TID - hizi ni frustrations ama?

africansongs

Member
Jan 5, 2018
83
225
Habarini wadau?
Ndugu TID naona mambo si mambo, na anaonekana yuko tungi balaa.
Je ni frustrations ama?
 
Hahaha Yeye kalewa halafu anapigana na wasiolewa ---

Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!...Dah! !ama kweli maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee
 
Hahaha Yeye kalewa halafu anapigana na wasiolewa ---

Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!...Dah! !ama kweli maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee

aisee nimeshangaa maana mitaa naijua hiyo, ugua maradhi yote ila sio kukosa hela nishawah kudhalilika sana kwa ndugu kisa sina hela, huwez pata msaada wowote....
 
Back
Top Bottom