zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Turelax kidogo alafu tupunguze stress.
Kisha sikia hii
Kama maisha yangekuwa movie nadhani kuna baadhi ya mambo yangekuwa mepesi kwako kuyafanya na ungefurahia sana kuwa katika maisha ya kimovie.
For instance Kama life ingekuwa movie nahisi mimi ningekuwa comedian kwasababu kwanza comedian huwa hawachukiwi na mtu kwenye movie alafu hata ikiwa action movie huwa hawafi hadi mwisho wanasurvive.
Alafu pili nisingesumbuka kupata girlfriend kama ilivyo kwenye maisha ya kawaida ningekwenda tu mahala nikamsubiri mrembo adondoshe vitabu chini kisha nimsaidie kuokota then baada ya hapo nimuimbie then tunakuwa tumefall in love.
Ma characters wapo wengi na vitu ni vingi narudi kwenu wadau
Kisha sikia hii
Kama maisha yangekuwa movie nadhani kuna baadhi ya mambo yangekuwa mepesi kwako kuyafanya na ungefurahia sana kuwa katika maisha ya kimovie.
For instance Kama life ingekuwa movie nahisi mimi ningekuwa comedian kwasababu kwanza comedian huwa hawachukiwi na mtu kwenye movie alafu hata ikiwa action movie huwa hawafi hadi mwisho wanasurvive.
Alafu pili nisingesumbuka kupata girlfriend kama ilivyo kwenye maisha ya kawaida ningekwenda tu mahala nikamsubiri mrembo adondoshe vitabu chini kisha nimsaidie kuokota then baada ya hapo nimuimbie then tunakuwa tumefall in love.
Ma characters wapo wengi na vitu ni vingi narudi kwenu wadau