USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Mungu amemchukua mapema sana msanii H Mbizo alitamba na wimbo wake wa Nilonge Nisilonge
Account ya instagram ya msanii riyama ally imeandika
==============
Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kutamba na ngoma yake ya "Nilonge Nisilonge" miaka kadhaa iliyopita, Hamis Juma Mbizo (H Mbizo) amefariki Dunia, Januari 27, 2023.
Kwa mujibu wa baba wa marehemu, Juma Mbizo, msanii hiyo amefikwa na mauti akiwa Morogoro ambako alipelekwa kwa matibabu, kutokana na maradhi ya mgongo na mguu yaliyokuwa yakimsumbua kwa takribani mwezi mmoja.
Marehemu H Mbizo anatarajiwa kuzikwa Jumapili Januari 29, 2023 Jijini Dar es Salaam.
Account ya instagram ya msanii riyama ally imeandika
Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kutamba na ngoma yake ya "Nilonge Nisilonge" miaka kadhaa iliyopita, Hamis Juma Mbizo (H Mbizo) amefariki Dunia, Januari 27, 2023.
Kwa mujibu wa baba wa marehemu, Juma Mbizo, msanii hiyo amefikwa na mauti akiwa Morogoro ambako alipelekwa kwa matibabu, kutokana na maradhi ya mgongo na mguu yaliyokuwa yakimsumbua kwa takribani mwezi mmoja.
Marehemu H Mbizo anatarajiwa kuzikwa Jumapili Januari 29, 2023 Jijini Dar es Salaam.