C&P kutoka kwa mwandishi akielezea maisha yake haya
Hili gazeti ni la kusoma kwa wiki nzima... Soma taratibu usije fukuzwa kazi huko. Nipo busy si update blog mpaka Friday au Saturday so hii...
Huyu hapa Mbosso aka Mshedede.
Alipotoka kwenye lebo namba moja Africa Mashariki ya WCB kila mtu alisubiri kuona anafanya nini.
Kiukweli nathibitisha sasa Mbosso ameiva.
First touch yake ni...
Nyota wa zamani wa klabu maarufu za Ajax, PSG, AC Milan, Barcelona na Manchester United, Zlatan Ibrahimovic, ambaye kwa sasa ni mshauri wa uongozi wa mabingwa mara saba wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Wakuu hapa tulipofika mbona kama pabaya. Kuna haja gani ya kumtishia kisa tu ameisapoti No reforms, mbona hao chawa wao wanasapoti Oktoba wanatiki na hakuna aliyewatishia?
Hakuna haja ya...
Mods: Naomba msiihamishe thread hii; nimepata tabu sana kuipata. Kumbukeni wana JF wana haki ya kujua matokeo ya kura zilizopigwa.
Katika Mchakato wa Kumtafuta JF Man of the Year 2010 uliohusisha...
Nikiri tu kwamba mimi namchukia sana huyu dogo. Sababu ni moja tu, kuonesha dharau na Chili kwa mtu aliyemsaidia. Sote tunajua maisha yalivyo magumu mtaani. Sasa ukipata mtu akushike mkono...
https://www.instagram.com/reel/DK2yiqMNG2v/?igsh=aTdsZGNiMHc5bThn
Ni kama ndoto ambayo imegeuka kuwa kweli.
Msanii wa bongofleva kujaza ukumbi mkubwa kwenye jiji la London.
Diamond ameweka...
Rais wa TFF Wallace Karia,amemshitaki Haji Sunday Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na...
Hakika zama zimebadilika sana.
Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu...
Huyu mtangazaji hivi sasa anaendesha kipindi cha ujumbe katika muziki,ana sauti nzuri na anatangaza vizuri na kwa hisia.
Ameanza na wimbo wa sauda aliyepata mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko...
1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee.
2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa...
Hayo yamewekwa wazi na mbunge wa viti maalum, Halima James Mdee akihojiwa na Wasafi Fm leo asubuhi.
My take:
Vijana mnakwama wapi? Lishangazi hilo lipo free changamkieni fursa
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye usiku wa mwanadada Yammi, Haji Sunday Manara amesema kama Diamond angechelewa kumuoa Zuchu basi yeye angeenda kutoa posa kwa Bi Khadija Kopa ili amuoe...
Rachel Temu maarufu Sana kwenye mtandao wa Instagram akitumia jina gumu - Tempestitouslyracheltemu ni mwanamke anaejinasibu kua yeye ni mke wa afisa flan wa ubaloz kutokea Zimbabwe. Anaishi...
CALIFORNIA, Marekani: NYOTA wa NBA, Kevin Durant, amezidi kwa warembo, kwani taarifa zinasema sasa anatoka na modo Sabrina Brazil.
Taarifa zinanyetisha kuwa mkali huyu wa timu ya Golden State...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.