Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

C&P kutoka kwa mwandishi akielezea maisha yake haya Hili gazeti ni la kusoma kwa wiki nzima... Soma taratibu usije fukuzwa kazi huko. Nipo busy si update blog mpaka Friday au Saturday so hii...
13 Reactions
1K Replies
144K Views
Huyu hapa Mbosso aka Mshedede. Alipotoka kwenye lebo namba moja Africa Mashariki ya WCB kila mtu alisubiri kuona anafanya nini. Kiukweli nathibitisha sasa Mbosso ameiva. First touch yake ni...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
Nyota wa zamani wa klabu maarufu za Ajax, PSG, AC Milan, Barcelona na Manchester United, Zlatan Ibrahimovic, ambaye kwa sasa ni mshauri wa uongozi wa mabingwa mara saba wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu hapa tulipofika mbona kama pabaya. Kuna haja gani ya kumtishia kisa tu ameisapoti No reforms, mbona hao chawa wao wanasapoti Oktoba wanatiki na hakuna aliyewatishia? Hakuna haja ya...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Mods: Naomba msiihamishe thread hii; nimepata tabu sana kuipata. Kumbukeni wana JF wana haki ya kujua matokeo ya kura zilizopigwa. Katika Mchakato wa Kumtafuta JF Man of the Year 2010 uliohusisha...
2 Reactions
96 Replies
9K Views
Nikiri tu kwamba mimi namchukia sana huyu dogo. Sababu ni moja tu, kuonesha dharau na Chili kwa mtu aliyemsaidia. Sote tunajua maisha yalivyo magumu mtaani. Sasa ukipata mtu akushike mkono...
22 Reactions
58 Replies
5K Views
https://www.instagram.com/reel/DK2yiqMNG2v/?igsh=aTdsZGNiMHc5bThn Ni kama ndoto ambayo imegeuka kuwa kweli. Msanii wa bongofleva kujaza ukumbi mkubwa kwenye jiji la London. Diamond ameweka...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Rais wa TFF Wallace Karia,amemshitaki Haji Sunday Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na...
0 Reactions
6 Replies
816 Views
Hakika zama zimebadilika sana. Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu...
9 Reactions
101 Replies
4K Views
Huyu mtangazaji hivi sasa anaendesha kipindi cha ujumbe katika muziki,ana sauti nzuri na anatangaza vizuri na kwa hisia. Ameanza na wimbo wa sauda aliyepata mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee. 2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa...
9 Reactions
65 Replies
5K Views
hii ni list ya jay-z mpaka kuwa beyonce.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Hayo yamewekwa wazi na mbunge wa viti maalum, Halima James Mdee akihojiwa na Wasafi Fm leo asubuhi. My take: Vijana mnakwama wapi? Lishangazi hilo lipo free changamkieni fursa
14 Reactions
135 Replies
18K Views
Zari The Bosslady amemmwagia maua Zuchu kwa uvumilivu wake kwa Diamond Platnumz mpaka kuipata Ndoa 😄
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Talaka 3 ndani ya siku 28 hizo zinafaa kuingia kwenye Guinness Worlds' Record.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye usiku wa mwanadada Yammi, Haji Sunday Manara amesema kama Diamond angechelewa kumuoa Zuchu basi yeye angeenda kutoa posa kwa Bi Khadija Kopa ili amuoe...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Rachel Temu maarufu Sana kwenye mtandao wa Instagram akitumia jina gumu - Tempestitouslyracheltemu ni mwanamke anaejinasibu kua yeye ni mke wa afisa flan wa ubaloz kutokea Zimbabwe. Anaishi...
7 Reactions
99 Replies
24K Views
Msikilizeni hapa anahitaji msaada wa haraka wa kisaikolojia! https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1929559557958758834?t=8vjMEJIjxKMPmI6X0Q3KGw&s=19
1 Reactions
19 Replies
2K Views
CALIFORNIA, Marekani: NYOTA wa NBA, Kevin Durant, amezidi kwa warembo, kwani taarifa zinasema sasa anatoka na modo Sabrina Brazil. Taarifa zinanyetisha kuwa mkali huyu wa timu ya Golden State...
2 Reactions
56 Replies
8K Views
Back
Top Bottom