Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Muigizaji na mchekeshaji maarufu Zimwi amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu Hivi karibuni amefanya mahojiano na waandishi wa habari na kuwaeleza kuwa yeye ni baba wa mtoto mmoja na...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki...
14 Reactions
97 Replies
13K Views
Huyu mmakonde alisema tarehe 8 mwezi huu anaachia album kama kawaida yake huwa anaachia usiku wa kuamkia ijumaa Sasa mpaka Sasa hivi yupo kimya hata majina ya nyimbo hajapost je amewafanya...
0 Reactions
5 Replies
481 Views
Hili ndio battle la Singeli lipo viral kwa sasa. Nani ameicheza vizuri? Origin ya Singeli ni mkoa upi?
0 Reactions
5 Replies
341 Views
Msanii maarufu wa muziki wa Hip Hop kutoka Tanzania, Nikk Mbishi, amepata pigo kubwa kufuatia kifo cha baba yake mzazi, John Marwa Machuche, kilichotokea tarehe 02 Agosti 2025. Msiba ulihudhuriwa...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Any way tukiwa tunasubiri Daku ngoja tupitishane humu kwanza, Kwa kizazi cha sasa kinaweza kuwa hakilifahamu hili jina la Steve Kabuye aka Steve kafire mtu mwenye Sauti yenye mamlaka pale...
7 Reactions
80 Replies
12K Views
Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola. Kanisa lake liko wapi ? Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ? Inakuaje ameungana na hawa...
21 Reactions
375 Replies
54K Views
Karibu sana Mdogo wangu Diamond katika Umri wa utu uzima, Sasa wewe jijuwe sio Kijana Tena, Kwa maana Umri wa ujana mwisho ni miaka 35. Kama ilivyo Kwa mwanamama Jokate ambaye naye si kijana Tena...
8 Reactions
48 Replies
3K Views
Taharuki hii ilianza baada ya binti mzungu anayeitwa Sweeney kuwekwa kwenye tangazo la American Eagle. Tangazo hilo limefanya vizuri sana kibiashara, lakini kwa upande mwingine, lilizua kilio...
6 Reactions
86 Replies
4K Views
Hivi mtu unawezaje kuishi na mtoto sio wako na unamuhudumia kama Diamond anavyosema
3 Reactions
79 Replies
3K Views
Ashraf Hakimi , mchezaji wa timu ya PSG ya Ufaransa, unaweza kusema ni Mungu anampenda, pia maombi ya mama yake yanamsaidia. Kwa mara nyingine mwamba amenusurika kufanyiwa umafia na mpenzi wake...
15 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna stori ilisambaa eti Ngwea alibeba madawa tumboni kuyaleta TZ baada ya show aliyofanya South, hiki kitu hakijawahi kumake sense Soko la madawa kubwa zaidi kwa Africa lipo South Africa, Madawa...
14 Reactions
39 Replies
2K Views
Kuna viitikio ninavyokumbuka TBT kutokana jinsi baadhi ya wadau walivyotafsili ktk Nyimbo mblmbl 1.wimbo wa AY ,YULE ktk kiitikio Cha wimbo huo nampenda sana jinsi alivyoo yuleee nampenda sana...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakali wa movies Sina haja ya kumuongelea Tom Cruise ni nani wengi wenu mtakua mnamfahamu Ila nimeumia sana sana kama vile ndio mke wangu huyu, anapiga hii mashine nadhan mnamfaham huyu dada...
16 Reactions
96 Replies
5K Views
Nimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu *Niteke *Let me Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake...
2 Reactions
65 Replies
9K Views
Wapi alipo Misanya Bingi? Alikuwa kati ya watangazaji mahiri ndani ya ITV na Redio One na aliongoza vipindi mbali mbali ikiwemo Kipusa akirithi mikoba ya Abdallah Majura. Ningependa kujua alipo...
31 Reactions
240 Replies
57K Views
Hello wakubwa (weka mbali vijana wa 2000) Leo nimemkumbuka sana huyo dada NANCY MITIKISIKO SALAMBA,Yupo wapi siku hizi ? Ana chimbo jipya?Kama anachimbo jipya tuambiane wakuu Vitu vyake vilikua...
14 Reactions
85 Replies
6K Views
Wakuu, Sema kuna watu wana siri jamani. Mbona kwenye harusi hakuwa hivi? Kwa jinsi wanavyopenda shughuli hawa wawili unaweza kuta BABY SHOWER ikafanyikia Nigeria na Tanzania. Ngoja tuone!
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Hawa jamaa wa minyama siku hizi siwasikii redioni. Maulid Kitenge yeye namuona yuko busy na jogging tu kila siku. Je, wamefukuzwa au wako likizo?
14 Reactions
132 Replies
8K Views
Hii diss-track aisee ambayo motra ameitoa like seven days ago ni noma sana according to my ears, Mex Cortez needs a serious comeback. Hajamuacha mtu salama humo hadi kina Freddy Mullah, Conboi...
1 Reactions
11 Replies
862 Views
Back
Top Bottom