Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 6,152
- 11,209
Huyu mwamba unaambiwa baada ya upelelezi wa kina kufanyika imebainika kesi alisingiziwa hakuna ukweli wowote!
Swali la kujiuliza je yale mafuta ni kweli aliyaweka ndani na kwa minajili gani? Nikawaza au ni figisu za wazungu kuwafanyia watu weusi kuwadidimiza kimziki na kiuchumi? Na je? Ikiwa ni kweli alisingiziwa 5cent atakuwa na lipi la kusema😛
Na waliotoa shuhuda kunyanyaswa itakuwaje🙈 aibu naona mimi au walilipwa kiasi gani wamchafue, na kama kasingiziwa hiyo fidia atayopewa ni budget ya Tanzania miaka buku😝
Swali la kujiuliza je yale mafuta ni kweli aliyaweka ndani na kwa minajili gani? Nikawaza au ni figisu za wazungu kuwafanyia watu weusi kuwadidimiza kimziki na kiuchumi? Na je? Ikiwa ni kweli alisingiziwa 5cent atakuwa na lipi la kusema😛
Na waliotoa shuhuda kunyanyaswa itakuwaje🙈 aibu naona mimi au walilipwa kiasi gani wamchafue, na kama kasingiziwa hiyo fidia atayopewa ni budget ya Tanzania miaka buku😝