anaendeleaje...kwa sasa hakuna anayetaka piga picha naye tena...hakuna anayejali uwepo wake.

Pierre tumia nafasi hii kwa mahesabu ya siku zijazo.achana na kunywa pombe kulewa tila lila.unapokaa na wakubwa sasa jifunze kukaa kama wao....when in rome.... Tumia nafasi hii kufanikisha mambo yako. Usijikute unashia kushangilia kupanda ndege tu na kununuliwa vinywaji.

Jipange ndugu yangu.kesho na keshokutwa utapita peke yako.no body will care. Umaarufu dsm ni miezi 2-3 baada ya hapo litakuja jambo jingine. Huwezi jua maybe next time kutakuwa na mvuta ganja maarufu... Yeye atakuwa akivuta anasema "mazee...naelea...naelea mawinguni" magufuri anaelea mawinguni" ndungai anaelea mawinguni au konobao anaelea mawinguni...wewe ukapotea kabisa.
Umeongea utadhani mkuu Pascal Mayalla .😀
 
Back
Top Bottom