Franklin Boukaka nilianzaga kumfuatulia huyu Mkongo hasa baada ya wimbo wake mmoja kuwa unapigwa pigwa sana Sauti ya Ujerumani. Nikaanza kumfuatilia nikaja kugundua mbali ya kuwa mwanamziki...
Kila nikikumbana na wimbo wa Tutakukumbuka wa GK unanikumbusha taswira ya D-Rob (Robert Mwingira).
Nashindwa kuacha kutoa machozi kila nikiusikia wimbo huo.
Nakukumbuka sana brother, 2001...
Sijui yuko wapi sasa huyu mwamba?
Kila alichokisema katika nyimbo zake hizo mbili ninakabiliana navyo kila siku na kuvishuhudia;
-masjala file lako litaonekana tu kama utawapoza kidogo wale ps...
Huo ni mchongo wa kuokota trend songs za wiki hii huko apple music kisha unadanganya waafrica. Hauitaji kuwa genius kuona ilo.
Wabongo tupige kazi tuufikishe mbali muziki wetu safari yetu bado...
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann
Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu
Hata hotuba zake anacheka tu
Akipiga picha ni kicheko...
"When I speak about my father, I don't have the words. The sadness is for me to be the number one and for him to have never seen it. All my family saw, but my father didn't see any of it."...
Wakuu habari zenu..
Moja kwa moja kwenye mada,, nimekuwa fan mkubwa wa Suma Mnazaleti kwa muda mrefu tangu katoa wimbo ambao niliupenda sana kwa kipindi kile, na naweza kusema ndio wimbo...
Kwa kuanza kabisa naomba tutambue wasanii wa bongo fleva wanaotumia dawa za kuchochea misuli gym wanaziita steroids/poda ni pamoja na Diamond, harmonize, jux, calisa, ney wa mitego Hawa ni baadhi...
Leo baada ya kumsikia jaji akiitaja dhamana yake ambayo ni dola za Kimarekani milioni 25.
Naona mwisho wa huyu jamaa, ambaye ni mwazilishi mwenza wa Death Row Records, umekaribia sasa.
Manake...
Habari marafiki napenda kumfahamu huyu mtu anayeitwa Dax. Nimekua nikifuatilia nyimbo zake naona ni zatofauti sana. Dax ni nani?
Hebu tizama hii video yake.
Tupige soga kidogo kuvusha wikiendi..
Sisi 'old skool' wa Bongofleva tuna mambo yetu. Hatushughulishwi na story za kizazi hiki cha kina Harmonize.
Ndio maana mtaona nyuzi zetu mostly zinawahusu...
Aisee mambo ya kuwa na mwili na Misuli ya kuvutia imepelekea wasanii wengi wajitoe muhanga kula dawa Ili waweze kupata Misuli mikubwa na inayoonekana ilinkuimarisha brand zao.
Niwekee wazi tu SI...
Siku chache baada ya kuwataja #LilWayne na #Eminem kuwa ndio 'Rappers' wakali wa muda wote (GOAT), Tyga ameamua kumpa Nicki Maua yake na kueleza kuwa hakuna Rapa mwingine wa kike anayemkaribia...
DR. MARCO MKALI, MARCO CHIZI KIDOGO
Alipita Metro studio, Serious Records, Kama kawa Records mpaka alipotuliza majeshi MJ RECORDS na kufanya kazi na mkubwa Master Jay huku pia akiwavuta wadogo...
Sio mfuatailiaji sana Wa tamthilia ya mwantumu DSTV nimeangalia Mara kadhaa ila sikuwahi kutambua kama kaboba ni Joti.
Kama kwa hakika joti ana kipaji siku zote nilidhani kaboba ni msanii...
Snoop Dogg, ambaye jina lake halisi ni Calvin Broadus Jr., alisababisha mshtuko mkubwa Hollywood baada ya kutangaza kuwa amekuwa Mkristo mpya aliyezaliwa upya. Hivi karibuni alitoa albamu yake ya...
Dah huyu Mwakinyo.
====
"Kuna mtu ninayemuheshimu aliongea maneno mabaya sana kwangu, nilisema Mwenyezi Mungu anipe ujasiri ili nisiseme maneno mabaya kwasababu yeye ni mtu anayesifika kwa...
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio...
Wale wakongwe wa miaka ya mwanzoni mwa 2000 hadi 2007 mtakuwa mnamkumbuka msanii waa bongofleva aitwae vumilia alitamba sana na nyimbo zake nzuri kama, tatizo ni Umasikini, Utanikumbuka na ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.