Yaani aibu nimeona mimi, too childish, kama demuKumbe huyu jamaa ndio anaongea vibaya hivi
Hata muonekano wake wa kijinga kinyama na anachokiongea ni bure kabisa
AibuuuuuMbunge CCM Babu Tale amekiri kuwa yeye huwa anavaa Underwear japo hawez kufua. Hii ndio dizaini ya wabunge wa CCM tulionao huku tukitegemea ndio watutungie sheria kwa uzwazwa huu
View attachment 1641576
Yaani aibu nimeona mimi, too childish, kama demu
Kuna mabo ambayo sio lazima uzungumze kwenye public jamani, amejiaibisha sana, imagine una mume wa design hiyo
Acha tu, ana ndugu na familua, watoto pia halafu anasema amedekezwa hata kufua chupi hawezi, halafu unaambiwa huyo ni kichwa cha familia na ni kiongozi wa wananchiHahahah unamuona mume anaongelea chupi zake chafu in public
Dunia inaenda kasi sana
Kwa kweliSi kila mbaya suruali ni mwanaume