Kuna bendi moja kongwe ya muziki wa dansi, sitaitaja jina.
Wanamuziki wake walipukutika kama Uyoga ndani ya miongo miwili ni kama walikwisha. Unajua sababu?
Jimama la Kimanyema mixer Kiarabu...
Vuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya...
Habarini,
Wahenga mtakumbuka Reginald Mengi na Rostam aziz waligombana hadi kufikia hatua ya kuitana mafisadi papa kwenye vyombo vya habari
Kwenye msiba wa Reginald Mengi nafikiri Rostam Aziz...
Msanii wa nyimbo za injilj Ambwene Mwasongwe ameweza kupata mtoto wa kike baada ya kukosa mtoto katika ndoa yake tangu mwaka 2017.
Hicho ndo alichokiandika leo kwenye mitandao yake ya kijamii...
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi...
Dickson Samson Makwaya (Bambo)
Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.
Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili...
Uyu Jamaa nilipenda kitu flani katika maisha yake, mwamba alikua ni rula kanyooka vile. Haijalishi hilo jambo linamgusa yeye au mtu mwingine.
1. Remmy Ongala_Nyerere
Zarithebosslady machozi na presha vyote kwa wakati mmoja wakati mume wake SHAKIBU alikuwa akipokea makonde kutoka kwa rickman hapo jana.
Unamshahuri nini Zari.
***
Mwanamama mfanyabiashara...
Muigizaji JB amesema nafasi zikishikwa na anafarijika sana na tangu nikiwa mdogo alikuwa anapendezwa na wanawake wanaosimama wenyewe ameyasema leo kwenye uzinduzi wa Documentary ya #TanSamia...
Kuna wimbo mmoja uliimbwa na kwaya ya Bulyankulu Barabara ya 13 uitwao "Samson". Sehemu ya wimbo huo nikikumbuka inasema:
"Tafadhali niambie asili ya nguvu zako, tafadhali niambie waweza kufungwa...
Unaambiwa couple inayotrend mtandaoni maarufu kama Meet Us, nje ya upendo ni chapa na ni brand inayowapa kipato. Ni biashara kama biashara nyingine Tsh Million 6 hadi 8 zinaingia kila mwezi kwa...
By correspondent,
In late 1980s no one could imagine the influence of Bongo Hip hop just a decade later, with American style and modern beats Hip hop was negatively viewed by the aged people, it...
Baada ya JR junior kurudi east africa radio baada ya kutoka Times fm, ni wazi nyota ya rich msafi inaenda kuzima, nimefuatilia vipindi kadhaa kwa sasa JR junior ndo anatawala kipindi, kwenye...
=========
Jordan Strauss/Invision/AP
Chadwick Boseman, star of “Black Panther,” died on Friday after a four year battle with colon cancer, his rep confirmed to Variety. He was 43.
Before he...
Polisi wanawashikilia Watoto Wawili wa Mwigizaji John Okafor, maarufu kama #MrIbu, kwa madai ya kuiba Tsh. 153,609,096, fedha za Michango ya matibabu yake na kujaribu kutorokea Nchini Uingereza...
Habari.
Siongei kwa ubaya ni nani anayemuelewa Pastor Tony Kapola juu ya.
° Uvaaji wake
° mahubiri yake hasa Yale ya kusema anataka kufanya collaboration na diamond
° usela usela uhuni mwingi...
Jaji Frank Caprio aliaga dunia kwa amani akiwa na umri wa miaka 88 baada ya vita vya muda mrefu na vya ujasiri dhidi ya saratani ya kongosho.
Akipendwa kwa huruma, unyenyekevu, na imani yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.