Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni...
7 Reactions
81 Replies
8K Views
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva na Mjasiriamali Shilole ameiweka wazi Gari ya ndoto yake anayotamani kumiliki. Wakati akizungumza na waandishi wa habari @officialshilole ameitaja “v8 new model”...
5 Reactions
74 Replies
9K Views
Jamaa haonagi aibu eti six pack USSR
2 Reactions
8 Replies
746 Views
Ila kweli aiseeh, walichofanya wasafi ilikua ni risk sana , it was jeopardizing the life of others kwa kweli , kitendo cha kula bata baharini kwenye boti tena wakiwa wanalewa bila life support...
7 Reactions
51 Replies
10K Views
Rapa na Mfanyabiashara maarufu Sean Jean Combs a.k.a Puff Daddy, Diddy au Brother Love ametemana na mpenzi wake Young Miami aliyedumu nae kwa takriban miaka 2 tu. Diddy amekuwa na kawaida ya...
10 Reactions
52 Replies
4K Views
Ilikuwa wakati mzuri sana kufanya kazi na ndugu zangu Maulid Kitenge, Gerald Hando, B Dozen na Oscar Oscar. Nitaendelea kuwashukuru na kuwaheshimu sana kwa mchango walioweka hapa #EFMnaTVE...
14 Reactions
87 Replies
8K Views
Kwenye sekta ya habari labda Masanja hajafanya sana, lakini sote tukikumbuka enzi ya ze comedy tutakumbuka Masanja ndo alikuwa msoma habari mkubwa na alivutia mamilioni ya watanzania kuliko Maulid...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Nakumbuka nilipata kufahamu habari za mtu huyu kupitia JF hasa kwa kazi adhimu ya Mzee Mohamed Said.Mwanazuoni MS aliandika mengi kumhusu Belafonte, Leo nimesoma mahala kadhaa kwamba nguli huyu...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Staa kutoka pande za nollywood, Regina Daniels , kwa mara nyingine anatikisa kwenye mitandao ya kijamii baada ya hivi karibuni, mume wake ambaye ni millionaire , kumzawadia saa ya million 140...
1 Reactions
99 Replies
11K Views
Kwanza niseme wazi kwa mtazamo wangu wanamuziki wa bongo flaver, hiphop, dance nk ktk miziki ya ulimwengu ni wabunifu sana ingawa wengine mizigo. Pili nawapongeza wanamuziki wa dini wachache wana...
1 Reactions
6 Replies
572 Views
Wote tunamjua Marioo kama msanii anaejitafuta ila bado ajajipata. Wote tunajua anakopi sana swaga za Mbosso Khan. Wote tunajua kusoma na kuandika bado ni mtihani kwake. Lakini huyu dogo baada...
15 Reactions
135 Replies
10K Views
NANDY HAWEZI KUMSHAWISHI BINTI YANGU - GERALD HANDO. Mjadala umeibuka kwenye #MsumariWaMoto kuhusu baadhi ya Wasanii kuoa au kuolewa kuonekana kupoteza ushawishi wao kwa Mashabiki Vijana, mfano...
5 Reactions
55 Replies
4K Views
Kuanzia leo, akaunti zao za Twitter hazijathibitishwa tena. Kampuni hiyo kubwa ya mitandao ya kijamii ilianza kuondoa uthibitishaji wa tiki ya bluu uliokuwa ukitamaniwa kutoka kwa maelfu ya...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakubwa katika nyimbo ninayoipenda sana binafisi ni ya alikiba Mac Muga Mashairi mazuri , vina vimepangiliwa ujumbe mzuri Katika kufukunyua na kufuatilia nimepata nusu taarifa kuwa alieimbiwa...
8 Reactions
52 Replies
7K Views
Nina hoja mbili kuhusu huyu legend kwenye utangazaji hapa nchini... Zinazonipa maswali mengi 1.kwanini ni rahisi Kwa huyu jamaa kuama redio moja kwenda nyingine chapu chapu Bila kuangalia brand...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
If you want others to be happy, practice compassion. If you want to be happy, practice compassion. By :Dr. Selelih Kitashu (PhD)
1 Reactions
1 Replies
373 Views
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta...
39 Reactions
335 Replies
21K Views
Baada ya siku chache kupita ambapo mwana hip hop snoop dogg, kusema kwamba hakuwai kuupenda wimbo wa Tupac "hit em up" (diss track). Snoop dogg was said: I didn't like this shit like it wasn't...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini Wana Jamvi. Hii Hali Inapoelekea sio nzuri kwa underground wetu NANDY,maana naona kabisa Kama tunaenda kumpoteza kwenye ramani ya Muziki. Na hii yoote ni kutokana na ujio wa giant...
4 Reactions
75 Replies
8K Views
Ngoma kali za Godzilla. 1.SALASALA 2.X 3.GET HIGH 4.Mama Made It 5.Stay 6.Thanks God ft Walter Chilambo 7.Hard Work ft Chege 8.Kila Wakati ft G.Nako 9.Lakuchumpa ft Joti 10.Sonia ft Juma Nature...
20 Reactions
43 Replies
6K Views
Back
Top Bottom