africansongs
Member
- Jan 5, 2018
- 83
- 225
Habarini wadau?
Ndugu TID naona mambo si mambo, na anaonekana yuko tungi balaa.
Je ni frustrations ama?
Ndugu TID naona mambo si mambo, na anaonekana yuko tungi balaa.
Je ni frustrations ama?
Hahaha Yeye kalewa halafu anapigana na wasiolewa ---
Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!...Dah! !ama kweli maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee
Kuchacha ni hatari ndugu.
Unamaanisha nini mkuu?Labda alichukua pesa za watu mzigo akabania
Nilionja kuchacha usiombeKuchacha ni hatari ndugu.
Yaani tena. .sikia tu hiyo situation isikukute ''Iache tu imkute mwenzioNilionja kuchacha usiombe
Ndugu ,mke na watoto wote wana kuona mjinga tuuYaani tena. .sikia tu hiyo situation isikukute ''Iache tu imkute mwenzio
TID kachacha?Hahaha Yeye kalewa halafu anapigana na wasiolewa ---
Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!...Dah! !ama kweli maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee
Wanaume wa Dar.
Wameshiba chipsi.Wamefanyaje?
TID kachacha?
Ndugu ,mke na watoto wote wana kuona mjinga tuu
Hahaha Yeye kalewa halafu anapigana na wasiolewa ---
Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!...Dah! !ama kweli maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee
Mnyama ana nyota ya kuchezea vichapoKweli kuchacha noma --Yaani licha ya umaarufu wake wote --jamaa anampiga kama vile hamjui. ..!!!!
aisee nimeshangaa maana mitaa naijua hiyo, ugua maradhi yote ila sio kukosa hela nishawah kudhalilika sana kwa ndugu kisa sina hela, huwez pata msaada wowote....
Mnyama ana nyota ya kuchezea vichapo