Shilole: 'V8 ndio gari ya Heshima sio Range Rover gari ya Kitoto hiyo'

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,119
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva na Mjasiriamali Shilole ameiweka wazi Gari ya ndoto yake anayotamani kumiliki.

Wakati akizungumza na waandishi wa habari @officialshilole ameitaja “v8 new model” ndio gari ya heshima kwake na akiongeza kwa sema Gari aina ya Range Rover ni za kitoto.


DOZEN SELECTION
 
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva na Mjasiriamali Shilole ameiweka wazi Gari ya ndoto yake anayotamani kumiliki.

Wakati akizungumza na waandishi wa habari @officialshilole ameitaja “v8 new model” ndio gari ya heshima kwake na akiongeza kwa sema Gari aina ya Range Rover ni za kitoto.

View attachment 2591320
DOZEN SELECTION
Itakuwa alimaanisha Toyota Land Cruiser.


Na nyingine hii
 
Kwa nchi hii ukitamka tu V8 automatically it is clear what you're talking about.

Let's focus on the context than technical jargons uncommon to common wananchi.
Sawa sisi watu wa nchi hii tuachane na technical terms. Ila sasa hapo tufocus kwenye kwenye context mkuu, Shilole kuja kununua 'V8' au 'V8' kuwa gari la maana la kikubwa kuliko Range Rover?
 
Back
Top Bottom