Mbwembwe tu hizo.Hivi waislam huwa wanavalishana pete?
Mambo ya mjini hayo ndugu yanguHivi waislam huwa wanavalishana pete?
Watatu ndio waliopita mbele( kwenye tukio la kuvishana pete)Hongera sana kwa Haji ila ana watoto wanne kawatambulisha ,wakiume wawili na wakike wawili.
Halafu pete mkono wa kuliaMbwembwe tu hizo.
Watoto wa3Hongera sana kwa Haji ila ana watoto wanne kawatambulisha ,wakiume wawili na wakike wawili.
Yes alisema ana watoto watatu ila kiuhalisia ni wanne ,kama uliona wale wakike wawili walioenda kumpelekea pete ,zamaradi amewatambulisha mmoja anaitwa Fetty Fatma Haji manara na mwingine jina limenitoka alivaa gauni nyekundu naye ni mtoto wa Haji,na wale wakiume wawili aliowatambulisha mmoja mwanayanga mwingine yule tall aliyemuamkia akasema hajaonana nao zaidi ya miezi miwili coz ya shule.Watatu ndio waliopita mbele( kwenye tukio la kuvishana pete)
Kasema ana watoto watatu. Afu watu bwana mtu kashakaa ndoani miaka kibao, leo anapewa mawaidha ya ndoa khaaaHongera sana kwa Haji ila ana watoto wanne kawatambulisha ,wakiume wawili na wakike wawili.
OkayYes alisema ana watoto watatu ila kiuhalisia ni wanne ,kama uliona wale wakike wawili walioenda kumpelekea pete ,zamaradi amewatambulisha mmoja anaitwa Fetty Fatma Haji manara na mwingine jina limenitoka alivaa gauni nyekundu naye ni mtoto wa Haji,na wale wakiume wawili aliowatambulisha mmoja mwanayanga mwingine yule tall aliyemuamkia akasema hajaonana nao zaidi ya miezi miwili coz ya shule.
Ndio walisema anaitwa Hamida,Yes alisema ana watoto watatu ila kiuhalisia ni wanne ,kama uliona wale wakike wawili walioenda kumpelekea pete ,zamaradi amewatambulisha mmoja anaitwa Fetty Fatma Haji manara na mwingine jina limenitoka alivaa gauni nyekundu naye ni mtoto wa Haji,na wale wakiume wawili aliowatambulisha mmoja mwanayanga mwingine yule tall aliyemuamkia akasema hajaonana nao zaidi ya miezi miwili coz ya shule.
Hata na hii itakufa tu haifiki 2022.Wambea njooni basi mtuambie ndoa ya kwanza ilikuaje ikafaaa. warumi uko wapi
Ulimaanisha bibi harusi?Ila Dada yake Bibi Arusha DC wa kule Tanga atapasuka aiseee apunguze mwili ule.
Mi niliwaza kimoyo moyo nikaogopa kuitwa mchawi mwenzio.Hata na hii itakufa tu haifiki 2022.
Dada ake bi harusi ni mkuu wa wilaya Tanga huko.Ulimaanisha bibi harusi?