Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,774
- 24,209
Kwa mujibu wa @MusicbaseAfrica hawa ndo wasanii 10 waliofanya vizuri zaidi Barani Afrika Mwaka uliopita 2023 na hii ni kutokana na kazi walizo achia mwaka uliopita,Namna ngoma zao zilivyofanya vizuri kwenye Charts mbalimbali za muziki na Namna wasanii hao walivyo fanya vizuri kwenye nchi zao.
1. Burna Boy (Nigeria )
2. Davido (Nigeria )
3. Asake (Nigeria )
4. Fally Ipupa (DR Congo )
5. Rema (Nigeria )
6. Omah Lay (Nigeria )
7. Libianca (Cameroon )
8. Shatta Wale (Ghana )
9. Diamond Platnumz (Tanzania )
10. Tyla (South Africa )
...wamakonde ...habari za single again...msiulize ....hayupo kwenye list
1. Burna Boy (Nigeria )
2. Davido (Nigeria )
3. Asake (Nigeria )
4. Fally Ipupa (DR Congo )
5. Rema (Nigeria )
6. Omah Lay (Nigeria )
7. Libianca (Cameroon )
8. Shatta Wale (Ghana )
9. Diamond Platnumz (Tanzania )
10. Tyla (South Africa )
...wamakonde ...habari za single again...msiulize ....hayupo kwenye list