Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwigizaji wa nchini marekani mwenye asili ya uingereza KEIRAN LEE amesaini mkataba mpya wa miaka 3 na kampuni ya Brazzers Kama sehemu ya maboresho ya mkataba wake wa mwaka 2020 uliotakiwa kuisha...
13 Reactions
153 Replies
14K Views
Hii haiwezi kuwa habari mpya sana kwa wengi wetu humu. Makala nyingi zimeandika habari hiyo kuwa ni kweli. Lakini mimi naijumuisha katika moja ya conspiracy theories. Ni kawaida sana kwa mtu...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
WASAALAM Fatemeh Khishvand, anayejulikana na jina lake la Instagram Sahar Tabar ni mwanada wa Irani ambaye alijizolea umaarufu mnamo 2017 kwa upasuaji na mapambo , kwenye picha zake zilizoenea...
2 Reactions
112 Replies
11K Views
"Kuanzia Jumatatu ya wiki ijayo nitakuwa nafanya Kipindi cha Sports Arena ambacho kitakuwa hewani kuanzia saa mbili hadi saa tano asubuhi, lakini pia nitakuwa nasoma magazeti kwenye kipindi cha...
16 Reactions
99 Replies
21K Views
Kuna wakati hapa niliweka mada kuhusu huyu binadamu wa ajabu. Mtu usipomfuatilia utamwona wa kawaida sana, ila ukianza kumsikiliza utagundua ana mambo mengi. Dr. Myles hata alipokuja Tanzania...
9 Reactions
32 Replies
3K Views
Kutokana na mchango wao wanaouonesha katika taifa, hasa ule wa kuitangaza nchi yetu nje ya mipaka, hatuna budi kuwapa motisha kutokana na kazi nzuri waifanyayo Mimi pamoja na jopo zima la sanaa X...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
Walitangulia mbele ya haki miaka ya 19** 1. Bavon Marie Marie ( 26 ) 1970 2. Grand Kalle ( 53 ) 1983 3. Nico Kasanda ( 46 ) 1985 4. Franco Luambo ( 51 ) 1989 5. Soki Dinzenza ( 36 ) 1990 6. Soki...
18 Reactions
83 Replies
11K Views
Leo nimewaza mbali jamani, nimekumbuka mengi, nimeumiss udogo wangu, kweli maisha ni safari [emoji17][emoji17] Nyimbo za bongo za zamani zinanikumbusha mbali sana, nakumbuka kipindi familia yetu...
6 Reactions
29 Replies
5K Views
We unadhani huyu jamaa atakuwa ni mpenzi wa falsafa za namna gani? Aa
1 Reactions
2 Replies
717 Views
Hivi karibuni kumetoka report ya google kuwa msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz na Davido kutoka Nigeria ndio Wasanii walioongoza kufuatiliwa na kuzungumziwa kwa mwaka Huu kwa barani Africa.
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Taarifa zilizothibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia. Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉 👉 Taarifa za kina...
21 Reactions
375 Replies
41K Views
Nauhitaji huu wimbo jamani.. aliye nao auweke hapa Nahitaji AUDIO wakuu.
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Kwenye muziki wa hiphop bongo hakujawahi kutokea msanii mwenye nguvu kama Juma Nature. Juma Nature aliingia kwenye muziki akaukuta umejaa umarekani mwingi na akaubadilisha mchezo kabisa. Silaha...
20 Reactions
113 Replies
14K Views
Mwanamuziki Jose Chameleon amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kumbusu kaka yake Weasel jukwaani, wakati wa tamasha la Gwanga Mujje, kitendo ambacho wengi wamekiita kuwa ni cha kuudhi Mnamo...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye...
9 Reactions
93 Replies
6K Views
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature. Kiukweli kinachombeba ni...
21 Reactions
91 Replies
5K Views
Habarini wakuu.. Kama mada inavyojieleza hapo juu kiukweli mimi namkubali sana ommy D jinsi anavyoeleza picha zake inshort zinaeleweka sanaa hautumii nguvu kuelewa muvi inahusi nini.. Kwa apa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Watu bana sijui kwa nini wanakuwa na secret ajenda kila pale Rose anaposhine. Kazi kumwekea chuki tuu kila kukicha hapo zamani kidogo walimletea chuki baada ya kushinda tuzo ya kili, sasa wanaleta...
12 Reactions
28 Replies
3K Views
n Master J - Mj Records. 1. Nakupenda tu - konki 2. Sintobadilika - Mike T 3. T shirt na Jeans - university corner 4. Tanga Kunani - wagosi wa kaya 5. Sifai - Q Jay 6. Ingewezekana - D knob 7...
5 Reactions
65 Replies
22K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…