Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,589
Mwanzo jukwaa hili lilikuwa lina vitu vitamu vinavyohusu ma celebrity wetu na muziki wao kiujumla huku wanajamvi wakigusia pande zote kuhusu muziki wetu na lilinoga sana.
Ila majuzi hapa jamvini wamekuja chawa rundo humu ndani na kuharibu jukwaa kwa nyuzi za kichawa chawa ,ushabiki maandazi huku wakigeuza jukwaa kuwa Instagram ya umbea umbea. Na uteam bila wao kulipwa hata mia
Wakitoa nyuzi za kukatisha tamaa wasanii wengine wakienda mbali na kuingilia maisha yao binafsi na kuyakejeli. Yaani ukiingia jukwaa hili ni wao wanataka umtaje na kumsifia msanii mmoja tu yaani Diamond Platinumz.
Kwa mtindo huu tutasogeza mziki wetu mbele vipi? Maana hata Diamond mwenyewe anajitahid kuusogeza muziki mbele ila chawa wake ndo mnamuangusha.
Badilikeni tuongelee muziki wa wasanii na sio kupambanisha wasanii.
Ila majuzi hapa jamvini wamekuja chawa rundo humu ndani na kuharibu jukwaa kwa nyuzi za kichawa chawa ,ushabiki maandazi huku wakigeuza jukwaa kuwa Instagram ya umbea umbea. Na uteam bila wao kulipwa hata mia
Wakitoa nyuzi za kukatisha tamaa wasanii wengine wakienda mbali na kuingilia maisha yao binafsi na kuyakejeli. Yaani ukiingia jukwaa hili ni wao wanataka umtaje na kumsifia msanii mmoja tu yaani Diamond Platinumz.
Kwa mtindo huu tutasogeza mziki wetu mbele vipi? Maana hata Diamond mwenyewe anajitahid kuusogeza muziki mbele ila chawa wake ndo mnamuangusha.
Badilikeni tuongelee muziki wa wasanii na sio kupambanisha wasanii.