Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Jamani habarini Wana jamvi
Kiukweli sina uteam wowote ila ni mzee wa fact, kutokana na Jana kwenye uzinduzi wa kampeni mkoani Mbeya hii imejidhihirisha wazi kuwa Alikiba amezeeka na amepitwa na wakati.
Jana ndo nimeamini kuwa na makeke yake yote ya kujigamba kuwa anaenda kupeform ule utopolo wake wa Mediocre kwa mara ya kwanza mbeya akazania na mbeya ni mamediocre Kama yeye,jamaa hajapata hata nyomi na kumiliki jukwaa hawezi kabisa na Mwisho wa siku hakawa anatufokea wanambeya huku tunamchora tuu.
Poleni sana mashabiki wa alikiba ila ndo Basi tena,kila Zama na mda wake maana Diamond the G.O.A.T yeye alikuwa anazindua Wasafifm mbeya ,huku mwingine akizindua limediocre lake na Wana mbeya kweli Waka mamediocre.
N.B: RAYVANNY NDO ALIKUWA MAN OF THE MATCH.
Kiukweli sina uteam wowote ila ni mzee wa fact, kutokana na Jana kwenye uzinduzi wa kampeni mkoani Mbeya hii imejidhihirisha wazi kuwa Alikiba amezeeka na amepitwa na wakati.
Jana ndo nimeamini kuwa na makeke yake yote ya kujigamba kuwa anaenda kupeform ule utopolo wake wa Mediocre kwa mara ya kwanza mbeya akazania na mbeya ni mamediocre Kama yeye,jamaa hajapata hata nyomi na kumiliki jukwaa hawezi kabisa na Mwisho wa siku hakawa anatufokea wanambeya huku tunamchora tuu.
Poleni sana mashabiki wa alikiba ila ndo Basi tena,kila Zama na mda wake maana Diamond the G.O.A.T yeye alikuwa anazindua Wasafifm mbeya ,huku mwingine akizindua limediocre lake na Wana mbeya kweli Waka mamediocre.
N.B: RAYVANNY NDO ALIKUWA MAN OF THE MATCH.