Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Comedians wote ni CCM, bongo movie wote ni CCM,wasanii wa muziki wote ni CCM, wachezaji wa Mpira wote ni CCM makundi yote haya ni nadra kuyasikia yakikosoa mambo mabaya yonayofanywa na CCM...
2 Reactions
5 Replies
448 Views
Hello 👋 Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine...
17 Reactions
159 Replies
11K Views
Naomba Wazee wa Kanisa hapo kwa Mtume mkuu wa Tanzania Nabii Mwamposa wamdhibiti Mchungaji Tony Kapola maana anawajibu Watu akiwa amepanic sana Atamuharibia Mtume Mwamposa na Huduma yake Ni...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Cristiano Ronaldo amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa muda mrefu, Georgina Rodriguez. Wawili hao wamekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 9 sasa na tayari wana watoto wawili pamoja. Georgina...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Sikuratjia kama huyu msanii anaweza kuwa na uwezo mdogo saana wa kujenga na kuchambua mada na kujileza hadi nilipomsikilizi jana jioni kupitia kituo kimoja cha redio ambacho kimekuwa kikitumiwa...
4 Reactions
11 Replies
915 Views
Hapa bongo ninadiriki kusema hakuna bondia wa kizazi hiki anayehujumiwa wazi wazi kama Loren Japhet. Kwa haraka haraka ninaweza nikakutajia fights tatu alizohujumiwa wazi wazi mpaka mashabiki...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Yaani ukimsikiliza Tongolanga, unajua kabisa hapa kulikuwa na mtu haswaa aliyezaliwa kwa ajili ya kuimba. Kila munu ave na kwao i-4, sanura, baba na mama, mpenzi Nuru, chilambo Cha vene.......dah...
2 Reactions
2 Replies
555 Views
Wakuu, Leo nilikuwa nimekutana na clip moja ya huyu mchekeshaji anaitwa Ndaro huko Youtube Nimejaribu kuangalia for at least 3 minutes kwa kweli nimeshindwa. Yaani jamaa hachekeshi kabisa...
8 Reactions
61 Replies
2K Views
Mimi bado najiuliza jamani hili ni pepo ama alipitiwa ama ni tamaa tu ilimpitia suala la mtoto wa rostam kukamatwa kwa kubaka mtoto wa mugabe. Kuna wanaosema kijana alikuwa anatafuta kujulikana...
1 Reactions
16 Replies
11K Views
Umuofia kwenu wana JF, Aliyekuwa mwanamuziki aliyeunda kundi la Xplastaz Godson Rutta aka G-Son amefariki dunia akiwa USA baada ya kuugua kwa muda mrefu. Ikumbukwe kwamba Gsan ndiyo mtanzania wa...
17 Reactions
80 Replies
5K Views
KIMEUMANA🚨‼️ Mwanamama Toni Braxton amefungua kesi ya kudai talaka dhidi ya mume wake Birdman ndani ya mwezi mmoja tu baada ya ndoa yao kwa sababu kuu akidai amechoka na ndoa hiyo. Toni Braxton...
20 Reactions
91 Replies
5K Views
https://www.facebook.com/share/v/15uAxVk5ZV/
6 Reactions
40 Replies
2K Views
HUYU JAMAA HELA hanayo, ila haitoshi kuleta fujo MJINI, ambapo Kuna GSM na kina lugumi wanaishi. haitoshi hio HELA kaka tuliaaaaaa weweeeeeeeewwww kijanaaaaaaaaaaa
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram. Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
10 Reactions
114 Replies
5K Views
Nimepitia vyombo karibia viwili vya habari vilivyoripoti hukumu ya Mahakama ya Rufaa katika kesi inayomuhusu Mwana FA na AY dhidi ya kampuni ya TIGO. Kwa jinsi maamuzi hayo yalivyoripotiwa ni...
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Tofauti na hapo ana enjoy kuonekana kama chapati na yeye kubaki hivi sioni masculinity katika kizazi chake, naona vitoto vyake vya kiume kuwa vichapati chapati kwq maana image ya baba wanayoiona...
3 Reactions
61 Replies
2K Views
All around in my home town they're tryin To take me down They say they want to bring me in guity for the killing of the deputy. For the life of the deputy Sherrif John Brown always hated me for...
1 Reactions
3 Replies
304 Views
Msanii Sam wa ukweli hatunaye tena duniani, amefariki usiku huu hospitali ya Palestina iliyopo Sinza Mwili wa Sam umepelekwa hospitali ya Mwananyamala kuhifadhiwa. Sam, alitamba na vibao vyake...
11 Reactions
363 Replies
76K Views
Umuofia kwenu wana JF, Msanii wa Bongo fleva aliyetikisa kanda ya Ziwa G RICO amefariki dunia leo ,G Rico alitamba na nyimbo kama Pole ya moyo, kesho etc. Poleni ndugu, jamaa na marafiki.
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Mwanatasnia maarufu Kutoka India Sophia Leone miaka 26 ameripotiwa kukutwa amefariki dunia nyumbani kwake, uku chanzo halisi Cha kifo chake kikiwa bado hakijafahamika kutoka kwenye mamlaka...
18 Reactions
256 Replies
24K Views
Back
Top Bottom