Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi...
The Golden Boy Oscar De La Hoya amtaka Errol Spence apande uzito ili amchallange Saul Arvarez (Canelo) .Oscar De La Hoya amesema mbona Mickey Garcia alikubali kupanda uzito ili apambane na yeye...
Mume wa Flora Mbasha katikat ya mwaka huu baada ya kutifuana na mkewe alimnyoshea kidole Mchungaji Gwajima kuhusika na mkasa katika ndoa yake na mkewe Flora. Tuhuma nzito zilielekezwa kwa...
Huyu mama kimuonekano mtu akikuambia ana watoto watano unabisha.... anaonekana bado "binti mbichi" kabisa... Zari the bosslady ukimfananisha na mastaa wetu wa bongo ambao wana mtoto mmoja, wawili...
Aisee kipindi kilee Bashite ameshikiwa bango na Gwajima nilimuonea huruma sanaa japo nae yulee alikomaa maana anajikweza sanaa.. Yani Gwajiboy akaamua mpka kuprint matokeo ya Bashite akawagiwia...
Jee kuna jambo lolote ambalo umewahi kulishuhudia ama kulijua ambalo watu mashuhuri wa Tanzania wamewahi kulifanya kwa faida ya jamii?
Enzi kina Mr Nice, TMK wanaume, Wema Sepetu na wengineo na...
Ndani ya muda mfupi kumekuwa na mchanganyiko wa matukio kadha na kadha, mara mc pili pili kawekwa ndani, hatujakaa sawa tupo kwenye simazi la kumpoteza tajiri na hii leo kumekua na kimbunga huko...
Nadhani mpaka sasa asilimia zaidi ya 50 ya watanzania washaiona video hiyo na zaidi ya asilimia themanini wameshasikia au kusimuliwa kuhusu tukio hilo.
Mimi binafsi pia ni mmoja wa watu ambao...
Kiukweli alikiba amekua ni mfano wa kuigwa Tanzania, east africa na Africa kwa ujumla
Zero scandal, zero disrespect of woman! Na anatoa nyimbo za nidhamu zenye ujumbe wa heshima na video kali...
Muigizaji Wema Sepetu ameonesha kuchukizwa na kitendo cha mchungaji kutaka kutumia jina lake kama sehemu ya kupata watu wengi watakao hudhuria ibadani kwake kwa kusema kuwa atamuombea.
Wema...
Tusichukulie poa, mtanzania mwenzetu anapitia wakati mgumu.
Asasi za kiraia pia zisaidie katika hili
UPDATE:
Ray C ametoa majibu kwa wale walioanza kumendea rambirambi zake...
"Nimekuita jamaa yangu kwani hali yangu kama unavyoiona. Rafiki zangu wote wamenikimbia, nimebaki na mama kama unavyoniona ila kumbuka nilikuwa mchezaji mkubwa, naomba jamii inisaidie.
Maisha...
Duchess of Sussex Meghan Markle mapema leo amejifungua mtoto wa kiume
Meghan alijifungua mtoto mnano saa moja asubuhi kwa saa za Afrika Mashariki, na Mama na Mtoto wanaendelea vizuri
Prince...
Salam Na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yenu majombaaaa zangu .. tuzidishe ibada Leo tupo kesho hatupo.... Mze Mengi kasafiri kwa ndege Kwa kutumia F class lakini atarejeshwa Kwa sanduku.. think...
Mrembo mwenye undugu na Miss Tz 1999 Rachel Temu ambae amekua maarufu haswa baada ya kua wanarushiana maneno sana na Mange Kimambi Leo ameumbuka vibaya mnoo baada ya kujulikana kwa akaunti yake...
Baada ya hivi karibuni mume wa blogger maarufu nchini, shamimu mwasha aitwaye abdul (17 kwenye list )kukamatwa kwa tuhuma za madawa ya kulevya, mwanamama huyo ameibuka na kumchana live mwanamke...
Nakwenda moja kwa moja kwenye mada..
Huyu dogo anajua kuimba lakini shida ninayoiona kwake ipo kwenye kuvaa. Jamaa hajui kuvaa sijui ni nani anamvalisha.
Ukiachana na kuvaa, kuna vile vi rasta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.