neurosurgeon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 357
- 309
Yaani Nigeria haijilishi ameanza mziki Leo au miaka iliyopita wanavutia sana kila mtu anakuja kwa style Yake mfano mani Omah Lay hatari sana Ana hit song zinabamba sana.
Hatari sana mkuu huyu dogoBend you
soso
damn
confession
dah huyu hana nyimbo mbaya kila goma ni la moto yaan kweny ep zake zote kaua na album yake pia dah kuna goma la kuitwa temptation dah
Kama unajua muziki kweli unapaswa kusikiliza nyimbo za wapi mkuu?Kama unaujua muziki kweli huwezi sikiliza hizo sound pollution toka nigeria
Confession na soso😋Bend you
soso
damn
confession
dah huyu hana nyimbo mbaya kila goma ni la moto yaan kweny ep zake zote kaua na album yake pia dah kuna goma la kuitwa temptation dah
Babe ad wewe unaukubali mziki mzuri 😍Confession na soso😋
Sana, kuna hii inaitwa YEYE😇😋 Omah Lay huyo.Babe ad wewe unaukubali mziki mzuri 😍
Wanaija wanajua Sana wapewe maua yaoSana, kuna hii inaitwa YEYE😇😋 Omah Lay huyo.
Huyu kijana hapoi afu soon kuna soso remix inatokaConfession na soso😋
Congo drKama unajua muziki kweli unapaswa kusikiliza nyimbo za wapi mkuu?
Huwa sipendi kusikiliza kiukweliKama unaujua muziki kweli huwezi sikiliza hizo sound pollution toka nigeria
Akikujibu ni tag mkuuKama unajua muziki kweli unapaswa kusikiliza nyimbo za wapi mkuu?
@Shetta jamaa anasema kama unajua muziki kweli unapaswa kusikiliza nyimbo kutoka Congo drCongo dr