Handbag nimetoa kwa mwanangu Cassandrah ambae soon anaanza biashara yake ya kwanza kabisa ya kuuza handbags nzuriiii. 90% ya Handbag zake zitarange kati ya $18-%35. very few $40-$50. Na mbili tatu...
Habari njema kwa Team zari ni hii , Mama Tee, aka zari the bosslady , mrs King D atatua nchini Tanzania Jumamosi hii(Tarehe 4) kama balozi wa diapers za softcare kutangaza bidhaa hizo ambapo pia...
Hakika dunia itasimama kwa muda kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Saul Arvarez (Canelo) na Daniel Jacobs "Miracle Man".
Canelo mpaka sasa amecheza jumla ya mapambano 54 ,ameshinda 51...
Hebu Watanzania ifike muda sasa tubadilike na tuacheni kuwa Wapuuzi wa Kiwango cha Kimataifa cha Kujifanya tunajua kila Sababu za Vifo vinavyowatokea Watanzania wenzetu hasa wenye Umaarufu mkubwa...
Msanii wa filamu za Bongo Movie na mfanyabiashara Jacqueline Wolper amefunguka na kudai anatamani sana kama angetoa Penzi lake kwa Raisi.
Wolper amedai anaona ni bora kama atakuwa Kwenye Mahusiano...
Dai yupo dasalama na Zari pia yupooo dasalama ..yatakayotokeya yasije kuwashangaza ..mtaishiya tu kusema eti wanapenda kiki ...... NB... tanzania yaleo watu wenye akili wameshapoteya ma law Q...
Hawategemei kiki yoyote zaidi ya uwezo wao, ni ngumu kuwachukia maana wana uwezo na hata ukiwachukia utajikuta unaumia na utashindwa kusema kwanini unawachukia.
1.Prof. Jay
2.Mr.Blue
Kuna watu nchi hii kwa kuwa wanajiona ni maarufu basi wanaweza kufanya kazi yoyote. Leo nimeamua kuwatolea mapovu watu waliojaribu kuimba eti kwa sababu tu ni maarufu.
1. Adam Mchomvu... Bro rudi...
Leo tarehe 01 May ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Marehemu Ruge Mutahaba aliyetangulia mbele za haki miezi miwili iliyopita. Siku ya jana Mwanaye Mwachi Mutahaba aliongea na Millard ayo...
Mzee wetu ni wiki sasa yupo hospitali taabani lakini anyemuita rafiki yake wa damu ambaye amekuwa akimsifia kila siku ndugu Paul Makonda hadi sasa hajakanyaga kabisa hospitalini kwenda kumuona...
Ila tuseme tu ukweli Jacky alikua anaishi maisha ya kujibana mno baada ya kuolewa na Mengi, yani ilimbidi avuke age yake na kuacha mambo ya starehe ya kupost picha akiwa sehemu mbali mbali akila...
Watanzania tumezoea kuona sifa za marehemu zikiwa nyingi kuliko mabaya yake.
Ukiangalia watu maarufu waliokufa wote utagundua wanapewa sifa lakini wakiwa na madudu kibao tena ya wazi kabisa...
Ni baada ya bwana Almas kujimilikisha wimbo alioshirikishwa na kuondoa baadhi ya vitu vya wenye wimbo
Diamond isa version of Judas Escariotes in Africa
Nigerian musician Peter Okoye, popularly known as Mr P, has termed as “stupid” Diamond Platnumz’s allegations that Zari Hassan cheated on the Tanzanian artiste with him.
Speaking on Nigeria’s...
Wakuu, Ila Kwa Story Nilizoziona na Zinaendelea Kusemwasemwa Hapa Mjini, Basi Mzee Mengi Atakuwa aliwadinya Sana Mabinti Wengi Wa Mjini [emoji187]
Ila Kwa Hali Ya Sasa Imekuwa Tofauti, Vijana...
What up, y'all.
So it's 95, at the height of "West Coast v East Coast". Kimsingi ilikuwa Death Row v Bad Boy, Tupac v Biggie, Suge v Puffy, kwingineko ilikuwa all love (at least from the West...
Wanajamvi Aliyewahi kuwa Mshindi wa MAISHA PLUS anashikiliwa na Polisi wa Kituo cha Magomeni baada ya kuhusishwa na tukio la Mwanamke mmoja kukutwa amekufa kwa kutupwa Ghorofani katika moja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.