Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,663
- 4,875
Mchezaji wa timu ya taifa ya Misri, Mo Salah amejiwa juu na Waislamu baada ya kuwatakia mashabiki zake heri ya sikukuu ya Christmas.
Watu wametuma maoni ya kukebei na kusema kuwa hatakiwi kuwatakia Watu heri ya Christmas kwa sababu yeye ni Muislamu.
View: https://www.instagram.com/p/C1RmKp2tWuY/?igsh=MXZqb202a3g5cmhrcg==
Watu wametuma maoni ya kukebei na kusema kuwa hatakiwi kuwatakia Watu heri ya Christmas kwa sababu yeye ni Muislamu.
View: https://www.instagram.com/p/C1RmKp2tWuY/?igsh=MXZqb202a3g5cmhrcg==