Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wengi wenu mnatambua nyimbo ya Jabari la Muziki Tanzania Marijan Rajab na nyumbo yake maarufu inayo julikana kama "Georgina " huku wengi mkiwa hamjui story ya nyimbo hiyo kwamba ni ya kweli ...
12 Reactions
31 Replies
4K Views
Mimi si mpenzi sana wa filamu za kiafrika labda za South na zimbabwe kama neria, yellow card, Jerusalem na nyingine na soap operas kama isidingo n.k. Ila kuna baadhi ya tamthlia za kenya nilianza...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Huyu ndiye Miss Netherland kwa mwaka 2023 anaitwa Rikkie Valerie ambaye inasemekana ni mwanaume aliyejibadilisha jinsia.
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Bondia ana hoja asikilizwe
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Leo nimemkumbuka kijana aliepata ajira EATV kupitia auditions za kiushindani na hatimaye akapata ajira na kuanza kipindi cha SKOOONGA! Ni kijana mbunifu kwa kweli, kutokana na...
0 Reactions
42 Replies
13K Views
Mshindi huyo wa Tuzo ya Grammy amefanikiwa kuweka rekodi hiyo kwa kuuza Tiketi zote 41,000 za onesho lake katika Uwanja wa Citi Field ulioko jijini New York, Marekani . Show hiyo ilihudhuriwa pia...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
To be honest Hanstone is waaay better than Marioo
1 Reactions
3 Replies
949 Views
Socialite kutoka pande za Zimbabwe, ambaye pia ni mfanyabiashara tajiri, Ginimbi, amepata ajali mbaya Siku ya leo na kufariki dunia hapo hapo. Mfanyabiashara huyo pia alikuwa Karibu na Zari the...
17 Reactions
295 Replies
57K Views
Nilikuwa youtube napita pita nikaona hii clip ya Giggy money nimekuwa disappointed, hata kama mna tofauti kubwa vipi , mwanaume lijali you don't go out and fight na baby mama wako. a simple dinner...
8 Reactions
79 Replies
7K Views
"Taratibu simu kiganjani naperuzi, nikiwa nimetulia zangu katika sofa, akili yangu haikuwa hata katika simu, hapo nina machungu na mahasira yamekaa katika koo toop, kila picha ya mdada iliyokuwa...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Elmer "Geronimo Ji-Jaga" Pratt Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa Tanzania, basi utakuwa unaikumbuka ngoma kali ya Nako2Nako inayoitwa We Ndiyo Mchizi Wangu Remix (2008) iliyowashirikisha marapa...
22 Reactions
39 Replies
5K Views
Waungwana siku kadhaa nyuma diamond kwenye Insta story yake alichimba mikwara kwamba anarudi na kasi ya hatari na atakua trending no.1 mpaka january 2024. Mimi nilijua ilikua mikwara tu...
9 Reactions
37 Replies
4K Views
Imeibuka sintofahamu baada ya Ray kuongea kwamba anashangaa sana watu kusema kuwa alikuwa anabebwa na Kanumba wakati ukweli ni kwamba yeye ndio alimtoa Kanumba, kiufupi Kanumba amepitia kwenye...
4 Reactions
87 Replies
7K Views
Rose Muhando dawa yako iko jikoni inachemka siku sio nyingi utainywa. Huyu muimbaji Rose Muhando pamoja na kujisifu kuwa ni mcha Mungu kumbe ni mwizi. Dhambi hii uliyoifanya kwa Michael Jackson...
5 Reactions
98 Replies
10K Views
BUSTA Rhymes amepata maua yake kwenye Tuzo za BET 2023, ambapo alitumia muda mwingi kuyanusa. Busta Rhymes Rapa huyo ambaye pia ni mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa rekodi alitunukiwa tuzo...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Aiseee toka mwamba amerudi Clouds dizain flan amepwaya nahisi viatu vimekua vikubwa tayari. Naona Wale wakina Mchomvu na Kennedy the remedy kama walishaikamata show tayari In short sioni impact...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu Zuchu zuchu zuchu nimekuita mara tatu kwanza naomba kupongeza content nzuri ya nyimbo ambayo inawapa hamasa ya kutafuta mafanikio kwa vijana wote kike/kiume hongera. Kwa bahati mbaya...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Source: TBC Television. Aliyewahi kuwa Miss Dar City centre na Miss Ilala mwaka 2003, Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Mtangazaji wa Clouds FM Masoud Kipanya. Nargis ameyakiri hayo...
15 Reactions
166 Replies
19K Views
Salaam!!. Leo nikiwa natazama vipindi kwenye luninga, ulichezwa wimbo wa Prof. Jay, (Joseph Haule) ambaye kwasasa ni Mbunge wa Mikumi. Wimbo ule unaitwa ZALI LA MENTALI, Kiukweli nikakumbuka...
3 Reactions
97 Replies
27K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…