Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

  • Closed
Naombeni mnisaidie namba ya Mhe Jokate Mwegelo nina jambo nataka nimweleze nimeshindwa kukaa nalo moyoni
2 Reactions
33 Replies
10K Views
Dakika chache tu picha hii imetupiwa na msanii huyu mwigizaji wa bongo movie anaejulikana sana kwa jina la Shamsa Ford ikiwa imeandikiwa neno...... utamu mwazo mwisho...
1 Reactions
93 Replies
63K Views
‘VIDEO queen’ wa Kibongo, Agness Gerald, ‘Masogange’, amefunguka kuwa aliyempa mzigo wa unga na akakamatwa nao nchini Afrika Kusini, alikuwa amevalia kininja, hali iliyomfanya ashindwe...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Habari wana jamvi, Leo hii nataka tumjadili msanij wa kizazi kipya wa hip hop, Dogo Hamidu al maarufu kama Nyandu Tozzy 26. Huyu bwana Mdogo ana kigroup chale wao kila siku wanakwea pipa kwenda...
6 Reactions
60 Replies
27K Views
Akiwa na miaka 67. Veteran Bollywood actor Rishi Kapoor has died in hospital after a two-year battle with leukemia, his family representative confirmed in a statement. He was 67. Kapoor, who...
4 Reactions
147 Replies
16K Views
Wakuu mambo zenu. Jana ili kuwa weekend inaisha napenda sana kuangaliaga filamu home au series ila sana sio za kwetu. Ila jana nilibahatika kuangalia filamu zetu dah nikaona nisikae kimya niseme...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Ni muda mrefu hajasikika akitoa wimbo tangu azame kwenye mapenzi. Yeye mwenyewe amesema anapumzika kwanza baada ya miaka 13 ya kuhit . Ila nachokiona atakaporudi fan base yake itakuwa imeshahama...
6 Reactions
55 Replies
6K Views
Tetesi ambazo zimeenea mitaa ya Kinondoni na vitongoji vyake ni kwamba chanzo cha beef Kati ya Mr. Blue na Dogo Hamidu alias Nyandu Toz ni uchawi. Inasemekana Nyandu Toz kwa sababu anazo zijua...
2 Reactions
57 Replies
12K Views
Kundi la muziki wa kizazi kipya lililofanya vizuri ndani ya miaka kadhaa la Yamoto Band hatimaye limesambaratika na sasa kila msanii anafanya kazi kimpango wake na hawasimamiwi na Mkubwa na wanawe...
3 Reactions
98 Replies
26K Views
kama umesikia wimbo mpya wa ney wa mitego....anazungumzia 1.akiponda viti maluumu...... 2.akiponda mawazili vivuliii.... 3.aonglea gesi ya mtwara 4.akimtaka lowassa agombee uraisi 5.amemponda...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Baada ya Ney Wa Mitego kutoa Track ya Salam Zao, Kuna tetesi Kuwa Muandaaji wa BSS Madam Rita anampango kumfungulia Kesi ya Madai Ney wa Mitego kwa Kumchafua (Defamation) kwani eti alisema Madam...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Hii ni kwa tathmini yangu fupi ya harakati za hawa wanamziki kwenye mbishe zao za kungiza kipato; i) kwenye kutoa nyimbo, ii) Matamasha, iii) Endorsement., iv) Album Kwenye list yangu mpaka sasa...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Wakuu takashi amevunja rekodi iliyowekwa na rapa Eminem kwenye wimbo wake Kill Shot NB:Nimefuhia ujio wa rainbow boy,na namuombea wabaya wake washindwe. You Mad Coz Am Back...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Diamond Platnumz - Number One (Official Music Video HD 1080p) 2:57 657 likes, 40 dislikes 115,398 views Diamond Platnumz 09/02/13 Watch Video Ikiwa haijafikisha hata week tangu iwekwe...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Leo kafuta post zake Zote kwenye ukurasa wake wa Instagram. Usafini Kuna nini jamani? Kufuta post kunaashira dogo anataka kuanza upya au Anatakata kukabidhi akaunt yako kama ilivyo kawaida kwa...
1 Reactions
102 Replies
15K Views
Richa ya wimbo mpya wa diamond kupendwa na wengi lakin kuna Stayle inayochezwa ndani ya video mpya ya my number 1..i dancin style mpya aliyoibuni Diamond mwenyewe n style ambayo imetokea kupendwa...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Ndugu zangu wapendwa katika pitapita zangu kwenye blogs nimekutana na hii picha ya Fidelin,hivi kweli watanzania tumefikia huku? Fide mimi sio hater ila inabid ujirekebishe sababu wewe ni kioo cha...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hilo ndo jina halisi la msanii Akon kama ulikuwa hulifahamu nalo ni Aliaume Damala Badara Akon Thiam
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Kusaga alikuwa live anawapigia simu watu na mashirika mbalimbali watoe michango yao kwa ajili ya mapambano ya corona, akampgia Diamond. Diamond kakubali kuchangia ila kasema mchango wake utatajwa...
23 Reactions
217 Replies
27K Views
Back
Top Bottom