Mmh Ila mbea mimi niliona tu hii movie kwa mbali , huyu domo amsainishe msanii wa kike kwenye label yake halafu amuache thubutu... nasikia bidada kutwa kushinda kwenye hekalu la Mbez beach, muda...
Hatari sana wakuu
======
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Papamafido ametumia kodi ya nyumba na kulazimika kulala nje baada ya pesa hiyo kwenda kuchorea ‘TATTOO’ ya Wema Sepetu...
O.B.O ukipenda muite Davido kupitia I.G yake anatusanua kwamba kuna Collabo inakuja soon ft Nick Minaj...
Jamaa hataki masihara si mnakumbuka alivyoumiza kwenye Blow my mind akiwa na Chris...
Kwenye sanaa kuna mambo mengi ikiwa na uandishi na uchezaji wa maneno, lakini kuna hili limeongezeka wanaita muziki biashara,
Kwenye wimbo mpya wa Stamina amecheza karata turufu, tetesi...
Wakati Diamond akisonga hatua kumi mbele alikiba yeye anasonga ugali. Kumbe alikiba alipoteza account yake ya audiomack yeye na management yake ndo wanaangaika kuitafuta.
Dunia kila siku ina jambo jipya, mwanatech Elon Musk na mpenzi wake Claire Boucher wamepata mtoto na kumpa jina la X Æ A-12.
When choosing a password, we're generally advised to use one upper...
Mambo vipi!
Kama unavojua rich mavoko aliondoka wasafi na kuanza kujitegemea, lakini hajawahi kutoa ngoma wala kuskika kama mwanamuziki mkubwa! sasa harmonize amesema kuhusu mchizi!
Familia...
Mkurugenzi Mkuu na CEO wa Wasafi Media Diamond Platnumz kupitia interview aliyoifanya kwenye Sports Arena amefunguka baada ya kuulizwa na Maulidi Kitenge kuhusu Wasafi Media kwenda mikoani...
Staa wa hit song ya "Dodo," Ali Kiba, amesema atatoa msaada wa mavazi ya wahudumu wa afya kujikinga PPE 200 ili yakawasaidie kwenye vita hii dhidi ya Virusi cha Corona
Alikiba ameyasema hayo...
Mara nyingi sana huwa namuona jamaa kama sio superstar au boss vile anapokua kwenye jamii au katika shughuli zake za biashara,
Nimecheki hii video yake akiwa na wafanyakazi wake walipoenda huko...
Ni ukweli usiopingika kuwa msanii diamond platnumz ametuletea heshima kubwa nchini kitaifa na kimataifa.
Binafsi naona toka ametoka kuzindua miaka 10 ya diamond kwao kigoma, kuna jambo haliko...
I’m loving the interview Diamond did few days back , naweza kusema its a one of Diamond’s best interview ever . Nimependa jinsi Zembwela na Kitenge walivyokua free kuuliza maswali ya kidaku bila...
Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam' alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake...
Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwao Mbeya.
Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitisha kuwa, msanii huyo wa...
Hi guys!
Let me declare,I'm Diamond Platnumz fun but also I support any bongo fleva artists who are pushing hard to make sure our music dominate airways internationally.
Kiufupi pamoja na kwamba...
Ila jamani najitahid kusahau na kuzuia maumivu nashindwa, huyu Mama kweli wa kuzikwa na watu 10? , kama walikua wanajali sana hiyo corona mbona sehem nyingi za mkusanyiko bado ziko wazi ...
Halo JF Celebrities.
Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk?
Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa...
Wana Jf,
Kwanza hii ni Friday night, hivyo mara moja moja let's socialize and take it easy with threads za light touch.
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most...
Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale Wasafi Media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria...