Babu Tale, Mbunge wa CCM na Meneja wa Diamond Platnumz asema hawezi kufua nguo za ndani

PNC

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
8,107
14,352
Mbunge CCM Babu Tale amekiri kuwa yeye huwa anavaa Underwear japo hawez kufua. Hii ndio dizaini ya wabunge wa CCM tulionao huku tukitegemea ndio watutungie sheria kwa uzwazwa huu

 
Hahahah unamuona mume anaongelea chupi zake chafu in public

Dunia inaenda kasi sana
Acha tu, ana ndugu na familua, watoto pia halafu anasema amedekezwa hata kufua chupi hawezi, halafu unaambiwa huyo ni kichwa cha familia na ni kiongozi wa wananchi

Imagine baba hajui kufua hata chupi, sijui kama anaweza hata kuogesha mtoto in case mama ni mgonjwa
 
Back
Top Bottom