Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mimi huwa nashabikia muziki mzuri bila kuwa na U-team kama ambavyo dhana hiyo imejengwa hapa Bongo. Mfano: Team Diamond, Team ALIKIBA, Team KONDE n.k. Mimi msanii yeyote tu akiimba ngoma kali...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati...
52 Reactions
395 Replies
29K Views
Mtunzi mashuhuri wa tamthilia ya Afrika Kusini, mtayarishaji na mtunzi Mbongeni Ngema amefariki katika ajali ya gari akiwa na umri wa miaka 68, familia yake ilisema. “Ngema alifariki katika ajali...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Anaumwa mguu amekuwa mlemavu na Sasa anatembea Kwa uhuru baada ya maombi . Angela yuko poa na soonest ataibuka na songi mpya USSR Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye kujua huyu mtangazaji alipo sasa hivi naomba anifahamishe! Kwani namkumbuka sana hasa kipindi cha kombe la dunia 2002 kule korea na japan!
0 Reactions
14 Replies
9K Views
GTs naomba kuuliza hivi huyu ndugu Kikeke a.k.a muingereza mweusi huwa hasikii joto na hilo sweta lake?? Maana kila anakoenda na li sweta lake, je anadhani bado yupo uingereza?????? Hebu atupe...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Rapa na Mtayarishaji Mkongwe wa Muziki wa Hip Hop, Snoop Dogg ametangaza kuacha Uvujati Sigara baada ya kukaa na kushauriana na Familia yake. --- Rapper na nyota wa hip hop Snoop Dogg ametangaza...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Binafsi naona hawa jamaa hawastahili kuwa kings of hip hip, vifo na media ndio vimefanya wawe overrated ila ndo kwanza walikua wanaanza kuishika game sidhani kama wangekua hai hadi leo wangekua...
8 Reactions
187 Replies
22K Views
Rick ross hitting the weight to climb the MT. Kilimanjaro next year.
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Juzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy. Watoto wadogo waliniponda lakini watu...
37 Reactions
160 Replies
22K Views
Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150. Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi Beach ni mara tu...
7 Reactions
61 Replies
6K Views
Hapa kaligraph msanii wa hip-hop toka Kenya alijinasibu nakusema yeye ni rapper mkali ndani ya East Africa na hakuna Rapa yeyote kutoka Tanzania anayeweza kumtisha. Uliibuka mjadala mkubwa...
14 Reactions
44 Replies
7K Views
Kuna wakati nataka kuamini conspiracy za kwamba Hollywood kuna figisu zinazofanywa dhidi ya Actor weusi juu ya mambo fulani fulani yanayowatokea Black actors. Btu lets keep it as a Conspiracies...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Katika pozi, baada ya kuaga rasmi ukapela na kuingia ktk majukumu. Hongera sana na karibu katika chama chetu cha wenye ndoa. Waswahili wanasema "ndoa ndoano".
4 Reactions
279 Replies
95K Views
Baada ya lavalava kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha billnas, #beernyama#, dotto magari amakuja juu baada ya msemo wake mpya wa #hapa ipo# kutumika kwenye ngoma hiyo. Kwenye interview...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Naombeni msaada jamani wanajamvi
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kusema ukweli Pasha alikuwa ni msanii mwenye kipaji cha Hali ya juu mno labda Kama hasingekosa manajiment inayojitambua na kufahamu vyema kazi na umuhimu wake kwa msanii PASHA huenda Leo tungekuwa...
11 Reactions
89 Replies
17K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Hivi huwa mko Serious au huwa mnatania?,yaani Mwanamuziki Fally Ipupa mnamfananisha na Fere Golla? Sijajua aliyeanzisha huu mpambano kama yuko timamu...
16 Reactions
241 Replies
16K Views
Kama heading inavojieleza Ndio zaire (DRC ya leo) aliwahi kuwepo Sadam Hussein Kwa wale wasikilizaji wa nyimbo za zaire hasa mwishoni mwa miaka ya 90 mtakua mumewahi kusikia hili jina likitajwa...
13 Reactions
137 Replies
29K Views
Maarufu kwa jina la Mr bean lakini jina lake halisi ni Rowan Atkinson. Aliyezaliwa siku ya tarehe 6 Jan 1955 huko nchini uingereza.. Je, unafahamu kwamba Mr Bean alisoma shule moja na aliyekuwa...
10 Reactions
31 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…