Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,765
Kuna wakati hapa niliweka mada kuhusu huyu binadamu wa ajabu. Mtu usipomfuatilia utamwona wa kawaida sana, ila ukianza kumsikiliza utagundua ana mambo mengi. Dr. Myles hata alipokuja Tanzania nilibaki kumsikia tu na kuona mabango yake na kupotezea. Nillipokuja kuanza kumfuatilia youtube na vitabu vyake ndio nikaona kwa kweli niko shallow sana kidunia na kiroho. Sijajua watu kama hawa wanapataje ufunuo mkubwa hivi.
Mada ambayo sikujua iliishia wapi nilijaribu kuuliza ilikuwaje akafa? Kweli kifo chake kilikuwa ni wito wa Mungu au ni matakwa ya binadamu? Kuna watu hujiulizi mara mbili kuwasikiliza na kuwafuatilia. Apumzike kwa amani