Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mmh Ila mbea mimi niliona tu hii movie kwa mbali , huyu domo amsainishe msanii wa kike kwenye label yake halafu amuache thubutu... nasikia bidada kutwa kushinda kwenye hekalu la Mbez beach, muda...
9 Reactions
143 Replies
23K Views
Hatari sana wakuu ====== Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Papamafido ametumia kodi ya nyumba na kulazimika kulala nje baada ya pesa hiyo kwenda kuchorea ‘TATTOO’ ya Wema Sepetu...
3 Reactions
80 Replies
12K Views
O.B.O ukipenda muite Davido kupitia I.G yake anatusanua kwamba kuna Collabo inakuja soon ft Nick Minaj... Jamaa hataki masihara si mnakumbuka alivyoumiza kwenye Blow my mind akiwa na Chris...
3 Reactions
71 Replies
7K Views
Kwenye sanaa kuna mambo mengi ikiwa na uandishi na uchezaji wa maneno, lakini kuna hili limeongezeka wanaita muziki biashara, Kwenye wimbo mpya wa Stamina amecheza karata turufu, tetesi...
17 Reactions
113 Replies
23K Views
Wakati Diamond akisonga hatua kumi mbele alikiba yeye anasonga ugali. Kumbe alikiba alipoteza account yake ya audiomack yeye na management yake ndo wanaangaika kuitafuta.
10 Reactions
40 Replies
9K Views
Dunia kila siku ina jambo jipya, mwanatech Elon Musk na mpenzi wake Claire Boucher wamepata mtoto na kumpa jina la X Æ A-12. When choosing a password, we're generally advised to use one upper...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Mambo vipi! Kama unavojua rich mavoko aliondoka wasafi na kuanza kujitegemea, lakini hajawahi kutoa ngoma wala kuskika kama mwanamuziki mkubwa! sasa harmonize amesema kuhusu mchizi! Familia...
6 Reactions
70 Replies
11K Views
Mkurugenzi Mkuu na CEO wa Wasafi Media Diamond Platnumz kupitia interview aliyoifanya kwenye Sports Arena amefunguka baada ya kuulizwa na Maulidi Kitenge kuhusu Wasafi Media kwenda mikoani...
7 Reactions
49 Replies
7K Views
Staa wa hit song ya "Dodo," Ali Kiba, amesema atatoa msaada wa mavazi ya wahudumu wa afya kujikinga PPE 200 ili yakawasaidie kwenye vita hii dhidi ya Virusi cha Corona Alikiba ameyasema hayo...
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Mara nyingi sana huwa namuona jamaa kama sio superstar au boss vile anapokua kwenye jamii au katika shughuli zake za biashara, Nimecheki hii video yake akiwa na wafanyakazi wake walipoenda huko...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa msanii diamond platnumz ametuletea heshima kubwa nchini kitaifa na kimataifa. Binafsi naona toka ametoka kuzindua miaka 10 ya diamond kwao kigoma, kuna jambo haliko...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
I’m loving the interview Diamond did few days back , naweza kusema its a one of Diamond’s best interview ever . Nimependa jinsi Zembwela na Kitenge walivyokua free kuuliza maswali ya kidaku bila...
10 Reactions
35 Replies
7K Views
Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam' alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwao Mbeya. Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitisha kuwa, msanii huyo wa...
6 Reactions
159 Replies
154K Views
Hi guys! Let me declare,I'm Diamond Platnumz fun but also I support any bongo fleva artists who are pushing hard to make sure our music dominate airways internationally. Kiufupi pamoja na kwamba...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Ila jamani najitahid kusahau na kuzuia maumivu nashindwa, huyu Mama kweli wa kuzikwa na watu 10? , kama walikua wanajali sana hiyo corona mbona sehem nyingi za mkusanyiko bado ziko wazi ...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Halo JF Celebrities. Mnamkumbuka O Ten na nyimbo kama vile Akitakacho binti, Embu nicheki nk? Jamaa hataki masikhara, saivi amewekeza katika kilimo cha mananasi, tikiti na mbogamboga huku akiwa...
4 Reactions
66 Replies
14K Views
Wana Jf, Kwanza hii ni Friday night, hivyo mara moja moja let's socialize and take it easy with threads za light touch. Declaration of Interest Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most...
27 Reactions
154 Replies
27K Views
Mtoto wa Tandale kwa namna mambo yalivo pale Wasafi Media naona kama wiki mbili zilizopita mpaka Clouds Media wakapata mtikisiko na wakaja na visegment vya hovyo sijui eti wanavunja sheria...
9 Reactions
45 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…