Ndoa ya Lazaro Nyarandu ambaye ni waziri wa Maliasili na Utalii na mrembo Faraja Kota iko 'ICU'
Kwa mujibu wa Mwanafamilia wa Waziri huyo hapa Arusha amehabarisha kuwa wawili hao kwa sasa...
Freestyle na muziki ni vitu viwili tofauti katika Hip Hop, wanaoweza vyote ni wachache, Freestyler hapimwi kwa hits za studio, anapimwa kwa uwezo wa kutema mistari papo kwa papo bila kuandika...
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, Ngollo Malenya amethibitisha taarifa za Msanii maarufu wa singeli, Msaga sumu kupata ajali jana Mei 16,2025 wakati akirejea Dar es salaam akiwa anatokea...
Baada ya diamond Platnumz kuposti kwenye insta story yake kavaa viatu vya Balenciaga vyenye thamani ya euro 1650 sawa na shilingi milioni 4,815,794 za Kitanzania.
Viatu hivyo ni brand ya...
Mshindi namba 5 wa Miss Tanzania 2006, muigizaji na mjasiriamali Irene Pangras Uwoya, 35 amempokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake!
Muigizaji huyo aliyezaliwa na kulelewa katika...
Album 5 bora za muda wote ni
1. Mapinduzi Halisi - Prof Jay
2. Aka Mimi - Mangwea
3. A boy from Tandale - Diamond
4. Binti - Lady Jaydee
5. Room Number 3 - Mbosso
Mbosso amefanikiwa kuingiza...
SIKU chache baada ya minon'gono kuibuka chini chini kuwa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini Tanzania ambaye pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha, kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Mchungaji wa...
Tuondoeni tofauti zetu Na Kwa pamoja tuandamane P DIDDY aachiwe awe huru.
Huyu ni kijana wetu mwafrika mweusi mwenzetu. Ni wajibu wetu kumtetea kijana wetu.
Siyo kuandamana tu bali tumkumbuke...
MWANAMUZIKI Mkongwe duniani Sean “Diddy” Combs, amepatikana na hatia katika mashtaka mawili kati ya mashtaka matano yaliyokuwa yakimkabili.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mahakama ya New York...
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images
Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio...
Msanii wa kike wa hip hop bongo Chemical, kwa mara ya kwanza amezungumzia maisha yake ya kimapenzi, kitu ambacho ni nadra sana kwa msanii huyo kufanya hivyo.
Akizungumza na team ya Planet Bongo...
Msanii wa kike chipukizi na maarufu, na aliwahi kuwa ktk Lebo ya African Princess iliyoko chini ya msanii Nandy, aitwae Yammi, atoa ujumbe tata ktk page yake ya IG km inavyoonekana hapo pichani...
Msanii na mfanyabiashara maarufu, Zuwena Mohammed, anayefahamika kwa jina la kisanii Shilole, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake mpya usiku wa kuamkia leo, Desemba 23,2024
Tukio hilo...
1. Mheshimiwa Haji Manara amepata shavu la usemaji wa klabu ya PSV Eindhoven.
2. Mipango ya vibali vya kazi na viza vikikamilika yeye pamoja na familia watatimkia huko ng'ambo tayari kwa kazi. ya...
Ile kuwapiga wasanii na kuwafanya kuchanganikiwa na mwisho kuishia katika Madawa Leo mtazame mtoto wake
Miaka 34 Ila hana Ramani ameishia kupiga nyimbo Bar Kama DJ...
Daah! Miaka ya elfu mbili muziki ulitendewa haki kweli jamani. Cheki list ya vipaji hivyo – yaani mtaani kulikuwa hakupoi:
Juma Nature
Q Chillah
Ferouz
Lady Jay Dee
Professor Jay
Ngwear
Jay Moe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.